Ukitoa namba ya simu na usipotafutwa potezea; amekuepusha kwenye matumizi ya ovyo

Ukitoa namba ya simu na usipotafutwa potezea; amekuepusha kwenye matumizi ya ovyo

Hata mimi nimemshangaa jamaa,yani utoe namba kwa pisi kali afu usitafutwe ushukuru!!! mwaka jana kuna mtoto wa kizungu nimekutana naye Hotelini nikampa namba hajanitafuta mpaka leo
hii inaniuma sana
😂😂😂😂
 
Problem ya wanaume wengi these days hawana cha ziada. Kuomba namba ni kama utaratibu. Akimuona tu mtoto mzuri chaaap ameshaanza kuomba namba, tena hasa hasa wenye iphone hua wanapenda sana kujionyesha.
Ukiomba namba af usitafutwe jua kabisa wewe ndo ulikosea kwenye hatua za mwanzo. Umekutana na mwanamke, both of you are strangers to each other, ili aendelee kukutafta lazma kuwe na kitu alichokifurahia mwanzoni so atakutafta ili aone kama kuna vinginevo.
Narudia kusema, kila mwanamke ana gia ya kumwingia, ukienda kienyeji kama kila mtu, you wont stand out hivyo chances zako zinapotea na unaishia kuwalaumu kua wanaringa.
Grow up!
 
Wengi tunajua mahusiano ni gharama, hasa kwa upande wa wanaume. Kutumia maelfu, milioni n.k ni kitu cha kawaida kwenye mahusiano.

Mbaya zaidi, ufujaji wa hizo fedha hauendani na uingiaji wa hizo fedha katika akaunti yako. Utokaji unakuwa ni mkubwa sana kuliko uingiaji.

Tunajua ni hisia pamoja na matamanio, ndio yanayotufanya kuingia kwenye mahusiano na mtu fulani.

Wengi, huwa tukivutiwa na wadada, huwa tunawaomba tubadilishane nao namba za simu.

Sasa, baada ya kubadilishana namba za simu, kinachofuata ni mawasiliano.

Utatakiwa umpigie mara moja tu, baada ya hapo mpatie nafasi, yeye ndio awe anakutafuta.

Kukutafuta kwake, ni ishara ya kukuonyesha wewe, umekubalika vipi katika nafsi yake.

Ukienda tofauti na hapo, jiandae kulizwa.
Towa ela acha porojo, hasa kipindi hiki cha recession hela inalipa.
 
Problem ya wanaume wengi these days hawana cha ziada. Kuomba namba ni kama utaratibu. Akimuona tu mtoto mzuri chaaap ameshaanza kuomba namba, tena hasa hasa wenye iphone hua wanapenda sana kujionyesha.
Ukiomba namba af usitafutwe jua kabisa wewe ndo ulikosea kwenye hatua za mwanzo. Umekutana na mwanamke, both of you are strangers to each other, ili aendelee kukutafta lazma kuwe na kitu alichokifurahia mwanzoni so atakutafta ili aone kama kuna vinginevo.
Narudia kusema, kila mwanamke ana gia ya kumwingia, ukienda kienyeji kama kila mtu, you wont stand out hivyo chances zako zinapotea na unaishia kuwalaumu kua wanaringa.
Grow up!
SAHII KABISA,
Vijana Wamezubaa mno[emoji4]
 
Problem ya wanaume wengi these days hawana cha ziada. Kuomba namba ni kama utaratibu. Akimuona tu mtoto mzuri chaaap ameshaanza kuomba namba, tena hasa hasa wenye iphone hua wanapenda sana kujionyesha.
Ukiomba namba af usitafutwe jua kabisa wewe ndo ulikosea kwenye hatua za mwanzo. Umekutana na mwanamke, both of you are strangers to each other, ili aendelee kukutafta lazma kuwe na kitu alichokifurahia mwanzoni so atakutafta ili aone kama kuna vinginevo.
Narudia kusema, kila mwanamke ana gia ya kumwingia, ukienda kienyeji kama kila mtu, you wont stand out hivyo chances zako zinapotea na unaishia kuwalaumu kua wanaringa.
Grow up!
Ata Kama lkn hutoweza kumpata kila unaemuhitaji
 
Wanachokosea Sana vijana mpaka hawapigiwi simu Ni wanakurupuka sana kuchukua/kutoa namba bila kufuata utaratibu.

Ujue Kuna hatua muhimu Sana zinatakiwa zifuatwe ili hata ukimpa mwanamke namba, yeye mwenyewe awe na shauku kubwa ya kukutafuta wewe.

Na sio wewe umtafute yeye

VIJANA SIJUI MNAKWAMA WAPI[emoji848]
Mkuu tupe mrejesho na my wako Mama J.
 
Nakusoma
Sasa wale wa viwango vya juu classic wanapatikana wap maana uku uswahilini ni adimu sana
Wanawake Ni wanawake TU,
Hapa haliongelewi suala la uchumi.

Hata uku uswahilini wanwake classic wapo, ila jins walivyo wako tofauti Sana na Hawa tuliowazoea.

Ni suala husika la wee mwenyewe kua makini kupoint[emoji4]
 
Hakika mkuu. Pina muuza glocery nilimpa namba hakunitafuta kabisaa. Nikipita kumkumbusha bado hapigi mpaka nikaanza kujisikia vibaya,najishangaa watoto wanvyonishobokea hivi huyu demu anapoteza habati.
Siku moja nikamkuta kwa wakala jirani hako, alipoondoka tukaanza kumdiscuss. Wakala akaniambia mshukuru Mungu kwa hilo,yule demu ana shida ya homa ya ini pengine kakuonea huruma kukuambukiza ☹☹☹☹
Baada ya hapo nilienda kupima na kuchanja
 
Back
Top Bottom