Hamna maigizo,japo changamoto hazikosi ila sii sawa na kuona haina maana ,kwani ni ahueni,kwa mke,mume,watoto,mtoto,wakwe n.k.Kwa maana ya malezi,kujaliana,kuthaminiana,kuheshimiana na hata kuepuka gharama zisizo za lazima,ikiwa ni pamoja na kupata utulivu wa mawazo na kujikita kwenye majukumu kwa kuwajibika zaidi.Wapi maigizo matupu...
Ndoa ni tamu chungu...
Hata wachungaji zinawashinda...
Haya babes goodnightNimeolewa shoga yangu, Asante, Tena hapa na log off sasahivi nikahudumie ndoa yangu...
Hiyo ngumu kumesa.Kwa hiyo vijana waoane mabikra?
Iyo kumuona Mkeo kama Dada yako....Ombea isikukuteHabari wakuu,
Husika na kichwa cha habari hapo juu,
Kama kuna sehemu ambapo shetani anapenda kukaa basi ni ndoa. Yaani anakusubiria tu uingie kwenye ndoa takatifu aanze kukutesa. Kama sio ugomvi na huyo mkeo au mumeo unayeona ni halali basi ni ngumi. Sasa Yale ambayo ulikuwa hujui kuhusu mkeo na mumeo unayajua.
Hamna rangi ambayo utaacha ona, anaweza shika tumbo na msipate mtoto. Akiona haitoshi anashika na uchumi ili mkome mkomae kabisa. Mbona Bado, akikuachia huku anakimbilia kwenye tendo husika anaweka mazoea, apo unamuona mkeo kama dada yako.
Ukute Sasa amekalia zinaa ni mwanaume na mwanamke wanachepuka. Achana na huo uchumba sugu ambao unajifanya unamchunguza mwanamke na mwanaume ili umjue. Huwezi mjua mkeo wala mmeo.Ingia kwenye ndoa umuone shetani live.
Donatila
Now this is it…. Kutujumuisha wote kwenye kapu moja ndicho tusichotaka. Wengine tuko kawaida tu tunapambana na changamoto zetu wala hazitutishi.Hata mtoa mada sidhani kama alimaanisha ndoa zote
Tena wahi fasta usikute yule mwovu kesha fanya yake.Nimeolewa shoga yangu, Asante, Tena hapa na log off sasahivi nikahudumie ndoa yangu...
Hizo changamoto sio kawaida ni kujifariji..Now this is it…. Kutujumuisha wote kwenye kapu moja ndicho tusichotaka. Wengine tuko kawaida tu tunapambana na changamoto zetu wala hazitutishi.
Na hata zije zipi bado tuko tayari kupambana nazo, us against tatizo na sio us against each other.
[emoji1308]
NakaziaHabari wakuu,
Husika na kichwa cha habari hapo juu,
Kama kuna sehemu ambapo shetani anapenda kukaa basi ni ndoa. Yaani anakusubiria tu uingie kwenye ndoa takatifu aanze kukutesa. Kama sio ugomvi na huyo mkeo au mumeo unayeona ni halali basi ni ngumi. Sasa Yale ambayo ulikuwa hujui kuhusu mkeo na mumeo unayajua.
Hamna rangi ambayo utaacha ona, anaweza shika tumbo na msipate mtoto. Akiona haitoshi anashika na uchumi ili mkome mkomae kabisa. Mbona Bado, akikuachia huku anakimbilia kwenye tendo husika anaweka mazoea, apo unamuona mkeo kama dada yako.
Ukute Sasa amekalia zinaa ni mwanaume na mwanamke wanachepuka. Achana na huo uchumba sugu ambao unajifanya unamchunguza mwanamke na mwanaume ili umjue. Huwezi mjua mkeo wala mmeo.Ingia kwenye ndoa umuone shetani live.
Donatila
Upo vizuri madam!👊Now this is it…. Kutujumuisha wote kwenye kapu moja ndicho tusichotaka. Wengine tuko kawaida tu tunapambana na changamoto zetu wala hazitutishi.
Na hata zije zipi bado tuko tayari kupambana nazo, us against tatizo na sio us against each other.
✌🏻
Mimi naona hajawatisha wasio oa bali kawatanabahisha mapema ili wasije shangaa watakapoingia kwenye ndoa na kukutana na makabiliano ya ana kwa ana na shetani halafu wakaanza kujua walikuwa hawajui. Wajiandae -huo mtanange ni wa viwango vya kimataifa.
Sio kila ndoa inapitia magumu, kuna watu wanaishi vizuri sana, changamoto ni sehemu ya maisha hata ukiwa single magumu hayaishi.Hizo changamoto sio kawaida ni kujifariji..
Punguza makasiriko...
Wewe ushawahi kufurahia kunywa soda let say Chupa ya take aware ya Pepsi au Coca mtu kaipigapiga denda weee kaijaza mimate yake alafu kaibakiza nusu anakuita anakupa na wewe umalizie kuinywa yaan unywe mimate yake aliyoijaza kwenye Chupa? Si utaona raha kuagiza soda yako ambayo ina bikra kabisa kitu sealed zero kilometre haijatumika hata kidogo unaitatua kitu psiiiiiiiiiiUshajiuliza kwanini wanaume waliowatoa bikira wanawake wengi huingia mitini?
Na kuwaacha wanawake wakiwa na maumivu, alafu baadae wao wanataka kuoa bikira Tena.
Okay, kumbe ulileta mada ili kila mtu aseme anachangamoto na ndoa ni jehanamu kwake?Hizo changamoto sio kawaida ni kujifariji..
Punguza makasiriko...
na kuna mhuni ataoa hii shida!Kuna watu tabia zao ni mbovu hata kabla hajaoa wala kuolewa, Kwahiyo akiingia ndoani hakuna kitakachobadilika.
Hamjawahi sikia mtu anaambiwa yaani huyu kwa tabia zake sijui ataolewa/atamuoa nani. Sasa anatoka mtu huko hawajuani… hayawi hayawi kaolewa/kaoa. Shida walizokuwa wanazipata ndugu, jamaa, marafiki na majirani anahamishiwa “mwenza” na anatakiwa adeal nazo to the rest of his/her life. We kuweza??
Kuna watu wanatabia ngumu nyie acheni, sisi kuna shoga etu anaitwa M****** huwa tunamwambia M******* we utakuwa mchawi si bure!! Msichana ana tabia mbovuuuuuu! Mchoyo, msengenyaji, mchafu, mbinafsi, ana mdomo, mzururaji, controlling, manipulator, she knows it all , muongo kila kitu kibaya yeye, hanaga jema yule dada.
Sasa mtu kama huyu aolewe kweli jamani huyo shemeji hamna rangi ataacha ona.
Najipapatua bado mkuuUmevuka hapo au unipe ujuzi mkuu
Imagine! Halafu huyo mtu amsingizie shetani wakati yeye ndio kaoa shetani 😂😂na kuna mhuni ataoa hii shida!
Ndo mana ya kila mtu na yake.. kuna wewe against tatizo,kuna wengine against each other na kuna wengine zote wanapambana nazo... Tupo hapa kupata experience tuNow this is it…. Kutujumuisha wote kwenye kapu moja ndicho tusichotaka. Wengine tuko kawaida tu tunapambana na changamoto zetu wala hazitutishi.
Na hata zije zipi bado tuko tayari kupambana nazo, us against tatizo na sio us against each other.
✌🏻
Mleta mada kasema ni kujifariji na kujilisha upepo.Upo vizuri madam!👊