Ukitaka kuwa mwanasiasa mzuri somea sheria au uchumi. Fani zingine utaboronga kwenye siasa

Ukitaka kuwa mwanasiasa mzuri somea sheria au uchumi. Fani zingine utaboronga kwenye siasa

Hv mwalimu Nyerere alikuwa nani vile? Rais Mkapa vp naye? to mention few sasa cjui andiko lako kama lina make sense.
Sasa huyo Nyerere c ndiye aliyesababisha tuwe hivi tulivyo aliuwa kabisa uchumi wa nchi hao viongozi waliokuja baada ya Nyerere angalau wakatifikisha hapa tulipo.
 
Waliosoma course za uchumi na sheria ndo huwa wazuri kwenye siasa mana siasa inataka mchumi au mwana sheria.

Tuwe wakweli, hivi engineer, mwalimu, mhasibu etc unaenda kuzungumza nini kwenye siasa mana mhasibu anachojua ni micro economics tu hajui hata game theories zinaoperate vipi ili kulet aushindani na manipulations.

Siasa za kisasa zinahitaji manipulations na wizi kwa njia sahihi kabisa sasa wachumi ndo wanaweza sana.

Throug welfare economics siasa inakiwa nyepesi sana. Sasa unaingia kwenye siasa hata welfare economics hujui hizo siasa unafanyaje?

Ndo mana jpm alikuwa anaboronga kila kitu kwa sababu ni mwalimu.
Sio kweli 100%
 
Waliosoma course za uchumi na sheria ndo huwa wazuri kwenye siasa mana siasa inataka mchumi au mwana sheria.

Tuwe wakweli, hivi engineer, mwalimu, mhasibu etc unaenda kuzungumza nini kwenye siasa mana mhasibu anachojua ni micro economics tu hajui hata game theories zinaoperate vipi ili kulet aushindani na manipulations.

Siasa za kisasa zinahitaji manipulations na wizi kwa njia sahihi kabisa sasa wachumi ndo wanaweza sana.

Throug welfare economics siasa inakiwa nyepesi sana. Sasa unaingia kwenye siasa hata welfare economics hujui hizo siasa unafanyaje?

Ndo mana jpm alikuwa anaboronga kila kitu kwa sababu ni mwalimu.
Jamaa kwa hili andiko nakushauri ungelifuta tu, maana linasadifu jinsi gani ulivyo zumbukuku na zuzu kichwani.
 
Siasa ni fani inayosomewa na kupata degree... Bachelor in Political Science. Wanasiasa wengi huimaliza kozi hiyo katika muda mfupi sana na kupata mwanya wa kuongezea ujuzi kwenye sheria, uchumi na wakati mwingine mambo ya adminstration.
Huku kwetu ni changanyikeni, kila anayejisikia kuingia kwenye siasa anaruhusiwa kupata chama kitakachomdhamini madhari ana uwezo wa kuongea maneno mengi kwa haraka, tena kwa sauti kubwa. Kama una uwezo wa kusifia ndio kabisa.! :AYOOO:
 
Waliosoma course za uchumi na sheria ndo huwa wazuri kwenye siasa mana siasa inataka mchumi au mwana sheria.

Tuwe wakweli, hivi engineer, mwalimu, mhasibu etc unaenda kuzungumza nini kwenye siasa mana mhasibu anachojua ni micro economics tu hajui hata game theories zinaoperate vipi ili kulet aushindani na manipulations.

Siasa za kisasa zinahitaji manipulations na wizi kwa njia sahihi kabisa sasa wachumi ndo wanaweza sana.

Throug welfare economics siasa inakiwa nyepesi sana. Sasa unaingia kwenye siasa hata welfare economics hujui hizo siasa unafanyaje?

Ndo mana jpm alikuwa anaboronga kila kitu kwa sababu ni mwalimu.
Hata mwanauchumi anajua micro economics tu kama mhasibu.
 
Waliosoma course za uchumi na sheria ndo huwa wazuri kwenye siasa mana siasa inataka mchumi au mwana sheria.

Tuwe wakweli, hivi engineer, mwalimu, mhasibu etc unaenda kuzungumza nini kwenye siasa mana mhasibu anachojua ni micro economics tu hajui hata game theories zinaoperate vipi ili kulet aushindani na manipulations.

Siasa za kisasa zinahitaji manipulations na wizi kwa njia sahihi kabisa sasa wachumi ndo wanaweza sana.

Throug welfare economics siasa inakiwa nyepesi sana. Sasa unaingia kwenye siasa hata welfare economics hujui hizo siasa unafanyaje?

Ndo mana jpm alikuwa anaboronga kila kitu kwa sababu ni mwalimu.
This is totally uncouth argument from a primitive person and uneducated as well na imejaa ujinga uliotoka kwa mtu mjinga.jipe muda ujifunze bwana mdogo.
 
Waliosoma course za uchumi na sheria ndo huwa wazuri kwenye siasa mana siasa inataka mchumi au mwana sheria.

Tuwe wakweli, hivi engineer, mwalimu, mhasibu etc unaenda kuzungumza nini kwenye siasa mana mhasibu anachojua ni micro economics tu hajui hata game theories zinaoperate vipi ili kulet aushindani na manipulations.

Siasa za kisasa zinahitaji manipulations na wizi kwa njia sahihi kabisa sasa wachumi ndo wanaweza sana.

Throug welfare economics siasa inakiwa nyepesi sana. Sasa unaingia kwenye siasa hata welfare economics hujui hizo siasa unafanyaje?

Ndo mana jpm alikuwa anaboronga kila kitu kwa sababu ni mwalimu.
Mkuu umeanzia mbali, kumbe lengo lako lilikuwa hapo mwisho😂
 
Kwani ukiwa rais ndio utakua unaendesha nchi kama familia yako? Nchi inahitaji kiongozi mwenye maono na mwenye maoenzi ya kweli kwa nchi yake.
 
Back
Top Bottom