Ukitaka kutengwa na wasanii jiweke karibu na WCB

Ukitaka kutengwa na wasanii jiweke karibu na WCB

Diamond hajajiweka mbali na Wasanii wenzake,hivi niambie msanii gani anaweza kukuunganisha na msanii mwengine wa nchi nyingine kama si Diamond ,mnyonge myongeni haki yake mpeni kwanza ww NAKUJUA HUMPENDI DIAMOND NA HUJAWAHI KUMPENDA.

Lakini Mh Temba kishwahi kukiri nyimbo yake na chege,Diamond ndiye aliyewaunganisha na Dj Maphorisa ,hivi nani kashawahi kufanya hivyo kwa wasanii wenzake?Shetta yule Mondi kamuunganisha na KCEE ktk Shikorobo hivi nani kashafanya kama hivi,Madee ana nyimbo yake kafanya na Techno Madee mwenyewe kwa Kinywa chake anamshukuru Diamond.Sasa Diamond angekuwa anajiweka mbali na wasanii hao akina Chege,Madee ,Temba na Shetta hizo collabo wangezipata?.

Mondi kamvimbia nani?au kutaka kutetea maslahi yako ndio kuvimba mbona hata akina Sugu na Jide washawahi kufanya kama Mondi au kafanya Mondi ndio tatizo.

Kijana mziki ni biashara kila mtu ana terms zake,kama hamtaelewana basi msiwekeane vinyongo,dogo Mondi mziki ni biashara yake mwacheni apange terms zake,kwani yy kawekeza hela yake,utake usitake hamna msanii mwenye Exposure kama Diamond,hajasoma lakini kupitia kutembea nchi nyingi kajifunza vitu vingi jinsi mziki unavyoendeshwa ktk nchi nyinginena tatizo washikadau wanataka kuendesha mziki KISHIKAJI na si KIPROFFESSIONAL (kibiashara)zaidi na dogo anachogombana nao mziki wake yy anautizama kama biashara.
Umemaliza Kila kitu ingawa me sio mpenzi wa hiz timu ila mara nyingi zinapobishana timu diamond wanashindaga wanaongeaga facts kuntu lkn timu kiba wanabwabwaja.Umemshinda huyo jamaa kwa facts takatifu ajipange upya
 
Ki profesheno bongo kaka?...umekuja hapa na kelele nyiiiiiii vi bt mwisho wa aiku WCB mna matatizo mnavimba kuanzia wasanii wenu had mashabiki asa mtawasumbua mazumbukuku aiyo qatu na akili zao na kama mnajihisi ur the best among others hizi post za kulalamika mnatengwa sijui nn hatutak kuziona afu me nimpende diamond au ali kiba nna undugu nao kaka?..me nakupa facts ukitaka pokea ukitaka achana nayo ila punguzeni kuvimba kunguni nyie WATU WATAWACHUNIA TU VIZURI TUU pumbav.
Hivi utawezaje kuichunia WCB?
Boss wake ndiye mTZ anayeongoza kwa followers.
Wanamiliki YouTube channels mbili zenye subscribers wengi zaidi.

Wana media hivi una akili wewe?
 
Debe tupu.Kwa hiyo ww unataka mziki uendeshwe kishkaji?Alafu kesho mnatakata mziki wenu uwende ngazi ya kimataifa wakati hela ya kufanya investment hamna.

Sioni facts hapa,facts ambazo hazina tangible evidence,mi hapa naziona hisia zilizo jaa Chuki.Lakini hata ukichukia ukweli haubadiliki .
Kaka this is TZ hata alichofanya davido kwa diamond ilikuwa ushkaji tu davido alikuwa mbaaaaali sana kimafanikio akampa dollar 5000 wakapiga kazi dunia ikamuona bt yy anabaaaaaana anachaguuuuuua kolabo stupid
 
Soma maneno yako[emoji116]

Umemaanisha kahama ni kijijini pengine hupajui huyu jamaa alijaza vichwa, Sumbawanga wanasubiri.
Kujaza O2 si rahisi kutokana na language barrier
Siyo KAHAMA TU kaka Kwa hiyo 02 arena aloitaja hata DAR ni kijijini we huoni kuna ulinganisho hapo akajaze DUNIANI huko unatutajia kahama tena kwa level ya Diamond umechanganyikiwa nn mzee...
 
