James Comey
JF-Expert Member
- May 14, 2017
- 8,759
- 14,831
Shetani nishamuona live kwenye ndoa...Wewe ya kwako ikoje?
Upo sahihi ila sikubaliani kumsingizia shetani, nikuulize swali!?, katika kukua kwetu kama binadamu kila mtu huwa ana imagination ya mtu fulani anayetamani kuwa naye, ambaye hata kama hana kitu ila mkikutana unakuwa na amani moyoni. Sasa ikitokea umeingia kwenye ndoa na mtu mwingine kwasababu ya umri, wazazi, mimba au nyingine yeyote na bahati mbaya mume au mke akabadilika, ukaja kukutana na mtu mwenye sifa zilezile ulizotamani tangu uko mdogo tena ikawa love at first sight,.. unafikiri huwa nini kinatokea!?.., si lazima atasingiziwa shetani!?,mifano ipo mingi sana, nimetoa mmoja tu..Kwa kifupi changamoto zinazo jitokeza baada ndoa ndio mtoa mada amezipa jina shetani.... Ile milima na mabonde wanandoa wanayo pitia ndo hivyo...
Kiualisia alicho sema kipo na mimi ni shaidi mbichi kabisa.
Haswaa....Milima ile na mabonde ndio shetani mwenyewe...
Mimi ninavo muona wakwangu nikiishiwa pesa hamna hata aja ya kurudi nyumbani na potea mazima, kwasbb naona shetani wake anapendelea sana uchumi mzuri, siku ukipungua kdgo naona shetani anakuja kwa kasi......... loh. Kulea mtu ulio muona ukubwani ni zaidi ya mtihani.Shetani nishamuona live kwenye ndoa...
Saivi najua akiinuka pa kumpigia...
Ila alininyoosha maana alimpiga my mume uchumi tukarudi sifuri..
Hakuna kipindi niliumia kama hiki...
Asante Yesu nimevuka
Jitahidini kupata ndoa zinazotoka kwa Mungu ambazo hazisababishwi na kitu chochote zaidi ya upendo wa kweli huwa zinaweza kuhimili vishindo vya ndoa
Tunasubiri notes tucopy.. karibu na poleShetani nishamuona live kwenye ndoa...
Saivi najua akiinuka pa kumpigia...
Ila alininyoosha maana alimpiga my mume uchumi tukarudi sifuri..
Hakuna kipindi niliumia kama hiki hapa ndio nilijua Kuna watu na viatu...
Asante Yesu nimevuka
umeoa mzee?Naona shetani mwenyewe amewasili kupigilia msumari futi 10 πππ
Inasikitisha sana aiseeMioyo imejaa mambo, kama ingefunguliwa alafu mambo hayo yawekwe kwenye paji la uso, tungekimbiana...
kwakweli ya ukiifunga tu ndo utajua ulikuwa humjui mwanaume/mke japokuwa mlikuwa kwenye uhusiano kwa zaiidi ya aka 4+Habari wakuu,
Husika na kichwa cha habari hapo juu,
Kama kuna sehemu ambapo shetani anapenda kukaa basi ni ndoa. Yaani anakusubiria tu uingie kwenye ndoa takatifu aanze kukutesa. Kama sio ugomvi na huyo mkeo au mumeo unayeona ni halali basi ni ngumi. Sasa Yale ambayo ulikuwa hujui kuhusu mkeo na mumeo unayajua.
Hamna rangi ambayo utaacha ona, anaweza shika tumbo na msipate mtoto. Akiona haitoshi anashika na uchumi ili mkome mkomae kabisa. Mbona Bado, akikuachia huku anakimbilia kwenye tendo husika anaweka mazoea, apo unamuona mkeo kama dada yako.
Ukute Sasa amekalia zinaa ni mwanaume na mwanamke wanachepuka. Achana na huo uchumba sugu ambao unajifanya unamchunguza mwanamke na mwanaume ili umjue. Huwezi mjua mkeo wala mmeo.Ingia kwenye ndoa umuone shetani live.
