Ukitulia ukumuangalia na kumsikiliza 'Mgeni Mwenyeji Mpayukaji' utagundua anahitaji Msaada wa Kisaikolojia haraka sana

Ukitulia ukumuangalia na kumsikiliza 'Mgeni Mwenyeji Mpayukaji' utagundua anahitaji Msaada wa Kisaikolojia haraka sana

MINOCYCLINE

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2015
Posts
8,018
Reaction score
16,802
Ushauri kwa walio karibu nae ni kwamba ikiwapendezeni watamtafutie Kwanza Daktari wa Magonjwa ya Akili kabla hajaanza Ratiba yake ya Kuzunguka nchi nzima Kupambana Kisera na Dada yake wa Hiari.

Anapayuka hovyo, anajichanganya mno Kimaelezo, hajui aanze na kipi tokea arejee na ameanza kuwa Muongo na Mnafiki huku nae taratibu akiingia katika Mfumo wa Kujipendekeza waliouzoea Wenzake aliokuwa nao na aliowaacha.
 
Ushauri kwa walio karibu nae ni kwamba ikiwapendezeni watamtafutie Kwanza Daktari wa Magonjwa ya Akili kabla hajaanza Ratiba yake ya Kuzunguka nchi nzima Kupambana Kisera na Dada yake wa Hiari.

Anapayuka hovyo, anajichanganya mno Kimaelezo, hajui aanze na kipi tokea arejee na ameanza kuwa Muongo na Mnafiki huku nae taratibu akiingia katika Mfumo wa Kujipendekeza waliouzoea Wenzake aliokuwa nao na aliowaacha.
Unampiga kwenye mshono kumuongezea maumivu mwenzako?
 
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🤔

Minocycline haimfai huyo nani sijui
 
Hofu ya nini? Nani ambaye si mpayukaji? Ok, katika upayukaji wake ndiko kuna cha kurekebisha. Huoni wapayukaji wengine, tena ni wazee wastaafu, wanapayuka mpaka wanapitiliza. Hebu muacheni aongee ndiye mwenye uthubutu wengine hawawezi
 
Ushauri kwa walio karibu nae ni kwamba ikiwapendezeni watamtafutie Kwanza Daktari wa Magonjwa ya Akili kabla hajaanza Ratiba yake ya Kuzunguka nchi nzima Kupambana Kisera na Dada yake wa Hiari.

Anapayuka hovyo, anajichanganya mno Kimaelezo, hajui aanze na kipi tokea arejee na ameanza kuwa Muongo na Mnafiki huku nae taratibu akiingia katika Mfumo wa Kujipendekeza waliouzoea Wenzake aliokuwa nao na aliowaacha.
mlipeni mafao yake atakaa sawa
 
Yani kupigwa virisasi tu ndio ukimbie,wangapi wamepigwa risasi na waka recover na life likaendelea pale pale #50cent
 
Ushauri kwa walio karibu nae ni kwamba ikiwapendezeni watamtafutie Kwanza Daktari wa Magonjwa ya Akili kabla hajaanza Ratiba yake ya Kuzunguka nchi nzima Kupambana Kisera na Dada yake wa Hiari.

Anapayuka hovyo, anajichanganya mno Kimaelezo, hajui aanze na kipi tokea arejee na ameanza kuwa Muongo na Mnafiki huku nae taratibu akiingia katika Mfumo wa Kujipendekeza waliouzoea Wenzake aliokuwa nao na aliowaacha.
Ushauri wangu ww ndio unatakiwa uwahi kwa madaktari wa matatizo ya akili, maana uandishi wako unaonesha ni jinsi gani ulivyo payukaji lililo kubuhu.
 
