Kutajiwa. Kuipeleka huenda ikafanyika hata baada ya wiki 2
Muhuni huyo kwa sababu mahari ni utayari wa ndoa ,kwanza watu wengi wanalipa nusu yaani akiambiwa siku fulani mapema analeta hata kidogo na kuna uwezekano asilipe iliyobaki.
Mahari ni jambo la utayari na kuharakisha fasta.
Kwani hajakwambia watakuja lini?
Huwa wanasema, ili mjiandae..
Kila la heri, Mungu akuongoze
Ikizidi mwezi ipi athari yake?Haina muda maalum ila isizidi mwezi
Ukitoa posa,, kwanza kabisa kabla ya yote unatakiwa kuandika barua ya kishika uchumba[nitaweka mfano wake] ndani ya barua hiyo ndiyo utaweka kiasi kidogo Cha pesa ya kishika uchumba kisha utatafuta mtu wa heshima akupelekee barua yako. Haijalishi ulishampanga binti yao au laa kinachomata ni YUPI? Kisha watatoa muda wa kuendea majibu ya ombi lako.Kwani ukileta posa ndio wanapanga na mahari siku hiyo hiyo au
Ukitoa posa,, kwanza kabisa kabla ya yote unatakiwa kuandika barua ya kishika uchumba[nitaweka mfano wake] ndani ya barua hiyo ndiyo utaweka kiasi kidogo Cha pesa ya kishika uchumba kisha utatafuta mtu wa heshima akupelekee barua yako. Haijalishi ulishampanga binti yao au laa kinachomata ni YUPI? Kisha watatoa muda wa kuendea majibu ya ombi lako.
Kisha Kwa barua yako wazazi wa binti wataitana kikao kukujadili hapo sasa na wewe unakuwa unafunga ukiomba mambo yako yaende poa si unajua tena kitu 'ombi' halina jibu moja.
Endapo mambo yakienda sawa basi utajulishwa kuwa barua yako imepokelewa ndipo mtapanga siku ya kukutana kwao kwa ajili ya kupanga mahali (posa).
Baada ya hapo ndio mipango mingine ya harusi au ndoa inafata.
MAGUFULI4LIFE.
Hiii kumbe posa na mahari ni vitu viwili tofauti, Yaani ni sawa na ukitaka kuuliza bei ya bidhaa unalipia kwanza na ukitaka kuinunua unalipia Tena. Shikamoo Afrika[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
Hahaha posa ni barua ya kuomba uchumba
Mahari ndio sasa tiketi ya kuingia kwenye ndoa
Kwahiyo posa sio pesa?
Posa ni hela ya kumtoa binti kwao (mahali) hii hufikiwa makubaliano Kwa pande zote mbili, ila nadhani unamaanisha kishika uchumba.Kiasi gani huwekwa kwenye posa
This is Africa brotherPosa ni hela ya kumtoa binti kwao (mahali) hii hufikiwa makubaliano Kwa pande zote mbili, ila nadhani unamaanisha kishika uchumba.
Hii itatokana na wewe mwenyewe kwa mapenzi yako may be elf 20,30, au hata 50 kama mfuko utaruhusu.
Sema kingine hapa Kuna familia huwa na mila zao kuanzia barua unaweza ukaambiwa chukua barua yako nenda kaifunge kwenye kitambaa kipya cheupe au familia zingine zikishagundua ni barua ya posa unaambiwa ndani ya bahasha kaweke nafaka za chakula aidha ulezi,mtama na vitu kama hivyo ndio kisha urudie kuipeleka.
MAGUFULI4LIFE.
Posa ni hela ya kumtoa binti kwao (mahali) hii hufikiwa makubaliano Kwa pande zote mbili, ila nadhani unamaanisha kishika uchumba.
Hii itatokana na wewe mwenyewe kwa mapenzi yako may be elf 20,30, au hata 50 kama mfuko utaruhusu.
Sema kingine hapa Kuna familia huwa na mila zao kuanzia barua unaweza ukaambiwa chukua barua yako nenda kaifunge kwenye kitambaa kipya cheupe au familia zingine zikishagundua ni barua ya kuchumbia unaambiwa ndani ya bahasha kaweke nafaka za chakula aidha ulezi,mtama na vitu kama hivyo ndio kisha urudie kuipeleka.
MAGUFULI4LIFE.
Inategemeana na mapenziNataka nirudishe posa ya mtu miezi 4 ni mingi sana wakati kuna jamaa analeta posa na mahari tunasubiri ndoaa
Hapo wataalamu wanasema kawahi namba au ka block kaweka defence akirudi anakukuta.Kuna mtu kanisubirisha miezi 5 nataka nirudishe posa yake akiwa tayari aanze upya
Mchumbiaji ni mgeni tu kama wageni wengine hivyo familia ya binti ndio itahusika na zoezi zima la kukarim ugeni.Posa inaweza kuzidi elfu 50
Na utaratibu upoje anaeleta posa ndio anatoa hela ya chakula kwa binti kwa maandalizi ya uletaji posa ikiwa ni wao kula siku hiyo
Namaanisha siku hiyo ya posa hela ya msosi anatoa muhusika yaani mletaji posa
Muulize mwenzako msipende jiangalia nyie tu... Aanze upya kana kwamba wewe humuhitaji mwenzio?Kuna mtu kanisubirisha miezi 5 nataka nirudishe posa yake akiwa tayari aanze upya