Jioe moyooo bayo n mataminio yako aende oman akapige show huyo mmakonde wenu pumnav unazungumzia kahama??..umechanganyikiwa eeeh
Hivi hukuiona show ya Simba na harmonize huko Oman ilivyouwa?

BTW nasikiliza The story book ya Wasafi FM hutojutia siku ukisikia, wanaelezea story ya Christopher Columbus
 
Sasa why MNALALAMA JAMANIIII FUTENI BAS HII POST.
Hivi utawezaje kuichunia WCB?
Boss wake ndiye mTZ anayeongoza kwa followers.
Wanamiliki YouTube channels mbili zenye subscribers wengi zaidi.

Wana media hivi una akili wewe?
 
Hivi utawezaje kuichunia WCB?
Boss wake ndiye mTZ anayeongoza kwa followers.
Wanamiliki YouTube channels mbili zenye subscribers wengi zaidi.

Wana media hivi una akili wewe?
Mtu aliyezaliwa na roho za kichawi chawi huwa hafurahii mafanikio ya watu wengine hata siku moja.
 
Kaka this is TZ hata alichofanya davido kwa diamond ilikuwa ushkaji tu davido alikuwa mbaaaaali sana kimafanikio akampa dollar 5000 wakapiga kazi dunia ikamuona bt yy anabaaaaaana anachaguuuuuua kolabo stupid
Davido mameneja wake wanamtizama kama bidhaa na ndio maana kwa wakati huo walihitaji dola 5000,sababu Mondi ataitumia bidhaa yao na duniani kote katika nchi zinazoendesha mziki ki-professional zinafanya hivyo,Cris Brown bila Dola laki 3 hujafanya nae collabo,Wizkid bila dollar elfu 50 hujafanya nae collabo.Inamaa na Wizkid na Cris Brown nao wana bana.
 
Siyo KAHAMA TU kaka Kwa hiyo 02 arena aloitaja hata DAR ni kijijini we huoni kuna ulinganisho hapo akajaze DUNIANI huko unatutajia kahama tena kwa level ya Diamond umechanganyikiwa nn mzee...
Kumbe nabishana na mtu asiysjua kitu HAHAHAHAHA siyo 02 ni O2 wewe,
 
Hivi hukuiona show ya Simba na harmonize huko Oman ilivyouwa?

BTW nasikiliza The story book ya Wasafi FM hutojutia siku ukisikia, wanaelezea story ya Christopher Columbus
Anhaa walienda wawili eeeh...bas ALI KIBA alienda peke yake kaka mfalme wa OMAN bw QABOOS akataka kumpa na jumba lenye wafanyakazi 30 na mshahara wa dollar 50000 kila mwez sawa na mil 125 huku akimuomba abadili uraia afu leo mnatuambia et harmo akamdunike ALI puuuuumbav
 
Acha masikhara wewe, wasanii wanaenda kahama kila kukicha yani kila kuitwako leo kule wasanii wapo kwa sababu ya hela.

Geita ndio balaa, Diamond kiwango cha watu aliojaza alikiba anasubiri hakupata wingi ule ni kufuru Simba alifanya.
Set up ya stage ni international, kiba alifanya kwenye jukwaa la ajabu tafuta clip ulinganishe.

Alikiba sasa hivi akifanya Show siku moja na Harmonize kokote anafunikwa am telling you, Alikiba brand yake anaiuwa yeye mwenyewe, hana namna ipo siku atatinga Wasafi media kutambulisha ngoma
We jamaa unaandikaga point Sana sijui unakuaga unaandika huku ukiwa hauna stress.Huyo jamaa unayemjibu inaonekana sio mfuatiliaji wa industry ya mziki au ana tatizo la ukibalism ndo maana anaandikaga pumba.
 
