Ukitaka kumpata Diamond for a show now..

EKOTITE
 
mashabiki tunahitaji live show habar za kuja na cd show zake nishazichoka aisee sijui msanii gani tz anaweza kupiga live show kama bella anajua sana
Hata bi kidude alikuwa anapiga live,lakini thamani yake haikuwa inafikia hata ya Nay wa Mitego.
 
Itakuwa ni show za nje, kibongo bongo hawezi toza hiyo hela maana muandaaji inabidi kwa makadirio apate km mil 150 ili aweze kumlipa msanii mil 80.

Hata shoo za nje halipwi hivyo, watu hata wajae vipi hio pesa sponsor harudishi.. Kumbuka huko nje TRA ya nje lazima ichukue chao sio bongo huko wako strict.. Pesa kama hio sio rahisi kupata.
 
Milioni 87, itahitaji ukumbi unaochukua watu 8,700 watakaolipa kiingilio cha 10,000 ili kumlipa diamond. kwahiyo ukiandaa show kwenye uwanja wenye kuchukua watu 100,000 inakulipa
Hebu tuambie wewe analipwa bei gani ??
 
Hata shoo za nje halipwi hivyo, watu hata wajae vipi hio pesa sponsor harudishi.. Kumbuka huko nje TRA ya nje lazima ichukue chao sio bongo huko wako strict.. Pesa kama hio sio rahisi kupata.
Analipwa shi'ngap ??
 
Wewe DIAMOND usimfananishe na hao wasanii wako wengine angalia shoo ya mtu mmoja hii. SIO DAR LIVE WALA MLIMANI CITY.
 
Show za nje ni kutafuta jina lakini hazilipi pesa kihivyo banaa. Lazima uelewe kama US watu hawalipi zaidi ya $50 per show,sasa waingie wangapi plus expenses ndogo ndogo kama kulipia ukumbi et ndo sponsor aje apate faida?? Au na yy huko labda auze sura hapo bado hajalipa tax,Wadanganye wa igunga huko.
 
Kwa hali hii waleee wa fiesta hawatamuita nasjaskia mpaka leo atapeform wap nahis clauds wameogopa gharama kubwa sana
Alikuwa afanye show shinyanga ndiyo ameitwa Los Angeles kwenda kufanya korabo na Neyo
 
Uzuri jamaa ana wekeza hadi sasa ana nyumba 13+ Dsm izo nyumba anapangisha na kodi ya Dar zilivyojua kiasi anachoingiza n balaa
 
Hata shoo za nje halipwi hivyo, watu hata wajae vipi hio pesa sponsor harudishi.. Kumbuka huko nje TRA ya nje lazima ichukue chao sio bongo huko wako strict.. Pesa kama hio sio rahisi kupata.
Safi sana. Wewe ndio Mtanzania halisi.
 
Kundi zima la G Unit haulipi kiwango hicho. Mara ya mwisho najua alikuwa ana charge $10,000
 
Japo ni shabiki wake mkubwa ila numbers do not add up.
Labda kama shows za nje huko kwa wenzetu ingekuwa anavuta mpunga mrefu kiasi hiki basi angekuwa ana ela zaidi ya sasa maana shows zake ni nyingi sana.
 
Japo ni shabiki wake mkubwa ila numbers do not add up.
Labda kama shows za nje huko kwa wenzetu ingekuwa anavuta mpunga mrefu kiasi hiki basi angekuwa ana ela zaidi ya sasa maana shows zake ni nyingi sana.

Kwani sasa hivi ana Tshs ngapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…