Ukitaka kutambua akili mbovu za Mwafrika angalia ya mpakani Tunduma

Ukitaka kutambua akili mbovu za Mwafrika angalia ya mpakani Tunduma

Boda
Screenshot_20221013-131941_Gallery.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii haihusiani na Zambia akili mbovu za Rushwa na wivu na uchawi wa maendeleo, Pelekeni TRA ambao ni TIS mipakani ndio mtajua huo upumbavu unaofanyika pale boda, labda kama inafanyika forceful economification ya miji ya mipakani, ili hao motorists na passengers wafanye economic boost ya hayo maeneo.

Revenue avenues sio za kusinzia hata kidogo.
 
Hivi kweli kabisa kimeshindikana cha kufanya ili magari yasi stuck pale boda.

Kinashongaza hili ni jambo la muda mrefu sana, lakini kama kawaida yetu tumefundishwa kuzoea shida na kuwaita wazungu mabeberu.

Ila hakika ni kwaba huyo beberu hawezi kufanya upumbuvu kama unaofanyika pale mpakani Tundum.

Ni kitu gani hicho cha gharama kubwa kuliko vitu vyote duniani kinachofanya changamoto hii isitatuliwe.

Ni processes gani hizo ambazo ni ndefu hadi kufanya mambo yasifanyike kwa wakati.

Ni aibu sana kwa Tanzania na Zambia kwa yanayotokea pale mpakani. Ila hio yote inarudi kuonesha true colors za mtu mwenye ngozi nyeusi haswa yule aliye madarakani, aliewekwa na kusimama kisiasa zaidi ya kiutendaji.


suluhisho la hapo ni Tanzania kufanya uamuzi tu wa kutengeneza ile barabara nyingine iliyopo mkoani RUKWA,ya kwenda DRC,bila kupitia nchi ya ZAMBIA,kwani zambia akiwa na sintofahamu tu na DRC,zengwe linaanzia tunduma!!anayepata hasara ni Tanzania na DRC.ila kwakuwa viongozi wetu ndio wale wale,wafanyao mbinu zile zile kwa kutegemea matokeo tofauti .
 
Kabisa hata mazingira ya sisi blacks hayana mpangilio uchafuuchafu, hata vyombo ndani havina mpangilio yaani ni kama vile ilitakiwa tuwe bado tuko maporini na tunatembea uchi au kuvaa ngozi na magome ya miti, angalia ardhi iliyopo kubwa pamba hatulimi ya kutosha na kutengeneza nguo tunasubiri avae mzungu ndio atuletee tununue nasisi tuvae tena hiyo tayari ni kasoro kubwa
Ni kweli kabisa kabisa, yaani ukiyakumbuka yote unaweza kupata hasira sana.
Niliwahi kupaka kijikazi cha kuganga njaa sehemu fulani. Wakati nafika meneja alikuwa muafrika mwenzetu. Nilipangiwa kuishi jirani tu na yeye. Aisee yule mwenzetu alikuwa na jitihada sana za usafi.......yaani alikuwa anajitahidi kupanda kila aina ya maua na kuyatunza. Akirudi kazini jioni au weekend basi ye na mazingira ya nyumba tu.
Pamoja na jitihada zote, lakini ilikuwa ukiangalia ile nyumba unaona si ya ajabu sana. Ulipoisha mkataba akaletwa mtu mweupe (mmarekani) na kuishi nyumba ileile aliyotoka mwenzie. Aisee huwezi kuamini, kwa muda mfupi tu ile nyumba ilibadilika na kuwa ya kuvutia sana, tena bila jamaa kutoa jasho.
Aliyatoa baadhi ya maua na kupangilia kivyake tena, todauti na mwenzie, ye hata hakuwa anaonekana mara nyingi pale bustinini lkn mambo yalikuwa yanaenda vizuri tu mpaka ikawa kama tusi kwetu.
 
Siku zote nasemaga tusiwalaum viongozi wetu bure tu wanasema ukiona viongozi wamelala ujue wananchi wake wamelala zaidi.

Kiufupi sisi wabongo ni wajinga na wapumbavu kwaiyo tunaongozana tu bora liende jamii yetu ikibadilika na viongozi wata badilika tu.
 
Siku zote nasemaga tusiwalaum viongozi wetu bure tu wanasema ukiona viongozi wamelala ujue wananchi wake wamelala zaidi.

