N'yadikwa
JF-Expert Member
- Aug 10, 2014
- 7,427
- 10,905
Ni bahati mbaya kwamba kwenye jamii yetu sio maofisini, shuleni, vyuoni, majumbani, stendi, filling stations vyoo ni vichafu sana, na kwa baadhi ya jamii zetu vyoo ndio haviingiliki kabisa mfano ukienda Tukuyu mjini vyoo ni vichafu sana hata kwenye miji yetu.
Hali hii inapima kiwango chetu cha ustaarabu. Vyoo visafi ni vichache sana. Na inakuwa bahati mbaya vyoo kwenye vyuo vikuu ndio balaa na hao ndo wasomi. Hata niseme tubadilike sidhani kama tutabadilika ila kwa sehemu kubwa sisi ni wachafu sana.
Soma Pia: Haya mazingira ya Vyoo vya eneo la Kivuko pale Busisi ni hatari sana kwa afya
Hizo picha ni choo cha umma Arusha.
Hali hii inapima kiwango chetu cha ustaarabu. Vyoo visafi ni vichache sana. Na inakuwa bahati mbaya vyoo kwenye vyuo vikuu ndio balaa na hao ndo wasomi. Hata niseme tubadilike sidhani kama tutabadilika ila kwa sehemu kubwa sisi ni wachafu sana.
Soma Pia: Haya mazingira ya Vyoo vya eneo la Kivuko pale Busisi ni hatari sana kwa afya
Hizo picha ni choo cha umma Arusha.