Ukitaka kutafuna mbususu za wamama nenda kwenye vilabu vya pombe za kienyeji

Dah vijana wa hovyo wanazidi kuongezeka kwa Kasi sana
 
Kabisaaa wewe mzee usituzengue unajua?....yaani kabisa kijana na elimu yako unavuta kiti kirabuni una kaaa.....sasa sikia ilivo nitokeaga mimi....hukooo nyashimba Mwanza.....siku moja...tulienda kumfuata rafiki yetu kirabuni wenyeji walipo tuona tu.. wakaanza kutimua mbio wakaacha kila kitu pale...kwa ughafla ule tukaogopa sana tukidhani labda kuna hatari tusiyoijua inakuja... so...

Ikabidi na sisi tutimue mbiyo kwa kuwa fuata nyuma. tukiamini kuwa huko tutakuwa salama basi kadri tulivo kaza na wao wana kazana kutukimbia....yaani tulijua kuwa walitudhania sie ni polisi kimakosa karibia kijiji cha tano.... Sasa weye jifanye kunywa nao wkt wanakuona ni polisi...siku utakimbia mpaka utapike damu.
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Hao wa shamba maana polisi wanapiga ulanzi na mbege pia
 
...mi nilifikiri Uzi una picha za hizo Mbususu kumbe una picha Moja TU ya Kopo la kunwea Pombe' za Kienyeji!
Umetokota...
 
We si unatembea na mke wa mtu ww..... Sa hv umehamia kwa wake za watu
 
Nimekosa mimi, nimekosa mimi, nimekosa mimi.... Maneno haya ulipaswa uyaseme baada ya kupandisha uzi...kuamua kutoyasema pia ni sawa endapo hujazaliwa na mwanamke.

Inawezekenaje uwadharau wamama wote Kwa sababu ya tamaa yako ya mwili au Kwa sababu huna wazazi ndio maana huna heshima kwa wazazi wa wenzio...unataka tuamini mama zetu kwenye klabu za pombe za asili ndio wanapatikana kiurahisi hivyo

La haulaaa mleta mada umepotoka katika hili kutokana na uhaba wa malezi yaliyokamilika naungana na wazazi wenzangu kukemea uzi kama hizi hasa Kwa nyie vijana wadogo
 
Ooooooh! Masikini mdogo wangu mpwayungu umeamua kukatisha uhai wako kwa tamaa ya ngono.....kule mwanza kuna wilaya inaitwa misungwi asilimia kubwa ya vijana niliosoma nao elimu ya msingi nilikuta wameathirika, nilipouliza niliiambiwa vijana wengi wanashinda kwenye vilabu vya pombe wakiserereka na wamama wauza...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…