Y
Yoel Mbaruku
Guest
Inategemea situation ... Kama amefiwa sema "My condolences" au kama ikikushinda sema "I am sorry for your loss" ... Kama ameumia au anaumwa sana sana anayeumwa sema "Sorry, get well soon" na kuumia sema "Sorry, hope you are ok?" ... Kama umebeuwa au cheuwa au kufanya kitu cha kujiabisha sema "Excuse me" au "Pardon me" ... Lakini all in general sema "Sorry"Halo JF habari mchanganyiko.
Juzi nilikuwa na watasha ama wazungu sehemu. Moja alikanyanya jiwe dogo na kuteleza nusura aanguke.
Nilishindwa kabisa cha kuongea kwa kumpa pole baada ya neno pole kunitoa ushamba.
Ukitaka kumwambia mtu pole kwa kingereza utasemaje?