Donatila
Sina hata muda wa kuwazia kwa sasa...nimepitia nafahamu vyemana kama huna icho kipaji ni kheri ubakie na ubachela tuu kwa kweli manake kule ni shuguli pevu.
Wee jamaaa π π π π π π π π π π π π π π πNi kwel aisee
Ngoja nitoe kastory kidogo namna ndugu yetu mmoja alivyokutana na shetani live
Alikuwa na biashara zake nzuri tu kwa siku hakosi faida ya laki 2 mpaka 3
Akaoa,baadae akawa na pepo la ngono mkewe alipojua akaanza kumkomoa jamaa kwanza nae alianza kugawa kipochi manyoya mpaka vitu vya ndani kama chakula na wakati huo jamaa yupo na familia kubwa tu, maana aliwah kuwa na watoto wengi kabla ya kuoa
Jamaa akajikuta ana matumiz makubwa sana,kuna wakati mke akawa anamuibia pesa za kazi na faida zake,mara unyumba ananyimwa
Katika harakat zao za kuchepuka hatimae wakaunasa, mwanamke akaanza vuguvugu la kuvunja ndoa na akafanikiwa sjui alifanyaje yaan ile kesi ilienda haraka sana maamuz yakatoka yakuachana na wamkagawana mali mbali mbali zikiwemo na nyumba
Hyo kesi ilipoisha mwanamke kaanzisha kesi nyingine yakutaka mahitaj ya watoto watatu kila mwezi na wakati huu hali ya jamaa yetu kiuchumi ni ngumu haswa
Changamoto za kwenye ndoa ni nyingi sana...za kiuchepukaji zipo lkn kuna nyingine mpaka unatamani uzaliwe upya.... Mtu ulikuwa kiuchumi fresh tu gafla kila kitu kinapuputika huna pa kushika ... Sijui kama unalewa lkn... Usikae kwenye angle mojaUpo sahihi ila sikubaliani kumsingizia shetani, nikuulize swali!?, katika kukua kwetu kama binadamu kila mtu huwa ana imagination ya mtu fulani anayetamani kuwa naye, ambaye hata kama hana kitu ila mkikutana unakuwa na amani moyoni. Sasa ikitokea umeingia kwenye ndoa na mtu mwingine kwasababu ya umri, wazazi, mimba au nyingine yeyote na bahati mbaya mume au mke akabadilika, ukaja kukutana na mtu mwenye sifa zilezile ulizotamani tangu uko mdogo tena ikawa love at first sight,.. unafikiri huwa nini kinatokea!?.., si lazima atasingiziwa shetani!?,mifano ipo mingi sana, nimetoa mmoja tu..
Sasa hapo uwoni ni advantage....Ukifunga ndoa hata zile pisi zilizokukataa zinaanza kuleta shobo.
uko viizuri bibie.Sina hata muda wa kuwazia kwa sasa...nimepitia nafahamu vyema
DuuuhHabari wakuu,
Husika na kichwa cha habari hapo juu,
Kama kuna sehemu ambapo shetani anapenda kukaa basi ni ndoa. Yaani anakusubiria tu uingie kwenye ndoa takatifu aanze kukutesa. Kama sio ugomvi na huyo mkeo au mumeo unayeona ni halali basi ni ngumi. Sasa Yale ambayo ulikuwa hujui kuhusu mkeo na mumeo unayajua.
Hamna rangi ambayo utaacha ona, anaweza shika tumbo na msipate mtoto. Akiona haitoshi anashika na uchumi ili mkome mkomae kabisa. Mbona Bado, akikuachia huku anakimbilia kwenye tendo husika anaweka mazoea, apo unamuona mkeo kama dada yako.
Ukute Sasa amekalia zinaa ni mwanaume na mwanamke wanachepuka. Achana na huo uchumba sugu ambao unajifanya unamchunguza mwanamke na mwanaume ili umjue. Huwezi mjua mkeo wala mmeo.Ingia kwenye ndoa umuone shetani live.
Donatila