Ilikuwaje ukapanga mahali na yeye wakati wazazi wake wapo?Dah wakuu na mimi imenikuta scenario iyo iyo kuna mchumba nimempata yupo tanga sasa kanambia mahari ni 1.5m nikamwambia why pesa iyo ndo akanipanga kuwa 500k yake,500k mama ake na 500k baba ake sasa sijui amekaririshwa vibaya kuwa mimi nina pesa kisa na kajumba ka kuanzia maisha.Juzi ananiambia kuwa alishatolewa barua mwezi wa 3 na mahari mwezi wa nane yani kishika uchumba shilingi laki 6.Amenambia kwamba nipeleke mahari ili familia yake warudishe iyo laki 6 kwa mposaji wa mwanzo anasema hakumpenda je wakuu mnalionaje ilo?
Wanafaa kudundwa...πNa wanaozidisha Miezi 4
Sikupanga nae huo ndo utaratibu wao kwa maana alinambia kulikuwa na mposaji wa kwanza aliambiwa 1.5m akashindwa.I
Ilikuwaje ukapanga mahali na yeye wakati wazazi wake wapo?
MAGUFULI4LIFE.
Inshu ilikuwa ndogo tu, mngejadiliana kwanza na wanaoenda kukusaidia kupanga mahali kwamba nyie mwisho wenu kabisa itakuwa shilingi ngapi zaidi ya hapo mngetangaza kushindwa kutokana na ukubwa wa mahali.Sikupanga nae huo ndo utaratibu wao kwa maana alinambia kulikuwa na mposaji wa kwanza aliambiwa 1.5m akashindwa.
Mahali?Nipeni range ya kutoa posa na mahali huwa vinachukua muda gani wapendwa.[emoji23][emoji23][emoji23]
Yaani ukitoa posa unakaa muda gani ndio utoe na mahari?
Ukitoa posa unatakiwa ukae miaka 4 ndio ulipe mahari ambayo bibie ameitumikia kwa hiyo miaka 4.Nipeni range ya kutoa posa na mahali huwa vinachukua muda gani wapendwa.[emoji23][emoji23][emoji23]
Yaani ukitoa posa unakaa muda gani ndio utoe na mahari?
Unatapeliwa wewe...kuna vitu havilazmishwi kma kaletewa posa aende hukoDah wakuu na mimi imenikuta scenario iyo iyo kuna mchumba nimempata yupo tanga sasa kanambia mahari ni 1.5m nikamwambia why pesa iyo ndo akanipanga kuwa 500k yake,500k mama ake na 500k baba ake sasa sijui amekaririshwa vibaya kuwa mimi nina pesa kisa na kajumba ka kuanzia maisha.Juzi ananiambia kuwa alishatolewa barua mwezi wa 3 na mahari mwezi wa nane yani kishika uchumba shilingi laki 6.Amenambia kwamba nipeleke mahari ili familia yake warudishe iyo laki 6 kwa mposaji wa mwanzo anasema hakumpenda je wakuu mnalionaje ilo?
Mmh personally labda kuwe na sababu ya msingi otherwise runNa wanaozidisha Miezi 4
πππ wote si tunahitajiana lakini?Ni lazima hakuna cha bure
Muulize mwenzako msipende jiangalia nyie tu... Aanze upya kana kwamba wewe humuhitaji mwenzio?
Kaonyesha nia kwann usionyeshe njia na wewe,huwezi jua huko mambo yamekwama,wewe huku umekaa tu miguu juu unasuburi Mume arudi.
Sio sawa,Ukirudsha Posa Huolewi tena ni kujichuria tu ila kwa hii case yako inaonyesha Hujapenda wewe na uko tayari kuachana na jamaa at anytime yani umpate sawa usimpate Sawa, Sio mapenzi hayo.
