Wakasha fukunu
Member
- Feb 8, 2012
- 29
- 24
- Thread starter
-
- #21
nakubaliana na wewe halo maelezo yako ni mafupi na wengi ambao hawatakuelewa watakupinga,kama wanavofanya wasiomwelewa Robert Kiyosaki ambaye bila shaka ndiye mwalimu wako.
Tofauti na wengi wanavyoamini,Robert Kiyosaki hasemi kwamba tusipeleke watoto shule,lakini anahamasisha mabadiliko katika mfumo wa elimu,maana tunakwenda shule ili tuje kuwa waajiriwa badala ya kujiajiri na kuajiri wengine.
Tupeleke watoto shule lakini pia nyumbani tuwafundishe kitu ambacho shuleni hawajifunzi,"financial education",mtu anaweza kuajiriwa na bado akawa financially free,ni suala la wewe unafikiri nini kuhusu pesa,Kuna rules za pesa,za zamani na za sasa,wewe unafuata rules zipi?
sure thinker