Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji39]Umechelewa kujua,mabaharia walishatukojolea kwa njia hiyo mpaka tukawashtukia.Saivi wanatoa hela tu
Hata mke wa mtu, the same rule appliedMbinu ya kivita nawapa ukitala kuuteka moyo wa single mother mpende mwanaye kuliko yeye
Umechelewa kujua,mabaharia walishatukojolea kwa njia hiyo mpaka tukawashtukia.Saivi wanatoa hela tu
Hata mke wa mtu, the same rule applied
Yaani mpende mumewe[emoji41]Hata mke wa mtu, the same rule applied
[emoji1][emoji1][emoji1]Hiyo kwa mabwege mtu akishakua single mother thaman yake inashuka had asilimia 13 huhitaji kumtongoza hmna kipya kwake mshike mkono elekea nae kwa pitch ya kwichichi
Ndoa Yako ya 2017 bado ipo au ikishayeyuko umeanza kuomba HelaUmechelewa kujua,mabaharia walishatukojolea kwa njia hiyo mpaka tukawashtukia.Saivi wanatoa hela tu
Kuna mmoja huyo mda wote story ni za mwanawe na baba mtoto wake mara unasimuliwa kesi baba mtu kaenda kumchukua mtoto shule katoroka Naye kazi yako inakuwa kumpa moyo tu.Mkuu hapo umegusa, tatizo mapenzi ni yenu ila dakika 5 hazipiti mtoto wake lazima atajwe....
Inaua vibe sana hii.
Haya ndio madhara ya watoto kujadili maswala na khabari za watu wazima. Sisi wanaume ni baba walezi. Kazi zetu ni kuweka mkate mezani, kutafuna kitumbu, na kuwafundisha watoto. Hayo ya DNA hayatuhusu. Tatizo vijana wa sasa hampendi kufanya kazi na kutimiza majukumu yenu ya msingi. Hakuna mwanaume mwenye uwezo wake anaangalia mwanamke ana watoto wangapi, akimpenda anaweka ndani. Kipindi chetu cha ujima wanaume tunapotelea vitani mwaka mzima. Tunarudi tunakuta wake zetu wana mimba na maisha yanaendelea kw amani.Hahaaa sasa nani aanze kuhangaika kua baba wa mtoto wa mtu mwingine aah bora niache iko kitumbua
Anahitaji faraja yakoKuna mmoja huyo mda wote story ni za mwanawe na baba mtoto wake mara unasimuliwa kesi baba mtu kaenda kumchukua mtoto shule katoroka Naye kazi yako inakuwa kumpa moyo tu.