Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
bado narud pale pale,, hongera kwa kupata jiko jema.
bado narud pale pale,, hongera kwa kupata jiko jema.
Kuna demu alikataa nisimuoe akidai ananizidi umri na haja plan ndoa ya namna hiyo, kiuhalisia nilikuwa 4+ years older kwake. Siku hizi naacha midevu kama Yohana mbatizaji maana nikinyoa tu pisi za rika langu zinaona kijana mdogo nataka majimama.
Kila kitu tunapaswa kufanya Kwa KIASI ..
Naona ungetuwekea picha yako hapa uachane na hizo ngonjera zote ulizoandika hapo juu ingekuwa na maana zaidi.
Kama ndio hiyo hapo juu kwa avatar hongera but angalia isijekuwa ya 2018.
🤣🤣🤣🤣Ungetuma picha sasa ili tu comment vizuri 😁😁😁
Me naona ukiwa na hela tu ndo uzee hauji fasta
Kuna kitu kinaitwa genes
Kama baba ako alianza kuuona uzee akiwa na miaka 17 kuna possibility kubwa ya wewe kupita humo humo and vice versa
Inasemekana watoto wa 2000 ndio wanakuwa kwa kasi sana ila wale wa 1990 mpaka 1999 wana udongo mzuri sana.
kutokuzeeka mwili sio tatizo bali kuzeeka akili na seli kuisha nguvu......we jione kijana usipambane utashangaa jua limetua😂😂😂😂😂 Oo9oooh ugonjwa wa wengine huo mi sikuangalia tako..ila kabadilika tuu gafulaku
Ungetuma picha sasa ili tu comment vizuri 😁😁😁
😁😁😁😂😂😂 Mkuu Mambo sio poa aiseeekutokuzeeka mwili sio tatizo bali kuzeeka akili na seli kuisha nguvu......we jione kijana usipambane utashangaa jua limetua
Kwa upande wangu mazoezi , chakula na kutenga muda kwa ajili ya kujifurahisha !
Nina uzito uleule toka 2014 uzito wangu umebalance kabisa !
Haya bana mi sikuhoji sana mana ni utovu wa nidhamu kumuhoji mwalimu wako 🙏🙏🙏🙏🙏😁Picha mtu si anaweza kujipendelea
Nazingûmzia watu wanaoniona live sio Watu wanaoniôna kwenye picha
nakaziamboga kwa wingi.
Haya bana mi sikuhoji sana mana ni utovu wa nidhamu kumuhoji mwalimu wako 🙏🙏🙏🙏🙏😁
Yaani ni vururu varara mkuu 😁😁😁😁Mkuu mimi huko mitandaoni sijawahi kuona wazee.
Mtu anachagua picha nzuri ana-edit na mafilter kibao anakuwa kijana mdogo.😂😂
Yaani ni vururu varara mkuu 😁😁😁😁
Hapo sasa ticha nimekupata aiseeee ahahahahaNdio hivyo.
Sasa mtu akitaka picha ni kama hajui anataka nini.
Hata enzi hizo natongoza madeni mtandaoni nilikuwa siombi picha kwa sababu najua nitatumia picha zilizo nje ya uhalisia na mhusika😂😂