Hypersonic WMD
JF-Expert Member
- Apr 11, 2024
- 1,337
- 1,876
Wakuu hii nimejionea mbwa wana urafiki wa kindaki ndaki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mbwa hanaga unafikikweli
Si muowane nae kabisa kama mnaowaiga?Wakuu hii nimejionea mbwa wana urafiki wa kindaki ndaki
Yahya Sinwar kafaSi muowane nae kabisa kama mnaowaiga?
View attachment 3128517
Usipompa chakula anakukimbiaWakuu hii nimejionea mbwa wana urafiki wa kindaki ndaki
Kuna mwamba kauawa na mbwa wake south africa miezi kadhaa nyuma.Wakuu hii nimejionea mbwa wana urafiki wa kindaki ndaki
Mbwa mali sana aisee, akishajuwa kuna dalili ya kuvamiwa hapa lazima atakushitua tu na kama atakuwa hajafungwa basi ataua mtu. Toka mbwa wangu walimla pumbu kibaka aliyejichanganya kuruka ukuta nyumbani nimewachukulia order ya nyama kila week. I believe in killings, kibaka akija nyumabni kwangu kuiba na akavamiwa na mbwa haki ya nani simuokoi, namwacha auwawe tu.Wakuu hii nimejionea mbwa wana urafiki wa kindaki ndaki
mbwa wako ni wengiMbwa mali sana aisee, akishajuwa kuna dalili ya kuvamiwa hapa lazima atakushitua tu na kama atakuwa hajafungwa basi ataua mtu. Toka mbwa wangu walimla pumbu kibaka aliyejichanganya kuruka ukuta nyumbani nimewachukulia order ya nyama kila week. I believe in killings, kibaka akija nyumabni kwangu kuiba na akavamiwa na mbwa haki ya nani simuokoi, namwacha auwawe tu.
Ninao 6 (Mixer wa doberman na German shepherd) kwani eneo langu ni karibia ekari 2 kasoro.mbwa wako ni wengi
nani kingunge ngombare?Kuna mwamba kauawa na mbwa wake south africa miezi kadhaa nyuma.
Unataka mke mdogo kwa mumeo au umbwa ?Si muowane nae kabisa kama mnaowaiga?
View attachment 3128517
Hata chanzo Cha kifo Cha mzee Kingunge Ngombale Mwiru ni kung'atwa na mbwa wakeKuna mwamba kauawa na mbwa wake south africa miezi kadhaa nyuma.
kwa nini usimpe chakula? huko si kumtesa tu,na siyo kwamba ana kukimbia anaenda kuta futa sehemu kwenye chakula..kama binadamu tu na viumbe vingineUsipompa chakula anakukimbia