Ukitaka kutengwa na wasanii jiweke karibu na WCB

Ukitaka kutengwa na wasanii jiweke karibu na WCB

naanza kuamin kua, mchawi wa bongo ni mbongo mwenyew!
 
Sijui ni kwanini sisi watanzania wengi wetu ni wagumu kupeana sapoti za kuinuana kiuchumi.

Yaani mtu anaona ufahari kila siku kuitwa Boss Boss
 
Hii ndio habari iliyopo ,msanii yeyote ukitaka kutenge na media zingine na wasanii wengine jiweke karibu na record label ya WCB.
Dully Sykes amethibitisha Jana wakati anahojiwa na bongo5.,kuwa anachukiwa na wasanii wenzake kisa kuwa karibu na WCB.

Pia Niko karibu na baadhi ya wasanii wanakuambia live bifu ni kubwa chuki ni kubwa xana.
Mfano mzuri juzi hapa kiba aliulizwa kuhusu kukutana jukwaa1 na harmonize lakini cha kushangaza alikimbia camera., jambo la ajabu km ye anashida na diamond ,hamo anahusika VP.

Mapambano makali yakiongozwa na mtu1 anaitwa b12 yanaandiwa kuangalia namna ya kuidondosha WCB kwa vyovyote vile.
Mkakati1 wapo ni kupiga marufuku wasanii wakubwa wasishirikiane nao,pia kuhakisha makampuni hayafanyi udhamini kwa WCB.

Zamani shilole alikuwa close na WCB kapigwa mkwara amejiweka mbali kwa sasa.

Lakini kitu kinachokwamisha ni ili entertainment iende huwezi kuwakwepa WCB,mda ule wa kufanyana km watoto uungu MTU haupo tena.
Ndio maana WCB wana endorsement kubwa kwenye radio na wasanii wao.
Nawashauri wasanii waache chuki haisaidii hata kidogo.
Hahahahahaaaaa umewaaahi kuonesha kwamba wenye matatizo ni WASANII na siyo WCB acheni umaandaz WCB haswa kiongoz wao DIAMOND wanajifanya viburi wanajifanya wapo top unadhan kuna mtu atatka kuwanyenyekea mara zote mnamtetea diamond bt dogo mashauzi mengi mno na DIAMOND BAADA YA KUJULIKANA KIMATAIFA HASWA BAADA YA NUMBER OME REMIX NA DAVIDO ndo mambo yakabadilika yy mwenyewe anajiweka mbali na wenzake anataka u GOD FATHER tuuuupa kule then ALI KIBA ni msanii mkubwa ki umri kwenye industry hizo habari za kila siku kuulizwa maswali kuhusu uoande wa pili hata ningekuwa mm sijibu ni upuuzi na unavyoendelea kuwakatalia itafika kipind hawatauliza na suala litakuwa limeisha..waambie madogo waache kuvimba maana hawaelewani na wasanii wenzao,hawawlewani na media nyingi waahaingia mgogoro na basata WHO ARE THEY?..nan mwenye shida hapa??..mbna hao wasanii tofaut na WCB hawagomban na watu wengine,mbna hizo media tofaut na WCB hazigomban na makundi mengine?..mbona hao basata wasifungie matamasha mengine kwa mwaka jana hadi ikawe WASAFI FESTIVAL?..THEY HAVE TO CHANGE MZEE la sivyo mtaendelea kulalamika hadi YESU ANARUDI.
 
Hakuna vitu kama hizo, tatizo huenda huna access ya Wasafi tv au Radio we're killing this shit! Business.

Wasafi kuna watu kama 10 wametoka CMG wapo pale kuna watu wasiopungu 5 wametoka Times FM, wawili kutoka IPP na DJ'S wakufa mtu.

Kuna dj Y.OB, dj jacko, dj, chocolate, dj lucky, dj seven, na wengine kama sita hivi damn hii biashara iko Wasafi sasa japo huwezi linganisha na Clouds fm inayopagika nchi nzima
 
Alafu wanataka mziki wetu uwe sawa na Nigeria,wakati wao wenyewe wasanii hawapendani na wamekubali kugombanishwa na washika dau.Wasanii wa Nigeria wanapendana na kubebana sana,wasanii wakubwa wanafanya collabo na wasanii wachanga na ndio maana Nigeria kila mwaka lazima kuna msanii mmoja ataenda kwenye Level za kimataifa.

