Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Wengi tunajua mahusiano ni gharama, hasa kwa upande wa wanaume. Kutumia maelfu, milioni n.k ni kitu cha kawaida kwenye mahusiano.
Mbaya zaidi, ufujaji wa hizo fedha hauendani na uingiaji wa hizo fedha katika akaunti yako. Utokaji unakuwa ni mkubwa sana kuliko uingiaji.
Tunajua ni hisia pamoja na matamanio, ndio yanayotufanya kuingia kwenye mahusiano na mtu fulani.
Wengi, huwa tukivutiwa na wadada, huwa tunawaomba tubadilishane nao namba za simu.
Sasa, baada ya kubadilishana namba za simu, kinachofuata ni mawasiliano.
Utatakiwa umpigie mara moja tu, baada ya hapo mpatie nafasi, yeye ndio awe anakutafuta.
Kukutafuta kwake, ni ishara ya kukuonyesha wewe, umekubalika vipi katika nafsi yake.
Ukienda tofauti na hapo, jiandae kulizwa.
Mbaya zaidi, ufujaji wa hizo fedha hauendani na uingiaji wa hizo fedha katika akaunti yako. Utokaji unakuwa ni mkubwa sana kuliko uingiaji.
Tunajua ni hisia pamoja na matamanio, ndio yanayotufanya kuingia kwenye mahusiano na mtu fulani.
Wengi, huwa tukivutiwa na wadada, huwa tunawaomba tubadilishane nao namba za simu.
Sasa, baada ya kubadilishana namba za simu, kinachofuata ni mawasiliano.
Utatakiwa umpigie mara moja tu, baada ya hapo mpatie nafasi, yeye ndio awe anakutafuta.
Kukutafuta kwake, ni ishara ya kukuonyesha wewe, umekubalika vipi katika nafsi yake.
Ukienda tofauti na hapo, jiandae kulizwa.