Kiufupi sisi wabongo ni wajinga na wapumbavu kwaiyo tunaongozana tu bora liende jamii yetu ikibadirika na viongozi wata badirika tu.
Ukiangalia kinachoendelea humu katika mabishano ya russia na Ukraine au waisrael/wazungu na wapalestina/waarabu au kusini na kaskazini, hakika hoja yako haina budi bali kuunga mkono. Hebu fikiria, humu ndo kwa wasomi (wengi wao). Just imagine huko nje hali ipoje?!!!!!!
 
Siku zote nasemaga tusiwalaum viongozi wetu bure tu wanasema ukiona viongozi wamelala ujue wananchi wake wamelala zaidi.

Kiufupi sisi wabongo ni wajinga na wapumbavu kwaiyo tunaongozana tu bora liende jamii yetu ikibadirika na viongozi wata badirika tu.
Ahsante sana jamii yenyewe isipobadilika tunazidi kuwapa airtime.

Tatizo mmoja akijitokeza anaitwa mjuaji mara ooh kibaraka wa mabwenyenye etc
 
Hivi kweli kabisa kimeshindikana cha kufanya ili magari yasi stuck pale boda.

Kinashongaza hili ni jambo la muda mrefu sana, lakini kama kawaida yetu tumefundishwa kuzoea shida na kuwaita wazungu mabeberu.

Ila hakika ni kwaba huyo beberu hawezi kufanya upumbuvu kama unaofanyika pale mpakani Tundum.

Ni kitu gani hicho cha gharama kubwa kuliko vitu vyote duniani kinachofanya changamoto hii isitatuliwe.

Ni processes gani hizo ambazo ni ndefu hadi kufanya mambo yasifanyike kwa wakati.

Ni aibu sana kwa Tanzania na Zambia kwa yanayotokea pale mpakani. Ila hio yote inarudi kuonesha true colors za mtu mwenye ngozi nyeusi haswa yule aliye madarakani, aliewekwa na kusimama kisiasa zaidi ya kiutendaji.


Hizo ni Hujuma za Wamarekani na Mataifa mengine ya kibeberu. Hawa jamaa nawachukia sana. Ngoja Urusi au China iwe super power
 
Nimekaa hapo border miez 6 kna njia nyingi tu za kubinjuka unafanya mambo yako unarudi, foleni yao unawachia wenyewe

Ova
 
Utawalazimisha Zambia wafanye wewe unavyotaka?

Sababu ni urasimu wa upande wa Zambia wanaona Tanzania inafaidi kuliko wao so wanakwamisha kama tuu Kenya wanavyofanya pale Namanga maana Nako Hali ni kama hii hii.
Wameweka vikwazo gani?
Maana hata taarifa za habari hawaelezi tatizo ni nini
 
Wameweka vikwazo gani?
Maana hata taarifa za habari hawaelezi tatizo ni nini
Upande wa Zambia kuna scanner moja tuu,hawafanyi Kazi masaa 24 na wao barabara yao ni njia moja au barabara ni finyu kiasi kwamba Wana restrict idadi ya malori kupita Kwa siku..

Mwisho wanataka madereva wao na kampuni zao ziwe na share kubwa Kwenye usafiri ndani ya Zambia eti kunufaisha watu wao.
 
Kabisa hata mazingira ya sisi blacks hayana mpangilio uchafuuchafu, hata vyombo ndani havina mpangilio yaani ni kama vile ilitakiwa tuwe bado tuko maporini na tunatembea uchi au kuvaa ngozi na magome ya miti, angalia ardhi iliyopo kubwa pamba hatulimi ya kutosha na kutengeneza nguo tunasubiri avae mzungu ndio atuletee tununue nasisi tuvae tena hiyo tayari ni kasoro kubwa
Ukweli mtupu.
 
Upande wa Zambia kuna scanner moja tuu,hawafanyi Kazi masaa 24 na wao barabara yao ni njia moja au barabara ni finyu kiasi kwamba Wana restrict idadi ya malori kupita Kwa siku..

Mwisho wanataka madereva wao na kampuni zao ziwe na share kubwa Kwenye usafiri ndani ya Zambia eti kunufaisha watu wao.
Yaani hiyo barabara imeharibika siku za karibuni? Maana tatizo limeanza karibuni tu
 
Back
Top Bottom