gambalanyoka
Member
- Mar 13, 2011
- 63
- 7
Nauliza mimi nimefanyiwa TURP na ninapokutana na mwanamke sitoi shahawa kabisa nikiuliya naambiwa kuwa hiyo retrograde ejaculation,sasa nauliza je ukitolewa prostate unaweza kuzaa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni vizuri ukawasiliana na Dr aliyekufanyia TURP kwa ushauri zaidi. Kukosekana kwa chachu zinazotoka kwenye tezi la Prostate hazizuii mbegu (sperm cells) kukomaa, tatizo hapo kama laivyokueleza Omholo ni kuwa mbegu hizo zinarudi kwenda kwenye kibofu badala ya uke. Sio lazima ukiwa na retrograde ejaculation shahawa yote irudi, sometimes kuna kiasi kinapita na kuingia ukeni, kwa hiyo kuna possibility ya kutungisha mimba, ila kama alivyoshauri FF, kama imeshindikana...basi waweza fanya In-Vitro Fertilization (IVF). Siku hizi Bongo kuna IVF clinic pale Mikocheni opposite na Cloude Entertainment, baada ya kuonana na Dr aliyekufanyia operation unaweza pia kwenda pale kwa ushauri juu ya IVF kama ni muhimu sana kuzaa.