Dah wakuu na mimi imenikuta scenario iyo iyo kuna mchumba nimempata yupo tanga sasa kanambia mahari ni 1.5m nikamwambia why pesa iyo ndo akanipanga kuwa 500k yake,500k mama ake na 500k baba ake sasa sijui amekaririshwa vibaya kuwa mimi nina pesa kisa na kajumba ka kuanzia maisha.Juzi ananiambia kuwa alishatolewa barua mwezi wa 3 na mahari mwezi wa nane yani kishika uchumba shilingi laki 6.Amenambia kwamba nipeleke mahari ili familia yake warudishe iyo laki 6 kwa mposaji wa mwanzo anasema hakumpenda je wakuu mnalionaje ilo?
Turudi kwenye mada kuu.
Mtu akishachumbia na akakubaliwa lakini kiwango Cha mahali kilichokubaliwa pande zote kikamshinda kukipata basi busara za wazazi hutumika ikiwa ni pamoja na kulegeza masharti ili vijana wao wakaanze maisha yao.
Endapo mahali ikamshimda mwanaume na kwa bahati nzuri mchumba wake akawa yupo vizuri si mbaya kumkopesha namaanisha kumkopesha mume wake mtarajiwa ili kumsaidia jambo lao lipite.
Endapo mahali ikamshimda mwanaume, na wazazi wa binti wamekaza na kwakuwa anania ya dhati na mtoto wa watu basi sio mbaya kuonesha umafia wako kumtorosha usiku na kuondoka naye ilimradi tu kesho yake ipelekwe taarifa kuwa msimtafute binti yenu ninaye kwangu.
Endapo mwanaume akashindwa kuendelea na hatua za ndoa Kwa kupuuza tu na ikiwa tayari alishachumbia na kukubaliwa,basi ajue amefanya kosa la udharirishaji wa kijinsia na atahukumiwa Kwa mujibu wa sheria. (SOSPA)
Hivyo,muda si kitu ila kutoa taarifa mapema ndio jambo jema na la maana mnapokuwa katika hatua hiyo.
Mwanzo nilisema kufunga na kuomba ili mambo yaende vizuri,haya maneno siyo madogo, vijicho vya watu navyo vinapambana kuvuruga mipangilio ya watu.
MAGUFULI4LIFE.
Dah wakuu na mimi imenikuta scenario iyo iyo kuna mchumba nimempata yupo tanga sasa kanambia mahari ni 1.5m nikamwambia why pesa iyo ndo akanipanga kuwa 500k yake,500k mama ake na 500k baba ake sasa sijui amekaririshwa vibaya kuwa mimi nina pesa kisa na kajumba ka kuanzia maisha.Juzi ananiambia kuwa alishatolewa barua mwezi wa 3 na mahari mwezi wa nane yani kishika uchumba shilingi laki 6.Amenambia kwamba nipeleke mahari ili familia yake warudishe iyo laki 6 kwa mposaji wa mwanzo anasema hakumpenda je wakuu mnalionaje ilo?
1: Mbuzi aliuziwa kwenye guniaPangilia maneno haya upate sentensi yenye maana
Gunia mbuzi aliuziwa kwenye
Tatizo sio 1.5m yani kuna mtu ashapeleka advance laki 6 ndo anasema hamtaki ivo nipeleke mm mahari ili jamaa arudishiwe pesa yakeYaani 1.5 ni ndogo wewe toa tu kama mnapendanaa
Twende kwenye mfano wa barua sasa
Karumekenge Mpendashepu
0762xxxxxx
Mkoa wangu.
17/11/2023.
Kwa wazazi wa Ms Eyes.
Yah:OMBI LA KUZALIWA KUPITIA MLANGO WAKO.
Tafadhali husika na mada tajwa hapo juu, mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 32 ninaishi Buza Kwa mparange.
Bila kushawishiwa na mtu na nikiwa na akili zangu timamu ninaomba kuzaliwa watoto kupitia binti yenu Mis Eyes.
Endapo ombi langu litakubaliwa, Kwa barua hii ninamchumbia binti yenu Ms Eyes.
Mimi,
Karumekenge Mpendashepu.
[Unaweza ukanunua marashi mazuri ukaipaka barua yako].
MAGUFULI4LIFE.