Wakati si tukihangaika kumshusha Mondi wenzenu Nigeria wanahangaika kuwatengeneza akina WizKid wapya kama akina Kiss Daniel,Burnboy,Patoranking,Falz,Tekno nk na wamefanikiwa.

Mwisho wa siku kwenye matamasha makubwa wanajazana wao wa Nigeria,sisi tukibaki na Diamond tu sana sana labda na mwaka huu wameongezeka Rayvanny,Harmonize na Nandy,lkn mziki wa bongo umejaa chuki,fitina na wivu usiokuwa na msingi ambao haujengi tasnia ya mziki,mwisho wa siku anayejua kitu fulani anabaki kujua yy tu na mwenye connection anabaki nazo yeye mwenyewe.
Wakati huo huo kuna wachawi wa bongo wanakwambia siku hizi Diamond ameshuka sana.

yaani utafikiri kushuka kwa msanii wa bongo kunamletea mtu ugali nyumbani kwake.

Badala ya kuhakikisha tunawapa support wasanii wetu bila kuangalia sura tumebaki kufuata mikumbo.

Msanii anayependwa na media fulani basi watu wote mnalazimishwa mumuone mzuri.
 
Hahahahahaaaaa umewaaahi kuonesha kwamba wenye matatizo ni WASANII na siyo WCB acheni umaandaz WCB haswa kiongoz wao DIAMOND wanajifanya viburi wanajifanya wapo top unadhan kuna mtu atatka kuwanyenyekea mara zote mnamtetea diamond bt dogo mashauzi mengi mno na DIAMOND BAADA YA KUJULIKANA KIMATAIFA HASWA BAADA YA NUMBER OME REMIX NA DAVIDO ndo mambo yakabadilika yy mwenyewe anajiweka mbali na wenzake anataka u GOD FATHER tuuuupa kule then ALI KIBA ni msanii mkubwa ki umri kwenye industry hizo habari za kila siku kuulizwa maswali kuhusu uoande wa pili hata ningekuwa mm sijibu ni upuuzi na unavyoendelea kuwakatalia itafika kipind hawatauliza na suala litakuwa limeisha..waambie madogo waache kuvimba maana hawaelewani na wasanii wenzao,hawawlewani na media nyingi waahaingia mgogoro na basata WHO ARE THEY?..nan mwenye shida hapa??..mbna hao wasanii tofaut na WCB hawagomban na watu wengine,mbna hizo media tofaut na WCB hazigomban na makundi mengine?..mbona hao basata wasifungie matamasha mengine kwa mwaka jana hadi ikawe WASAFI FESTIVAL?..THEY HAVE TO CHANGE MZEE la sivyo mtaendelea kulalamika hadi YESU ANARUDI.
Umeuliza maswali ya kijinga sana ambayo una majibu yake hakuna wakukujibu.

WCB ni Music label kubwa Tanzania, Afrika mashariki na kati yenyewe ndio top.
Na kukuonyesha unyama wana media ambayo inazidi kuwakuza vibaya sana.
Wakati wa Eid hapa ulishuhudia unyama wa Simba yule jamaa ni muhuni anajua katoka wapi acha chuki binafsi Diamond is the king kwa sasa.
 
Hahahahahaaaaa umewaaahi kuonesha kwamba wenye matatizo ni WASANII na siyo WCB acheni umaandaz WCB haswa kiongoz wao DIAMOND wanajifanya viburi wanajifanya wapo top unadhan kuna mtu atatka kuwanyenyekea mara zote mnamtetea diamond bt dogo mashauzi mengi mno na DIAMOND BAADA YA KUJULIKANA KIMATAIFA HASWA BAADA YA NUMBER OME REMIX NA DAVIDO ndo mambo yakabadilika yy mwenyewe anajiweka mbali na wenzake anataka u GOD FATHER tuuuupa kule then ALI KIBA ni msanii mkubwa ki umri kwenye industry hizo habari za kila siku kuulizwa maswali kuhusu uoande wa pili hata ningekuwa mm sijibu ni upuuzi na unavyoendelea kuwakatalia itafika kipind hawatauliza na suala litakuwa limeisha..waambie madogo waache kuvimba maana hawaelewani na wasanii wenzao,hawawlewani na media nyingi waahaingia mgogoro na basata WHO ARE THEY?..nan mwenye shida hapa??..mbna hao wasanii tofaut na WCB hawagomban na watu wengine,mbna hizo media tofaut na WCB hazigomban na makundi mengine?..mbona hao basata wasifungie matamasha mengine kwa mwaka jana hadi ikawe WASAFI FESTIVAL?..THEY HAVE TO CHANGE MZEE la sivyo mtaendelea kulalamika hadi YESU ANARUDI.
Una moyo uliyojaza chuki mno

Kama davido alifanya mond awike zaid kwann upande wenu msipande Huko?


