Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wapo kwa asilimia ngapi?Kupata watoto wazuri...kuwaa na mtu ambaye ni msiri wako wa ups na down...kwenye magonjwaa sasa mkeo ndio kila kitu kwakoo...mwangalie profesa j...mke Ni muhimu Sana Kaka zanguu...changamotoo zipoo Ila hazipotezi kbsaaa mazuri ya ndoaa...wanawake wazuri wa kutulia ndani ya ndoa bado wapoo msiogope Ila tuu mchoose wisely....Ndoa ni Jambo jema kbsaaa
Si kweli nakwambiaaa...tuna hurumaa na tunasamehe Sanaa mjueeOh, wanawake wa aina ya mama prof J ni wachache sana. Wengi wa siku hizi wanakutelekeza asubuhi na mapema.
Kabisa sio guarantee et ukiwa na mke ukiumwa atakutunza.Oh, wanawake wa aina ya mama prof J ni wachache sana. Wengi wa siku hizi wanakutelekeza asubuhi na mapema.
Ni hasira tuu za kikee...halafu Wala hazina madhara zinaishagaa fasta na maisha yanaendeleaaDooh basi hatari tupu
Yaani ukisha oa tu mwanaume unaanza kuwaziwa kufa tu 😔
Asilimiaaa kubwaa tuuu...wapo kwa asilimia ngapi?
Mkuu sijakataa kuwa hawapo, wapo wanawake genuine na wacha Mungu wachache ila kuna wanawake mafia acha kabisa. Pia hata hao genuine, wanaangalia na changamoto yenyewe ref ile scenario ya nabii Ayubu na mkewe.Si kweli nakwambiaaa...tuna hurumaa na tunasamehe Sanaa mjuee
Asilimiaaa kubwaa tuuu.
Sasa mdangaji anawezaje kuwaa mke....Jamani kupata mke ni mchakatoo na sio kuokotana tuuuuUongo wengi ni wadangaji..
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Uzi uwa nacheka sana