Ukitaka Rafiki wa kweli fuga mbwa! Hawa viumbe hawanaga unafiki

Wakuu hii nimejionea mbwa wana urafiki wa kindaki ndaki
Mbwa mali sana aisee, akishajuwa kuna dalili ya kuvamiwa hapa lazima atakushitua tu na kama atakuwa hajafungwa basi ataua mtu. Toka mbwa wangu walimla pumbu kibaka aliyejichanganya kuruka ukuta nyumbani nimewachukulia order ya nyama kila week. I believe in killings, kibaka akija nyumabni kwangu kuiba na akavamiwa na mbwa haki ya nani simuokoi, namwacha auwawe tu.
 
mbwa wako ni wengi
 
Usipompa chakula anakukimbia
kwa nini usimpe chakula? huko si kumtesa tu,na siyo kwamba ana kukimbia anaenda kuta futa sehemu kwenye chakula..kama binadamu tu na viumbe vingine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…