Piga kazi kwa bidii
 
Ruge amepass away mmeamisha mpira..hivi sisi wabongo tunashida gani??

Na huyo b12 mbona unamtaja as if ni mungu mtu kwenye huu muziki wa bongo..
Kwenye Xxl huwa wanamuita Boss. Huenda anaka ushawishi fulani.
 
Hakuna vitu kama hizo, tatizo huenda huna access ya Wasafi tv au Radio we're killing this shit! Business.

Wasafi kuna watu kama 10 wametoka CMG wapo pale kuna watu wasiopungu 5 wametoka Times FM, wawili kutoka IPP na DJ'S wakufa mtu.

Kuna dj Y.OB, dj jacko, dj, chocolate, dj lucky, dj seven, na wengine kama sita hivi damn hii biashara iko Wasafi sasa japo huwezi linganisha na Clouds fm inayopagika nchi nzima
Sasa kama kuna watu 10 kutoka clouds what so special??

Kila mtu afanye kazi kimpango wake na akubalike kimpango wake..
 
Ruge amepass away mmeamisha mpira..hivi sisi wabongo tunashida gani??

Na huyo b12 mbona unamtaja as if ni mungu mtu kwenye huu muziki wa bongo..
Hapo utagungua tatizo siyo RUGE hao watoto wenyewe wa WCB ndo wana shida mzee kila mtu hamuelewani nae why?
 
Uzi wako ni mzuri brother kwa kijana wa kileo [wasasa] Ila kuna kitu nakuomba

kama unamuogopa mungu wako toa hiyo profile picha yako mbele hapo

#sio lazima nimekuomba
Sawa sawa hawa ni wale wasiojitambua wapo wapo tuu
 
Basi kile kiburi cha wasanii wenu ndo hadi mashabiki zao mnacho hahahahaaaa ona uli yovimba kwnye kujibu...mtakunya mavi mtalalama hadi mfe kwa upuuzi huu wa kujiona nyinyi ndo nyinyi sheenz
Umeuliza maswali ya kijinga sana ambayo una majibu yake hakuna wakukujibu.

WCB ni Music label kubwa Tanzania, Afrika mashariki na kati yenyewe ndio top.
Na kukuonyesha unyama wana media ambayo inazidi kuwakuza vibaya sana.
Wakati wa Eid hapa ulishuhudia unyama wa Simba yule jamaa ni muhuni anajua katoka wapi acha chuki binafsi Diamond is the king kwa sasa.
 
Sasa kama kuna watu 10 kutoka clouds what so special??

Kila mtu afanye kazi kimpango wake na akubalike kimpango wake..
Umeona idadi ya watu wa CMG tu? Hujaona wa times na IPP? Maana waliotoka times ni wengi zaidi.

Kuna Calypso, Jonijoo wote hawa wametoka times, kuna Mo town sanya na wengine mafundi kibaooo
 
Una moyo uliyojaza chuki mno

Kama davido alifanya mond awike zaid kwann upande wenu msipande Huko?


Piga kazi kwa bidii
Asa mnalalamika nn kama mnayajua yote hayo wazee kama nyie ndo mpo ON TOP na mnahisi hakuna kama nyinyi nyamazeni mambo yaende asa huyu mtoa post analalamika lalamika nn hapa puuumbav
 
Basi kile kiburi cha wasanii wenu ndo hadi mashabiki zao mnacho hahahahaaaa ona uli yovimba kwnye kujibu...mtakunya mavi mtalalama hadi mfe kwa upuuzi huu wa kujiona nyinyi ndo nyinyi sheenz
WCB ni WCB kiamba mkumba wewe, Diamond kafanya show peke yake Kahama kwa masaa matano uwanja ulijaa ajabu, Geita kwa wanyamwezi kule ndio balaa
 
Back
Top Bottom