Ukitokea ugomvi kati ya wanandoa na mmoja akafariki, maamuzi ya kesi yatakuwaje?

Joined
Jan 17, 2013
Posts
8
Reaction score
18
Napenda kujua kama umetokea ugomvi kati ya wanandoa ikatokea mmoja wao kapatwa na umauti bila kusudia.

Je, taratibu gani zitafata kisheria?

Je, aliyehusika anaweza kupunguziwa adhabu ya kifungo cha maisha?
 
Napenda kujua kama umetokea ugomvi kati ya wanandoa ikatokea mmoja wao kapatwa na umauti bila kusudia.

Je, taratibu gani zitafata kisheria?

Je, aliyehusika anaweza kupunguziwa adhabu ya kifungo cha maisha?
Kuwa na amani, unaweza kuachiwa hata huru kutegemea na utetezi wako.
 
Napenda kujua kama umetokea ugomvi kati ya wanandoa ikatokea mmoja wao kapatwa na umauti bila kusudia.
nimependa ulivyoanza kuelezea tatizo.
Je, taratibu gani zitafata kisheria?

Je, aliyehusika anaweza kupunguziwa adhabu ya kifungo cha maisha?
kama walikuwa wanapigana na mmoja akafariki kutokana na mapugano hayo japo siyo kwa kukusudia(hata kama ni wanandoa) basi moja kwa moja atashtakiwa kwa kosa la kuua(murder)ambapo serikali itaandaa hati hiyo ya mashtaka na taratibu za kisheria zitafuatwa,ila pia anaweza kushtakiwa kwa kosa la Kuua kwa kukusudia sababu hakuwa na nia (Motive) ya kumuua ,mwenza wake hivyo nijukumu la upande wa utetezi kuja na ushahidi imara na thabiti zenye kutoa utetezi ili shitaka liweze kupungua adhabu kutoka kuua kwa kukusudia kwenda bila kukusudia.
Uzuri ni kwamba unafahamu vyema; kuwa adhabu ya Kuua kwa kukusudia ni- Kunyongwa hadi kufa
:kuwa adhabu ya Kuua pasipo kukusudia ni- Kifungo cha maisha jela.
all the best tafuta au atafute wakili mzuri aweze kumpampani pengine anaweza kutoka.
 
Uzuri Tanzania hukumu ya kunyongwa haitekelezwi.

Sababu: Lazima Raisi atie Saini hati ya kifo, sasa Raisi mwenyewe ukizingatia ni Muislamu sahau Hilo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…