Ukitaka kuoa nchini Papua Guinea masharti yake hayo hapo chini

Ukitaka kuoa nchini Papua Guinea masharti yake hayo hapo chini

Waliona wanaume wanawatia sana madole wanawake wakaweka sheria.Huoni dole la huyo mwamba unadhani akilitia kwa papuchi itakuwaje.
 
Huko nchini Papua Guinea kuna kabila linaitwa Dani ambalo mwanaume anapotaka kuoa, sharti akate kidole chake cha mkono wa kulia na kumpelekea mkewe mtarajiwa kama sehemu ya mahari na upendo wake wa dhati kwake.

Na kama mwanaume anataka kumpa talaka mkewe, pia ni sharti akate vidole vyake viwili vya mkono wa kushoto kama takwa la talaka.

Na kama mume akifa, mkewe ni sharti akate vidole vyake vyote vya mikono kama ishara ya upendo na uaminifu na kiapo kwake kuwa hataolewa na mwanaume mwingine tena baada ya mumewe kufa.

View attachment 2329433
Jiulize hao ndugu zetu walifika je huko far pacific? Kuna mijitu itakuja kusema Vasco da gama ndiye alikuwa wa kwanza kuijua Dunia.
 
Na ukifa, huko wanakukula nyama....


1661088023679.png
 
Back
Top Bottom