Kimwakaleli
JF-Expert Member
- Apr 16, 2018
- 7,755
- 11,737
Habari wana Jamii Forums,
Nilikulia na kulelewa na bibi yangu mzaa mama, hapo wengi watdhani ni mtoto wa nje!
Nilikuwa mjukuu wa kwanza kwao, tena jembe! Alinufundisha mengi sana na ndio ninayaishi. Mfano mtu anakaribishwa kula anajifanya kashiba! Mwenye chakula anamuhimiza amege hata tonge moja tu kutia baraka.
Matokeo yake anakubali kula cha kuchangaza anakula mwanzo hadi mwisho. Tonge hadi tonge. Noma washikaji.
Nilikulia na kulelewa na bibi yangu mzaa mama, hapo wengi watdhani ni mtoto wa nje!
Nilikuwa mjukuu wa kwanza kwao, tena jembe! Alinufundisha mengi sana na ndio ninayaishi. Mfano mtu anakaribishwa kula anajifanya kashiba! Mwenye chakula anamuhimiza amege hata tonge moja tu kutia baraka.
Matokeo yake anakubali kula cha kuchangaza anakula mwanzo hadi mwisho. Tonge hadi tonge. Noma washikaji.