Binadamu bwana job true true 🤣🤣🤣🤣Kabisa, Mungu atutetee...
Kuna kaukweliUkweli mchungu
Haya mambo yakikukuta kama hukusimama imara na Mungu chochote kinaweza kutokea,usije kushangaa kwanini watu wamechinjana,shetani akishaingia kwenye ndoa kuwa kwako mbali na Mungu ndio maangamizi yako...Nlibahatika kuoa ndoa ya kikatoriki wakati huo tayari nimepata Neema (wokovu) hivo nikarudi katika kumpinga shetani.
Mtoa Mada yupo sahihi 100% mda mwingi nlitumia kanisani kupambana Mungu AFUNGUE Tumbo la mwenzangu sambamba na kupitia vipimo vyote wakati huo naendelea kupambana na Mifugo kuku,ng'ombe,nguruwe ila biashara kila nikigusa hakuna.
Mwenzangu muajiriwa. Kipato akanizid mbali na familia yake haikunikubal tangu mwanzo. Sasa kupitia Maombi nlikuwa najua kila kitu na hata vile ambavyo mke hajajua Bado kupitia kufunuliwa na kweli vinatokea. Ndugu wakakomaa ndoa ivunjike mke akawafukuza katka kuomba nikaona ndugu wameenda kujipanga nikamwambia jiandae. Mimi kazi yangu kupinga( Mpingeni shetan nae atawakimbia)
Ikawa Ni vita ktk ulimwengu wa roho silogeki. Kosa kubwa mke hakuwa akitii na kunisikiliza,pia kujaribu nje kuwa labda atapata akidhan Siri, ule ulinzi wa Mungu ukakosekana kwake iliibuka vita si ya nchi hii shetani Sasa akaingia kwake Kama anavosema mwandishi. Nliona rangi zote akaungana na ndugu zake Mimi nikawa peke yangu na Yesu wangu.
Sikuacha kuomba maana nilimpenda vikao vilishindikana. Nlitukanwa,nlidharirishwa nilisikia uchungu nililia lakini nikiingia Maombi Mungu anasema yuko na Mimi. Na kanisa la watu wa 4 liko na Mimi nikamwambia Mungu nijaze nguvu[emoji3059]
Nikapelekwa ngazi zote nikamshinda ikabak ya mahakama mda wote huo NIKIOMBA USIKU ANANITOKEA KTK HALI YA KUJUA KUWA KAINGILIWA NA PEPO NILIUMIA NAMWITA USIKU HUO HUO NAMWAMBIA WAPI BANA[emoji1787].
Mwisho nikapelekwa mahakaman na kabla sijaenda nikaona kawanunua mahakimu nikamwamsha chumban kwake nikamwambia aache NITAMUUNGA MKONO KTK KUACHANA YE ANIPE TARAKA TU ASITUMIE NGUVU KUBWA nilimuhurumia maana NALIPATA KUONA SHANGAZI YAKE KAMROGA(Shang'a nae Hana ndoa),NA MATENDO YAKE YA KUTONIHESHIMU NA KUTEST NJE KAFUNGUA MILANGO.
Nlimwambia Mungu nipe nguvu nisiwe Kama wale wanaochinjana[emoji1787] Maana nlisingiziwa uongo ambao sijawah kuuona. Usio na ushahidi nkasema hakimu kubali tu hata pilato alinawa mikono
Hatimae ndoa ikavunjwa nikamshukuru Mungu nikampisha nikarud shamban kwangu na maisha yangu.
Mungu kanipa mke kanisani kwangu, NIMETOA na posa. Kwa kuwa Bado Nasali namuona katika ulimwengu wa roho yule ALOJIONA MJANJA yatakayo mpata inasikitisha Sana ana majini Mengi Sana hakuna kanisa la kuyatoa maana hata mimi nliambiwa ktk ulimwengu wa Roho mtoe hapa kamfungie ndan asije akatulipukia hapa. SO SAD ila Ni mtu na afya Yake kimwil imagine.
Mimi NAMWAMBIA Mungu ikawe sawasawa na mapenzi yako
NDUGU YANGU USIWE CHANZO CHA KUVUNJA NDOA YAKO ITAKUGHARIMU MAISHA YAKO YOTE IKIWA MWENZAKO AMETENDA HAKI ,USIACHE KUOMBA KWA AJIRI YA NDOA YAKO, MPENDWA USITOKE NJE YA NDOA KABISA AISEE
MWISHO NIMEBARIKIWA MTOTO HUKO MWANZO NIMETOMBA KWA MIAKA 14 HAMNA KITU
Wanawake vilevile wakiolewa nao wanapata wanaume na wanawaona ma HB kulio waume zao...Ukioa ndo unaanza kukutana na piskali kuliko mkeo, tena zinakushobokea hatari., lazma migogoro ikuandame maana wife akishika simu KINAUMANA... yani shetani mbaya sana.