Na kwa levo ya diamond kipind kile dollar 5000 ilikuwa bei ya kishkaj tena sana..
Davido mameneja wake wanamtizama kama bidhaa na ndio maana kwa wakati huo walihitaji dola 5000,sababu Mondi ataitumia bidhaa yao na duniani kote katika nchi zinazoendesha mziki ki-professional zinafanya hivyo,Cris Brown bila Dola laki 3 hujafanya nae collabo,Wizkid bila dollar elfu 50 hujafanya nae collabo.Inamaa na Wizkid na Cris Brown nao wana bana.
 
Hahahahahaaaaa umewaaahi kuonesha kwamba wenye matatizo ni WASANII na siyo WCB acheni umaandaz WCB haswa kiongoz wao DIAMOND wanajifanya viburi wanajifanya wapo top unadhan kuna mtu atatka kuwanyenyekea mara zote mnamtetea diamond bt dogo mashauzi mengi mno na DIAMOND BAADA YA KUJULIKANA KIMATAIFA HASWA BAADA YA NUMBER OME REMIX NA DAVIDO ndo mambo yakabadilika yy mwenyewe anajiweka mbali na wenzake anataka u GOD FATHER tuuuupa kule then ALI KIBA ni msanii mkubwa ki umri kwenye industry hizo habari za kila siku kuulizwa maswali kuhusu uoande wa pili hata ningekuwa mm sijibu ni upuuzi na unavyoendelea kuwakatalia itafika kipind hawatauliza na suala litakuwa limeisha..waambie madogo waache kuvimba maana hawaelewani na wasanii wenzao,hawawlewani na media nyingi waahaingia mgogoro na basata WHO ARE THEY?..nan mwenye shida hapa??..mbna hao wasanii tofaut na WCB hawagomban na watu wengine,mbna hizo media tofaut na WCB hazigomban na makundi mengine?..mbona hao basata wasifungie matamasha mengine kwa mwaka jana hadi ikawe WASAFI FESTIVAL?..THEY HAVE TO CHANGE MZEE la sivyo mtaendelea kulalamika hadi YESU ANARUDI.
sio wanajifanya wapo top kweli
 
Anhaa walienda wawili eeeh...bas ALI KIBA alienda peke yake kaka mfalme wa OMAN bw QABOOS akataka kumpa na jumba lenye wafanyakazi 30 na mshahara wa dollar 50000 kila mwez sawa na mil 125 huku akimuomba abadili uraia afu leo mnatuambia et harmo akamdunike ALI puuuuumbav
Pole narudia tena pole sana kumbe hata hfuatilli habari za kings music unamfuatilia Simba!

Alikiba alienda Oman akiwa na Ommy dimpoz na kings music crewe yote na ndio waka_shoot hadi kichupa chao
 
Huyu ikiriri ni fala mmoja tu hana mbele wala nyuma ndie alieanzisha uzi
Nimekuamini mzee..mtu mnasema wao ndo wanaongoza kwa mashabiki,pesa na kila kitu naona wameamua kutaka kuongoza na KULALAMIKA..
 
1000+Giant people behind him
Hao wasanii ni wajinga sana na wasitegemee ianguke WCB ndiyo washike chat. Utasikika ukiwa na muziki mzuri halafu kingine wanaua muziki. Kama wanaugomvi wamalizane na siyo kuharibu Muziki. Diamond anabebwa kwa kuimba muziki mzuri na siyo vinginevyo. Mwisho wa siku muziki utakuwa kama Bongo Movie.
Afrika kutoka kimuziki ni ngumu sana ndiyo maana AKON alijiongeza akaenda USA. Huwa na napenda sana bifu za ulaya za wasanii. Watagombana lakini kwenye issue ya hela wapo pamoja. Uliona bifu la 50 cent na Kanye West.
Hao wasanii na huyo jamaa B12 hawana akili wanafikiri kutumia matako. Mpaka nimewadharau
Tunataka muziki wa Tanzania uvuke boda wenyewe wanataka kuua. Nyambafu
 
Back
Top Bottom