Ukitaka ujue kwanini jana Refa Florentina Zablon alijichanganya vile na kuwapa penati jibu ni hili hapa

Ukitaka ujue kwanini jana Refa Florentina Zablon alijichanganya vile na kuwapa penati jibu ni hili hapa

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Naweka hapa nukuu niliyoambiwa na mmoja wa mjumbe wa kamati yao maalum ya unyangindo (uchawi) juu ya kupendelewa kwoo jana na Mwamuzi (Referee) hadi kushinda kwa janja janja sana.

"GENTAMYCINE baada ya watu kutushtukia kuwa tulikuwa na tuhonga wachezaji au benchi zima la ufundi, hivi sasa tumeamua kuwa tunahakikisha tunamroga mno Mwamuzi ili ajichanganye kimaamuzi na ajikute anatubeba na kamwe tusifungwe hata mchezo mmoja", amesema mjumbe mwandamizi wa kamati hiyo.

Hii taarifa GENTAMYCINE niliipata kama mwezi hivi umepita ila nikaipuuza, lakini baada ya leo kuhakikishiwa na mmoja wao (katika kamati) hiyo husika.

Unaambiwa tokea Alhamisi ya wiki hii walipolijua tu jina la Mwamuzi aliyewabeba jana, upesi sana walitafutwa waganga na masheikh na kuwekwa eneo moja ili wapige dua dhidi ya Mwamuzi (Referees), ambayo ilizaa matunda na Klabu ikafaidika na matokeo yale.
 
Naweka hapa nukuu niliyoambiwa na mmoja wa mjumbe wa kamati yao maalum ya unyangindo (uchawi) juu ya kupendelewa kwoo jana na Mwamuzi (Referee) hadi kushinda kwa janja janja sana.

"GENTAMYCINE baada ya watu kutushtukia kuwa tulikuwa na tuhonga wachezaji au benchi zima la ufundi, hivi sasa tumeamua kuwa tunahakikisha tunamroga mno Mwamuzi ili ajichanganye kimaamuzi na ajikute anatubeba na kamwe tusifungwe hata mchezo mmoja", amesema mjumbe mwandamizi wa kamati hiyo.

Hii taarifa GENTAMYCINE niliipata kama mwezi hivi umepita ila nikaipuuza, lakini baada ya leo kuhakikishiwa na mmoja wao (katika kamati) hiyo husika.

Unaambiwa tokea Alhamisi ya wiki hii walipolijua tu jina la Mwamuzi aliyewabeba jana, upesi sana walitafutwa waganga na masheikh na kuwekwa eneo moja ili wapige dua dhidi ya Mwamuzi (Referees), ambayo ilizaa matunda na Klabu ikafaidika na matokeo yale.

Upo km jua la asubuhi sometym yes sometym no
 
a040d5e716e243149aa133ace2eb05bb.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naweka hapa nukuu niliyoambiwa na mmoja wa mjumbe wa kamati yao maalum ya unyangindo (uchawi) juu ya kupendelewa kwoo jana na Mwamuzi (Referee) hadi kushinda kwa janja janja sana.

"GENTAMYCINE baada ya watu kutushtukia kuwa tulikuwa na tuhonga wachezaji au benchi zima la ufundi, hivi sasa tumeamua kuwa tunahakikisha tunamroga mno Mwamuzi ili ajichanganye kimaamuzi na ajikute anatubeba na kamwe tusifungwe hata mchezo mmoja", amesema mjumbe mwandamizi wa kamati hiyo.

Hii taarifa GENTAMYCINE niliipata kama mwezi hivi umepita ila nikaipuuza, lakini baada ya leo kuhakikishiwa na mmoja wao (katika kamati) hiyo husika.

Unaambiwa tokea Alhamisi ya wiki hii walipolijua tu jina la Mwamuzi aliyewabeba jana, upesi sana walitafutwa waganga na masheikh na kuwekwa eneo moja ili wapige dua dhidi ya Mwamuzi (Referees), ambayo ilizaa matunda na Klabu ikafaidika na matokeo yale.
Yiiiii lushindo.....
 
We Dada bwana wako aliyekuacha ni Yanga damdam... Lazima uichukie Yanga.. sikulaumu we dada... Sio kosa lako Dada
 
Ficha ujinga wako wakati mwingine sio kila kitu unapinga pinga tu.
Kijana mimi sio kama hao wenzako mnaobishana vijiweni na kutukanana. Njoo kistaarabu tujadili kama kaka na mdogo wake. Nitakuchafua mpuuzi wewe

Wewe hapo umeniona nimepinga kama wewe usingekua mjinga si ungekuja na facts kunieleza kwa nini haiko ivyo. Sijui kwa nini hamstaaribiki umbumbumbu umekujaa wewe?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukimaliza ya Zablon tuambie Jana refa kaona nini Hadi Sakho kamaliza Mechi bila red card.
 
Naweka hapa nukuu niliyoambiwa na mmoja wa mjumbe wa kamati yao maalum ya unyangindo (uchawi) juu ya kupendelewa kwoo jana na Mwamuzi (Referee) hadi kushinda kwa janja janja sana.

"GENTAMYCINE baada ya watu kutushtukia kuwa tulikuwa na tuhonga wachezaji au benchi zima la ufundi, hivi sasa tumeamua kuwa tunahakikisha tunamroga mno Mwamuzi ili ajichanganye kimaamuzi na ajikute anatubeba na kamwe tusifungwe hata mchezo mmoja", amesema mjumbe mwandamizi wa kamati hiyo.

Hii taarifa GENTAMYCINE niliipata kama mwezi hivi umepita ila nikaipuuza, lakini baada ya leo kuhakikishiwa na mmoja wao (katika kamati) hiyo husika.

Unaambiwa tokea Alhamisi ya wiki hii walipolijua tu jina la Mwamuzi aliyewabeba jana, upesi sana walitafutwa waganga na masheikh na kuwekwa eneo moja ili wapige dua dhidi ya Mwamuzi (Referees), ambayo ilizaa matunda na Klabu ikafaidika na matokeo yale.
Kwani mzee Mpili anasemaje kuhusu Yanga na uchawi
 

Attachments

  • Man of the match mzee mpili.mp4
    1.5 MB
Mashabiki wa simba, kama vipi anzeni kujichanga nauli mapema ili musafirishe huyu ndugu yenu kule Mirembe Dodoma ili akachue dawa zake. Naona hali yake inaelekea kubaya.
 
Back
Top Bottom