HAPO KWENYE NDOA TAKATIFU:Habari wakuu,
Husika na kichwa cha habari hapo juu,
Kama kuna sehemu ambapo shetani anapenda kukaa basi ni ndoa. Yaani anakusubiria tu uingie kwenye ndoa takatifu aanze kukutesa. Kama sio ugomvi na huyo mkeo au mumeo unayeona ni halali basi ni ngumi. Sasa Yale ambayo ulikuwa hujui kuhusu mkeo na mumeo unayajua.
Hamna rangi ambayo utaacha ona, anaweza shika tumbo na msipate mtoto. Akiona haitoshi anashika na uchumi ili mkome mkomae kabisa. Mbona Bado, akikuachia huku anakimbilia kwenye tendo husika anaweka mazoea, apo unamuona mkeo kama dada yako.
Ukute Sasa amekalia zinaa ni mwanaume na mwanamke wanachepuka. Achana na huo uchumba sugu ambao unajifanya unamchunguza mwanamke na mwanaume ili umjue. Huwezi mjua mkeo wala mmeo.Ingia kwenye ndoa umuone shetani live.
Donatila
UMEKAA PAZURI:Huwezi elewa Kiroho ni tukio kubwa kufunga ndoa madhabahuni...
Wanafanya Toba kabla ya kufunga ndoa, hawafungi tu bila kutakaswa kwa damu ya YESUUMEKAA PAZURI:
Ebu niambie utakatifu u wapi kwa mwanamke"mwenye kuwajua wanaume wengi"?
Mwanamke ambaye kabla ya ndoa, kaingilia ndoa za wengine, kasababisha mafarakano, uchungu, hasira, vilio na machozi. Leo kwa sbb kasimama madhabahuni basi ndoa yake ni takatifu! HAPANA HAKUNA
Utakatifu Ni maisha ya toba. Hivo ukiwa na maisha hayo na kuacha maovu Basi u mtakatifu.UMEKAA PAZURI:
Ebu niambie utakatifu u wapi kwa mwanamke"mwenye kuwajua wanaume wengi"?
Mwanamke ambaye kabla ya ndoa, kaingilia ndoa za wengine, kasababisha mafarakano, uchungu, hasira, vilio na machozi. Leo kwa sbb kasimama madhabahuni basi ndoa yake ni takatifu! HAPANA HAKUNA
Haya mambo yakikukuta kama hukusimama imara na Mungu chochote kinaweza kutokea,usije kushangaa kwanini watu wamechinjana,shetani akishaingia kwenye ndoa kuwa kwako mbali na Mungu ndio maangamizi yako...
Hicho hicho kiumbe chenye ushawishi Sasa ukutane nacho kwenye ndoa kikushawishi live[emoji1787]Shetani (LUcifer) huyu huyu kiumbe kilichoweza shawishi robo tatu ya malaika mbinguni [emoji23][emoji23] Mnamsingizia tu bwana Lucifer ye anamipango yake mingine kabsa yuko busy
Yani uyo msela Lucifer akiingia kwny ndoa yako hakuna kitu unaeza fanya uyo jamaa tulisakiziwa wakati sio uwezo wetu
Ni vijini kisirani tu ndo hua vinaingia kweny ndoa
Je baada ya utoba, ndoa hazitavunjika?Wanafanya Toba kabla ya kufunga ndoa, hawafungi tu bila kutakaswa kwa damu ya YESU
Mkitembelewa na mgeni mnajichekesha chekesha,mnashinda naye vizuri,akiondoka mkimfikisha getini,akitoka tu mnanuniana tena,hapo ni mpaka mmoja akubali kujishusha....Achaaa tuuuu...unakutaa mna wiki hamsemeshanii lkn ukiwaa nje huku my husband this..My husband that😄😄😄..Ndoa ni taasisi ya kinafiki sanaa
Tena hiyoo miee ndio ninayooo sanaaa...wageni tunaongea nao vizurii cheko mpk mwishooo😄😄😄wakitoka tuu mnunoo unaendeleaaa😄😄😄Mkitembelewa na mgeni mnajichekesha chekesha,mnashinda naye vizuri,akiondoka mkifikisha getini,akitoka tu mnanuniana tena,hapo ni mpaka mmoja akubali kujishusha....
Kwahio hapo kosa linakuwa ni nini kwa mfano mpaka una fanya hivyoTena hiyoo miee ndio ninayooo sanaaa...wageni tunaongea nao vizurii cheko mpk mwishooo😄😄😄wakitoka tuu mnunoo unaendeleaaa😄😄😄
Makosaa kwenye ndoa yanakosekanaa basii huwaa yapoo tuuu😄😄..Mfanoo la kuchelewaa kurudi nyumbani na cm kutokupokeaa yaaani hapo tunajaa vifuaa hatariii na tunaongeaga maneno yotee mpk ya akibaa😄😄....Tunawazagaa mpk mtakavyopata ajali za usikuuu na vilee tutakapo pokeaa rambirambi😄😄😄...Kwahio hapo kosa linakuwa ni nini kwa mfano mpaka una fanya hivyo
Sasa tuoe nn Sasa ni vita tu.Tena hiyoo miee ndio ninayooo sanaaa...wageni tunaongea nao vizurii cheko mpk mwishooo😄😄😄wakitoka tuu mnunoo unaendeleaaa😄😄😄