Ukitaka kupima ustaarabu wa jamii husika angalia usafi wa maliwato yao. Hapa tumefeli sana

Ukitaka kupima ustaarabu wa jamii husika angalia usafi wa maliwato yao. Hapa tumefeli sana

Ukienda airport, stand zote mpya, ofisi za ma RC, DC hali niyo, **** mwaka mstaafu mmoja alisema hata ukienda bungeni usione wale wanaulamba vile wapo wanao piga shabaha pembeni, nahiyi hii ni laana
🤣Dah
 
CHOO ili neno lenyewe limekaa kiuchafu hata wakati wa kula ukitaja tu watu wanakutolea macho!kule kusini mtu akisema ana jisikia choo ujue mavi yanamuuma.
 
Ni bahati mbaya kwamba kwenye jamii yetu sio maofisini, shuleni, vyuoni, majumbani, stendi, filling stations vyoo ni vichafu sana, na kwa baadhi ya jamii zetu vyoo ndio haviingiliki kabisa mfano ukienda Tukuyu mjini vyoo ni vichafu sana hata kwenye miji yetu.

Hali hii inapima kiwango chetu cha ustaarabu. Vyoo visafi ni vichache sana. Na inakuwa bahati mbaya vyoo kwenye vyuo vikuu ndio balaa na hao ndo wasomi. Hata niseme tubadilike sidhani kama tutabadilika ila kwa sehemu kubwa sisi ni wachafu sana.

Soma Pia: Haya mazingira ya Vyoo vya eneo la Kivuko pale Busisi ni hatari sana kwa afya

Hizo picha ni choo cha umma Arusha.

Hivyo vyoo mbona visafi bro!
Njoo Uswazi ujionee vyoo vya milango ya viroba kabla hujanya unatandika gazeti Ili urojo wa mavi usikurukie wakati unashusha mzigo!
Ukiangalia pembeni Kuna Kila aina ya mizigo!; lingine limefanana kama Koni! Lingine limelala mbele Kuna kama ya mbuzi, lingine makamasi na damu....
Nguzo nyeusii na mlango wa kiroba Kwa sababu ya kukokona....
 
Back
Top Bottom