Ukitaka kutambua akili mbovu za Mwafrika angalia ya mpakani Tunduma

Ukitaka kutambua akili mbovu za Mwafrika angalia ya mpakani Tunduma

Forrest Gump

JF-Expert Member
Joined
Jul 2, 2021
Posts
637
Reaction score
1,532
Hivi kweli kabisa kimeshindikana cha kufanya ili magari yasi stuck pale boda.

Kinashongaza hili ni jambo la muda mrefu sana, lakini kama kawaida yetu tumefundishwa kuzoea shida na kuwaita wazungu mabeberu.

Ila hakika ni kwaba huyo beberu hawezi kufanya upumbuvu kama unaofanyika pale mpakani Tundum.

Ni kitu gani hicho cha gharama kubwa kuliko vitu vyote duniani kinachofanya changamoto hii isitatuliwe.

Ni processes gani hizo ambazo ni ndefu hadi kufanya mambo yasifanyike kwa wakati.

Ni aibu sana kwa Tanzania na Zambia kwa yanayotokea pale mpakani. Ila hio yote inarudi kuonesha true colors za mtu mwenye ngozi nyeusi haswa yule aliye madarakani, aliewekwa na kusimama kisiasa zaidi ya kiutendaji.

 
Nakwambia ni hatari nilikuwa hapo Tunduma wiki 3 nyuma ni balaa ,hapafai kabisa Ile jam inaenda mpaka Vwawa kabisa ,hebu imagine ni misululu ya malori isiyoisha .
Hizi nchi zina matatizo Sana
Sana tena sana, we fikiria hao wenye mizigo yao wanavyosubiri kwa muda mrefu.

Angalia tu gharama za uendeshaji maisha za hawa madereva.
 
Marwa kutoka Kurya anasimulia ulaya 'isiyo na mipaka', wakati Afrika inaendelea kuongeza vikwazo kuvuka mipaka hivyo kufifisha biashara, uchumi na fursa .

MSAFIRI JASIRI ALIVYOSAFIRI BILA VIKWAZO NCHI 23 ZA ULAYA NDANI YA SIKU 90 MFULULIZO

Anatuletea habari za ndani kabisa jinsi bara la Ulaya lilivyo 2022 na viza ya Schengen


Msafiri jasiri Marwa toka Kuria Kenya anatuonesha jinsi bara la ulaya lilivyo na mambo mengi ambayo ni shule kwa nchi za bara Afrika kuhusu umuhimu wa mifumo isiyotetereka na endelevu.

Huwezi kuona tofauti ya masikini na tajiri kwa kuangalia aina ya mavazi, magari n.k

Mifumo yote inafanya kazi kwa ufanisi kuanzia miundo-mbinu, usafiri wa reli, mabasi na ndege

Elimu ya msingi ni bure kuanzia shule ya msingi mpaka upili

Mipango miji na vijiji yote imekaa sawa, usafiri wa reli ni muhimu hivyo unaona mitandao ya reli kila sehemu ndani ya miji pamoja na kuunganisha mikoa bila kusahau nchi jirani.

Bara ulaya linavyohifadhi historia mbalimbali kupitia majengo-kale, maktaba, chakula,

Source : iam_marwa

What is Schengen?

Schengen refers to the EU passport-free zone that covers most of the European countries. It’s the largest free travel area in the world.
 
Utawalazimisha Zambia wafanye wewe unavyotaka?

Sababu ni urasimu wa upande wa Zambia wanaona Tanzania inafaidi kuliko wao so wanakwamisha kama tuu Kenya wanavyofanya pale Namanga maana Nako Hali ni kama hii hii.
 
Nakwambia ni hatari nilikuwa hapo Tunduma wiki 3 nyuma ni balaa ,hapafai kabisa Ile jam inaenda mpaka Vwawa kabisa ,hebu imagine ni misululu ya malori isiyoisha .
Hizi nchi zina matatizo Sana
Wa kulaumiwa sio Tanzania,bali Nchi za Zambia na DRC..

Uchumi unakua lakini wao hawawekezi miundombinu inavyotakikana..

Hata serikali ya Tanzania ijenge hiyo barabara kuwa njia 4 bado kama upande wa pili hawatafanya ni Kazi bure..

Nchi zote 3 waende WB wachukue mkopo wajenge barabara wote Kwa pamoja.
 
Tulia hadi akili zikae sawa, maana mambo mazuri hayafai kwenda tofauti na dar es salaam

Watu wakipeleka mambo mazuri tofauti na dar, wataitwa wakabila.
 
Nilushaleta Uzi hapa kuwa Mwafrika amepunjwa akili na Mungu kwa makusudi kabisa
Na mimi niliunga mkono uzi wako kwa kutoa mifano hai ya kibaha sec, lindi sec, mchina aliyechekwa na Watanzania kwa kushangaa kwanini kesi zinachelewa hv tofauti na kwao, hao watz wachekaji walikuwa na miaka 10 wanaghairishiwa tu kesi zao pamoja na ule mfano wa mtu mweusi kufuatwa na uchafu ilihali mweupe unamkimbia.

Kuna kitu tumenyimwa, mpaka fulani Mungu ameuweka kwa mtu mweusi, kwamba 'huyu mwisho wake hapa!'. Huo ndo ukweli mchungu!
 
Na mimi niliunga mkono uzi wako kwa kutoa mifano hai ya kibaha sec, lindi sec, mchina aliyechekwa na watanzania kwa kushangaa kwanini kesi zinachelewa hv tofauti na kwao.....hao watz wachekaji walikuwa na miaka 10 wanaghairishiwa tu kesi zao pamoja na ule mfano wa mtu mweusi kufuatwa na uchafu ilihali mweupe unamkimbia.

Kuna kitu tumenyimwa.....mpaka fulani Mungu ameuweka kwa mtu mweusi, kwamba 'huyu mwisho wake hapa!'. Huo ndo ukweli mchungu!!!

Kabisa hata mazingira ya sisi blacks hayana mpangilio uchafuuchafu, hata vyombo ndani havina mpangilio yaani ni kama vile ilitakiwa tuwe bado tuko maporini na tunatembea uchi au kuvaa ngozi na magome ya miti, angalia ardhi iliyopo kubwa pamba hatulimi ya kutosha na kutengeneza nguo tunasubiri avae mzungu ndio atuletee tununue nasisi tuvae tena hiyo tayari ni kasoro kubwa
 
Back
Top Bottom