Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wengi ila sio wote ukileta mtoto wa Saudi Arabia hapa bongo ukaenda kuishi naye bunju mda wote anakaa ndani saa ngapi akutane na mtu aanze kuchepuka.Na weye uhakikishe upo Bikra! Huko arabuni wengi wamefumuliwa mitaro ya maji taka, we jidanganye! Siyo lazima kuzini na x wake! Hiyo ni hulka tu ya mtu binafsi! We omba Mungu atakupatia wa kufanana nawe😂🤣😂!
Wanawake ni kumtreat yeye anavyokutreat ,akiwa mnafiki na ww unakuwa mnafiki ,akichepuka ww chepuka,akiwa ana nuna bill sababu na ww nuna,akiacha kureply sms na ww acha,ndio hivyo.Wanawake hawana Formula usiwadanganye wenzako.....
Sawa mkuuukitaka bikra nenda kijijini kwenu tafuta mabinti wapo wazury sana tena mabikra wapo wengi ila mabinti wa mjini hamna kitu utaoa vitu vya ajabu mpaka ushangaee
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] nmecheka had baas, hawa watoto ambao wanapevuka std la 5? Are u serious? Wakati 4m 1 tyuuuh tayari kufuli ilishatolewa huko hata ilikoangukia hakujulikan, weeee wachache sanaaaaah.Vyuoni especially vya Kati vya ngazi ya cheti.wapo watoto wapya hawajawahi.
Hata wakatamajani ya ng'ombe watamkula Kama ni hulka yake!Wengi ila sio wote ukileta mtoto wa Saudi Arabia hapa bongo ukaenda kuishi naye bunju mda wote anakaa ndani saa ngapi akutane na mtu aanze kuchepuka.
Una umri gani?Mi nimepata mtoto Brand New wa Arusha anamaliza chuo mwezi ujao!
Huko uarabuni wasichana wengi nalt za nyuma sio sealed. Poleeeeeeh sana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wengi ila sio wote ukileta mtoto wa Saudi Arabia hapa bongo ukaenda kuishi naye bunju mda wote anakaa ndani saa ngapi akutane na mtu aanze kuchepuka.
Yap ni kweli vyuo vya kati kuna bikra japo chacheVyuoni especially vya Kati vya ngazi ya cheti.wapo watoto wapya hawajawahi.
Umri uzoefu na exposure ya mtoa mada ndiyo shida ilipo,Kwa kizazi hiki cha utandawazi kupata mwanamke bikra ni taabu kutokana na mazingira. Kwa miaka hiyo iliwezekana.
Lakini unaweza oa huyo bikra naye kutokana na mazingira akawa mjanja ukachapiwa tu, akiingia mtandaoni akasikia habari za vibamia sijui matango n.k atataka na yeye ajaribu.
Tatizo sio bikra shida ni mazingira ya karne ya 21 na utandawazi.
Bikira zipo japo chache,Haitatokea na haipo
Labda uende Tanga na Zanzibar ambako hawana wanatumika nyuma ili kulinda bikra zao Ila Kwa visichana vya siku hizi kua na bikra Hadi miaka 14 ni nadra
Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
tuweke bet nakuhakikishia huyu mpenzi yako watu wanakuchapia na kama hujachapiwa leo hata mwakani, hata miaka mitano lakini at some point utachapiwa tuSawa mkuu
Hapo sawaMi nimepata mtoto Brand New wa Arusha anamaliza chuo mwezi ujao!
PoaHivyo mzee mchana unamaliza.maana Tanga watoto wakike huwa hawatembei hovyo mitaani Kama bongo.