Ukitaka kuwa Milionea ndani ya Mwezi mmoja fanya hivi

Ukitaka kuwa Milionea ndani ya Mwezi mmoja fanya hivi

Vitu vingine tunapeana moyo tu,

Swali linasema UKITAKA KUA MILLIONEA, so linamlenga mtu asie millionea. Sasa ni mtu yupi huyu asekua millionea mwenye uwezo wa kuingia gharama za Tshs 500 x Watu 1,000,000 = Tshs 500Mil???

Pili Population ya watu 1Mil ni labda robo ya wakazi wote wa Dsm including watoto. Otherwise kama ni watu wazima tu ndio walengwa basi inabidi ufike na mikoa mengine, ni bidhaa gani ya aina hii itakayokidhi hivi vigezo?

Tatu Hiyo kazi itakua na "pattent rights" ili wengine wasiige ubaki na "monopoly"?

Hii kitu iko theoretically zaidi kuliko practically aplicable!!
broo hapo umenena kwel
 
Ukitaka kuwa Milionea unahitaji kuwa na Milioni 2 tu. Acha kelele nyingi hapa.

To be a Millionare you need just two millions and not otherwise.
 
Back
Top Bottom