Machawa mnamtangaza sana Lisu bila nyie wenyewe kujua vile mnajua mnamkomoa kwa vijembe vyenu kumbe ndiyo mnamfanya watu wamfatiliye zaidi
 
Wewe huwezi kujilinganisha na huyu jamaa na robo, yule jamaa ni akili kubwa
 
bado katika eneo la siasa Afrika hatujajipanga vizuri na nitaendelea kusema kama hatujui tunataka nini bado itakuwa tabu tunatafuta nini na nafasi ya wanasiasa ni ipi kwetu?
lakini kilichokibaya zaidi hatuko tayari kuandaa vijana kwa ukamilifu kushiriki siasa tunawaandaa kwa kiwango cha wao kuwa chawa tu na si kushika madaraka.
ukweli ni kwamba umri wake kwa sasa umeanza kwenda kwenye utu uzima hawezi kushiriki sana kwa vitu vipya hivyo vijana wajipange kupokea mikoba kwa kuwa sasa ni muda wa yeye kutumia busara kuliko akili na ndio maana ataonekana kama amepoa kwakuwa nafasi yake zaidi ni ya ndani zaidi katika kuelekeza na kutumia hekima huku vijana wakitumia akili. akitoka mara chache sana kwa dharura na kurekebisha mambo yasipoenda vizuri.
 
k
Ushauri kwa walio karibu nae ni kwamba ikiwapendezeni watamtafutie Kwanza Daktari wa Magonjwa ya Akili kabla hajaanza Ratiba yake ya Kuzunguka nchi nzima Kupambana Kisera na Dada yake wa Hiari.

Anapayuka hovyo, anajichanganya mno Kimaelezo, hajui aanze na kipi tokea arejee na ameanza kuwa Muongo na Mnafiki huku nae taratibu akiingia katika Mfumo wa Kujipendekeza waliouzoea Wenzake aliokuwa nao na aliowaacha.
awe mpayukaji au sio mpayukaji kuna wengi sana wanapenda kumsikiliza na wewe ukiwemo
 
Ushauri kwa walio karibu nae ni kwamba ikiwapendezeni watamtafutie Kwanza Daktari wa Magonjwa ya Akili kabla hajaanza Ratiba yake ya Kuzunguka nchi nzima Kupambana Kisera na Dada yake wa Hiari.

Anapayuka hovyo, anajichanganya mno Kimaelezo, hajui aanze na kipi tokea arejee na ameanza kuwa Muongo na Mnafiki huku nae taratibu akiingia katika Mfumo wa Kujipendekeza waliouzoea Wenzake aliokuwa nao na aliowaacha.
Wewe huna hata sympathy kidogo kwa unyama aliofanyiwa au unafaidika na ushenzi uliopo nchini?!
 
Ushauri kwa walio karibu nae ni kwamba ikiwapendezeni watamtafutie Kwanza Daktari wa Magonjwa ya Akili kabla hajaanza Ratiba yake ya Kuzunguka nchi nzima Kupambana Kisera na Dada yake wa Hiari.

Anapayuka hovyo, anajichanganya mno Kimaelezo, hajui aanze na kipi tokea arejee na ameanza kuwa Muongo na Mnafiki huku nae taratibu akiingia katika Mfumo wa Kujipendekeza waliouzoea Wenzake aliokuwa nao na aliowaacha.
Uzuri kila Mtu anajua hujawahi kumiliki akili.
 
Genta wewe ni kilaza wa kutupwa
Ushauri kwa walio karibu nae ni kwamba ikiwapendezeni watamtafutie Kwanza Daktari wa Magonjwa ya Akili kabla hajaanza Ratiba yake ya Kuzunguka nchi nzima Kupambana Kisera na Dada yake wa Hiari.

Anapayuka hovyo, anajichanganya mno Kimaelezo, hajui aanze na kipi tokea arejee na ameanza kuwa Muongo na Mnafiki huku nae taratibu akiingia katika Mfumo wa Kujipendekeza waliouzoea Wenzake aliokuwa nao na aliowaacha.
 
Toka lissu amerudi ma ccm uchwara mnateseka sana...huwa ni kawaida mtoto wa kambo akirudi nyumbani
 
Ushauri kwa walio karibu nae ni kwamba ikiwapendezeni watamtafutie Kwanza Daktari wa Magonjwa ya Akili kabla hajaanza Ratiba yake ya Kuzunguka nchi nzima Kupambana Kisera na Dada yake wa Hiari.

Anapayuka hovyo, anajichanganya mno Kimaelezo, hajui aanze na kipi tokea arejee na ameanza kuwa Muongo na Mnafiki huku nae taratibu akiingia katika Mfumo wa Kujipendekeza waliouzoea Wenzake aliokuwa nao na aliowaacha.
Anahitaji msaada
 
Back
Top Bottom