mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Ifike hatua watumishi wa umma..muanze hata kupiga deiwaka..ukitoka kazini piga deiwaka ya bodaboka au ukonda wadaladala..sa8 usiku unarudi kulala una vichenji vyako..
#MaendeleoHayanaChama
Sawa ila ndio inayowapa watu maisha..je mabodaboda wote wamevunjika miguu...ajali ni popote unaweza ukawa unashuka ngazi za hapo halmashauri ukaanguka na kuvunjika miguu au kiuno na usiweze pona.Boda boda wakavunjike miguu?
hyo kazi ya boda boda nitakuwa wa mwisho kuja kuifanya
Hahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa,haya mkuuHahaahhaha Ila kampeni Sina Tena kila mbuzi ale kwa urefu wa kamba yake
Mkuu hivi karibuni naingia kwenye utumishi nitumie account ipi yaani nijiandikishe benki ipi ni nzuri kwa mambo ya mshaharaHahaahhaha Ila kampeni Sina Tena kila mbuzi ale kwa urefu wa kamba yake
Mkuu hivi karibuni naingia kwenye utumishi nitumie account ipi yaani nijiandikishe benki ipi ni nzuri kwa mambo ya mshahara
Nmb au crdb ?
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Asante kiongozi