Million dollars
JF-Expert Member
- Jul 20, 2016
- 1,508
- 2,068
Ndo analipwa sasa! We unadhani povu unalotoa humu litapunguza hiyo hela? Au wataacha kumpa wakupe wewe? [emoji23] [emoji23] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] Mtaungua saaana mwaka huu endelea kucheza draft wenzio wanaendelea kuingiza million 87Wanapesa za kuchezea bora wangekula kitimoto na ndizi kuliko kumpa lofa mmoja
Kwa rank za sasa diamond ni no 1 AfricaWe ndo unaonekana haufatilii mziki. Kwa rank za sasa hivi Diamond yupo juu ya Flavour na wenzake wengi
Kwahyo ulitaka alipwe buku mbili useme jamaa fala ana jina kubwa ila hajui thamani yake? Wabongo kila ufanyacho kizuri lazima roho imuume[emoji91] [emoji91] au sasa ulitaka alipwajeHuu mziki ambao haiwezi kudumu miaka miwili kweli hela hiyo kubwa sana
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Tatizo ni chuki binafsi watu kama hawa huwezi kukuta ana maendeleo unakuta analalamika serikali haimsaidii wakati kutwa anacheza draft[emoji23] [emoji23] [emoji23] mwaka huu atajaza pipa kwa mapovu[emoji91] [emoji91] [emoji91]Mkuu...
Mbona hili jambo kama limekukera sana..!
Nini shida..!?
Afu cha kushangaza sasa bado watu wanaponda eti mziki anaoimba ni mbovu sasa kama ni mbovu mbona anapokea hela yote hiyo na anayeimba mziki mzuri anapokea sh ngapi kama anaeimba mziki mbovu anapokea nyingi kuliko muimbaji wa nyimbo nzuri basi hakuna budi na wengine tukaimbe mziki mbovu ili tupate hizo helaClouds wamewanyonya sana mpaka watu hawaamini mtu anaweza lipwa hela hiyo, hujiulizi kwanini Clouds wanashindwa ku afford show zake?!....alafu pamoja na yote wameshindwa kumwekea bifu kama Jide!.....hawawezi kwasababu Mondi ni zaidi ya Clouds inayoishia Namanga na Tunduma, Dai ni Mkubwa zaidi ya hiyo Stesheni inayosikika Bongo....
Kwahyo Dai kulipwa hiyo hela kwenye nchi inayojua thamani ya Art ni kawaida sana...Tena bado ni ndogo sana waongeze.....Mziki mzuri unalipa
Clouds wamewanyonya sana mpaka watu hawaamini mtu anaweza lipwa hela hiyo, hujiulizi kwanini Clouds wanashindwa ku afford show zake?!....alafu pamoja na yote wameshindwa kumwekea bifu kama Jide!.....hawawezi kwasababu Mondi ni zaidi ya Clouds inayoishia Namanga na Tunduma, Dai ni Mkubwa zaidi ya hiyo Stesheni inayosikika Bongo....
Kwahyo Dai kulipwa hiyo hela kwenye nchi inayojua thamani ya Art ni kawaida sana...Tena bado ni ndogo sana waongeze.....Mziki mzuri unalipa
Hahah dola 50 ni laki 1 huku kwet, kwaio analipwa laki 1 show ya nje...chinekemee....Show za nje ni kutafuta jina lakini hazilipi pesa kihivyo banaa. Lazima uelewe kama US watu hawalipi zaidi ya $50 per show,sasa waingie wangapi plus expenses ndogo ndogo kama kulipia ukumbi et ndo sponsor aje apate faida?? Au na yy huko labda auze sura hapo bado hajalipa tax,Wadanganye wa igunga huko.
Mapovu hadi wanakaribia kufa mkuu, wanafikiri ni rubi ambae alitaka alipwe laki 1 na hao clouds kufanya show kwanza i doubt hata hizo show za fiesta atafanya hata moja kama wasanii wanataniwa kwa kutaka kulipwa laki 1alafu they are speaking of diamond[emoji23] [emoji23] [emoji23] Tatizo ni chuki binafsi watu kama hawa huwezi kukuta ana maendeleo unakuta analalamika serikali haimsaidii wakati kutwa anacheza draft[emoji23] [emoji23] [emoji23] mwaka huu atajaza pipa kwa mapovu[emoji91] [emoji91] [emoji91]
Kiswahili ndio kinanitatiza, lakini kiingereza hakinisumbui."Nimtafathirie" we mwenzetu lugha haikutatizi!?
Basi umeshapoteza sifa ya kutasiriKiswahili ndio kinanitatiza, lakini kiingereza hakinisumbui.
Asante mwalimu wangu wa kiswahili,hapo red panakuhusu.Basi umeshapoteza sifa ya kutasiri
Hahahaa! Makosa ya kiuandishi tu mkuuAsante mwalimu wangu wa kiswahili,hapo red panakuhusu.
Heh,kwako yamekuwa hayo ........Basi poa mwalimu wangu, maana wanasema mwalimu hakosei anayekosea mwanafunzi.Hahahaa! Makosa ya kiuandishi tu mkuu
Jibu hili limefanya niamin ww ni Under 18. So bado hujitambui na ni haki yako coz huna la kufany na umri unakuruhusuAu nikakamate barale
Tupe hzo za ukwel dadaake.? Au ndo unadumisha mila ya Ubishi tuhizi habari sio za kweli
Eeeh jomba nishushe hapoTatizo letu wabongo huwa hamjui kupima ukubwa wa msanii, ndo maana huwa tunalazimisha kuwaweka group moja alikiba na diamond.
Ni hivi diamond kwa sasa ni msanii mkubwa africa lakini hajafikia kuwa na nguvu kama ya mr.flavour, uyu mr flavour akienda ghana, zambia ,benin, togo, ivory coast, malawi, comeroon, zimbabwe, gabon na south africa anawezo wa kupiga show kujaza kiwanja cha mpira, diamond nguvu hiyo bado hana japo atapata watu
Sio lazima wote twende wengine mtalinda mtaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] [emoji23] kule ataenda dada zako, dem wako na bi mkubwa wko mzee[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hata mm apige shooo kwa jiran siendi[emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106]
Mmm jombaa Mo hapo ume over exaggerating.. Mo mtu wa kumilik 1 Bil Dollar aiseAise Kama ajaongeza 0 atakuwa anataka kumfukuzia Mo