ππππHata mimi nimemshangaa jamaa,yani utoe namba kwa pisi kali afu usitafutwe ushukuru!!! mwaka jana kuna mtoto wa kizungu nimekutana naye Hotelini nikampa namba hajanitafuta mpaka leo
hii inaniuma sana
Serious dada Christine1[emoji3][emoji3][emoji3]aisee
[emoji3][emoji3]sawaSerious dada Christine1
Mtoa mada kazoea kukutana na avarage girls[emoji4]
Avarage girl girls ndio wanawake wa aina gani hao mkuuSerious dada Christine1
Mtoa mada kazoea kukutana na avarage girls[emoji4]
Towa ela acha porojo, hasa kipindi hiki cha recession hela inalipa.Wengi tunajua mahusiano ni gharama, hasa kwa upande wa wanaume. Kutumia maelfu, milioni n.k ni kitu cha kawaida kwenye mahusiano.
Mbaya zaidi, ufujaji wa hizo fedha hauendani na uingiaji wa hizo fedha katika akaunti yako. Utokaji unakuwa ni mkubwa sana kuliko uingiaji.
Tunajua ni hisia pamoja na matamanio, ndio yanayotufanya kuingia kwenye mahusiano na mtu fulani.
Wengi, huwa tukivutiwa na wadada, huwa tunawaomba tubadilishane nao namba za simu.
Sasa, baada ya kubadilishana namba za simu, kinachofuata ni mawasiliano.
Utatakiwa umpigie mara moja tu, baada ya hapo mpatie nafasi, yeye ndio awe anakutafuta.
Kukutafuta kwake, ni ishara ya kukuonyesha wewe, umekubalika vipi katika nafsi yake.
Ukienda tofauti na hapo, jiandae kulizwa.
Wanawake wa kawaida tuliozoea kukutana nao kila Mara kwenye mihangaiko yetu.Avarage girl girls ndio wanawake wa aina gani hao mkuu
SAHII KABISA,Problem ya wanaume wengi these days hawana cha ziada. Kuomba namba ni kama utaratibu. Akimuona tu mtoto mzuri chaaap ameshaanza kuomba namba, tena hasa hasa wenye iphone hua wanapenda sana kujionyesha.
Ukiomba namba af usitafutwe jua kabisa wewe ndo ulikosea kwenye hatua za mwanzo. Umekutana na mwanamke, both of you are strangers to each other, ili aendelee kukutafta lazma kuwe na kitu alichokifurahia mwanzoni so atakutafta ili aone kama kuna vinginevo.
Narudia kusema, kila mwanamke ana gia ya kumwingia, ukienda kienyeji kama kila mtu, you wont stand out hivyo chances zako zinapotea na unaishia kuwalaumu kua wanaringa.
Grow up!
Shida siku hizi wandanganyana mitandaoni badala ya kupata mawaidha ya wakongweSAHII KABISA,
Vijana Wamezubaa mno[emoji4]
NakusomaWanawake wa kawaida tuliozoea kukutana nao kila Mara kwenye mihangaiko yetu.
Ata Kama lkn hutoweza kumpata kila unaemuhitajiProblem ya wanaume wengi these days hawana cha ziada. Kuomba namba ni kama utaratibu. Akimuona tu mtoto mzuri chaaap ameshaanza kuomba namba, tena hasa hasa wenye iphone hua wanapenda sana kujionyesha.
Ukiomba namba af usitafutwe jua kabisa wewe ndo ulikosea kwenye hatua za mwanzo. Umekutana na mwanamke, both of you are strangers to each other, ili aendelee kukutafta lazma kuwe na kitu alichokifurahia mwanzoni so atakutafta ili aone kama kuna vinginevo.
Narudia kusema, kila mwanamke ana gia ya kumwingia, ukienda kienyeji kama kila mtu, you wont stand out hivyo chances zako zinapotea na unaishia kuwalaumu kua wanaringa.
Grow up!
Mkuu tupe mrejesho na my wako Mama J.Wanachokosea Sana vijana mpaka hawapigiwi simu Ni wanakurupuka sana kuchukua/kutoa namba bila kufuata utaratibu.
Ujue Kuna hatua muhimu Sana zinatakiwa zifuatwe ili hata ukimpa mwanamke namba, yeye mwenyewe awe na shauku kubwa ya kukutafuta wewe.
Na sio wewe umtafute yeye
VIJANA SIJUI MNAKWAMA WAPI[emoji848]
Hii dunia huez pata kila kitu. Hata yeye pia anaangalia, kila mtu ana levels. Kama anaona sio level ake anakutemaAta Kama lkn hutoweza kumpata kila unaemuhitaji
Leo ndo nategemea Jion nikifunga niende kwake[emoji4]Mkuu tupe mrejesho na my wako Mama J.
Wanawake Ni wanawake TU,Nakusoma
Sasa wale wa viwango vya juu classic wanapatikana wap maana uku uswahilini ni adimu sana
Sawa utatupa mrejesho mkuu[emoji85][emoji85]Leo ndo nategemea Jion nikifunga niende kwake[emoji4]