Ukituliza ubongo utagundua kuwa CCM ndiyo chama kinachofaa kuwepo madarakani

Ukituliza ubongo utagundua kuwa CCM ndiyo chama kinachofaa kuwepo madarakani

Nyanda Banka

JF-Expert Member
Joined
Mar 14, 2023
Posts
304
Reaction score
1,054
Ukikaa kwa makini na kutuliza ubongo utagundua kuwa CCM n chama kinachofaa kuwepo madarakani hii ni kutokana na mambo haya yafuatayo:
  • Elimu bure
  • Siasa za uwazi
  • Miundombinu imara (barabara)
  • Huduma bora za maji hususani vijijini
  • Umeme kila mahali, na mengine mengi
Ukipinga uwe na hoja au sababu kuntu.
 
Ukikaa kwa makini na kutuliza ubongo utagundua kuwa CCM n chama kinachofaa kuwepo madarakani hii ni kutokana na mambo haya yafuatayo

Elimu bure
Siasa za uwazi
Miundombinu imara (barabara)
Huduma bora za maji hususani vijijini
Umeme kila mahali

Na mengine mengi

Ukipinga uwe na hoja au sababu kuntu
Same old story since 1970s, amkeni vizazi vinabadilika dunia inabadilika
 
Ukikaa kwa makini na kutuliza ubongo utagundua kuwa CCM n chama kinachofaa kuwepo madarakani hii ni kutokana na mambo haya yafuatayo

Elimu bure
Siasa za uwazi
Miundombinu imara (barabara)
Huduma bora za maji hususani vijijini
Umeme kila mahali

Na mengine mengi

Ukipinga uwe na hoja au sababu kuntu
Nakukumbusha umesahau kuweka namba ya simu.
 
Ukikaa kwa makini na kutuliza ubongo utagundua kuwa CCM n chama kinachofaa kuwepo madarakani hii ni kutokana na mambo haya yafuatayo:
  • Elimu bure
  • Siasa za uwazi
  • Miundombinu imara (barabara)
  • Huduma bora za maji hususani vijijini
  • Umeme kila mahali, na mengine mengi
Ukipinga uwe na hoja au sababu kuntu.
Ukikua utakuwa mwanga.
 
Ukikaa kwa makini na kutuliza ubongo utagundua kuwa CCM n chama kinachofaa kuwepo madarakani hii ni kutokana na mambo haya yafuatayo:
  • Elimu bure
  • Siasa za uwazi
  • Miundombinu imara (barabara)
  • Huduma bora za maji hususani vijijini
  • Umeme kila mahali, na mengine mengi
Ukipinga uwe na hoja au sababu kuntu.
Tuna nchi ya vyura viziwi 😂
 
Ukikaa kwa makini na kutuliza ubongo utagundua kuwa CCM n chama kinachofaa kuwepo madarakani hii ni kutokana na mambo haya yafuatayo:
  • Elimu bure
  • Siasa za uwazi
  • Miundombinu imara (barabara)
  • Huduma bora za maji hususani vijijini
  • Umeme kila mahali, na mengine mengi
Ukipinga uwe na hoja au sababu kuntu.
Tumekusikia kiluwiluwi wa chura, maana chura mwenyewe Yuko pale mjengoni.
 
Ukikaa kwa makini na kutuliza ubongo utagundua kuwa CCM n chama kinachofaa kuwepo madarakani hii ni kutokana na mambo haya yafuatayo:
  • Elimu bure
  • Siasa za uwazi
  • Miundombinu imara (barabara)
  • Huduma bora za maji hususani vijijini
  • Umeme kila mahali, na mengine mengi
Ukipinga uwe na hoja au sababu kuntu.
Elimu bure halafu hauna elimu inauma sana
 
Hata kama hatutaki hicho chama tunampa nani kura kama mbadala? Ccm ipo madarakani sababu hakuna mbadala, Mpinzani makini mwenye sera za maana akitokea asubuhi sana anapewa nchi.
 
Ukikaa kwa makini na kutuliza ubongo utagundua kuwa CCM n chama kinachofaa kuwepo madarakani hii ni kutokana na mambo haya yafuatayo:
  • Elimu bure
  • Siasa za uwazi
  • Miundombinu imara (barabara)
  • Huduma bora za maji hususani vijijini
  • Umeme kila mahali, na mengine mengi
Ukipinga uwe na hoja au sababu kuntu.
Haifai ilishashindwa pakubwa kama una akili timamu uwezi ikubali ccm.
 
Nyie vyura wa kihansi, punguzeni kelele. Hata ambaye dishi limeyumba hakitaki chama cha mambuzi.
 
Alivyoandika unaweza ukadhani CCM ndio chama cha Upinzani kumbe kinatawala na yanayofanyika wote tunayaona.
 
Back
Top Bottom