Nyanda Banka
JF-Expert Member
- Mar 14, 2023
- 304
- 1,054
Same old story since 1970s, amkeni vizazi vinabadilika dunia inabadilikaUkikaa kwa makini na kutuliza ubongo utagundua kuwa CCM n chama kinachofaa kuwepo madarakani hii ni kutokana na mambo haya yafuatayo
Elimu bure
Siasa za uwazi
Miundombinu imara (barabara)
Huduma bora za maji hususani vijijini
Umeme kila mahali
Na mengine mengi
Ukipinga uwe na hoja au sababu kuntu
Nakukumbusha umesahau kuweka namba ya simu.Ukikaa kwa makini na kutuliza ubongo utagundua kuwa CCM n chama kinachofaa kuwepo madarakani hii ni kutokana na mambo haya yafuatayo
Elimu bure
Siasa za uwazi
Miundombinu imara (barabara)
Huduma bora za maji hususani vijijini
Umeme kila mahali
Na mengine mengi
Ukipinga uwe na hoja au sababu kuntu
Ukikua utakuwa mwanga.Ukikaa kwa makini na kutuliza ubongo utagundua kuwa CCM n chama kinachofaa kuwepo madarakani hii ni kutokana na mambo haya yafuatayo:
Ukipinga uwe na hoja au sababu kuntu.
- Elimu bure
- Siasa za uwazi
- Miundombinu imara (barabara)
- Huduma bora za maji hususani vijijini
- Umeme kila mahali, na mengine mengi
Tuna nchi ya vyura viziwi 😂Ukikaa kwa makini na kutuliza ubongo utagundua kuwa CCM n chama kinachofaa kuwepo madarakani hii ni kutokana na mambo haya yafuatayo:
Ukipinga uwe na hoja au sababu kuntu.
- Elimu bure
- Siasa za uwazi
- Miundombinu imara (barabara)
- Huduma bora za maji hususani vijijini
- Umeme kila mahali, na mengine mengi
Tumekusikia kiluwiluwi wa chura, maana chura mwenyewe Yuko pale mjengoni.Ukikaa kwa makini na kutuliza ubongo utagundua kuwa CCM n chama kinachofaa kuwepo madarakani hii ni kutokana na mambo haya yafuatayo:
Ukipinga uwe na hoja au sababu kuntu.
- Elimu bure
- Siasa za uwazi
- Miundombinu imara (barabara)
- Huduma bora za maji hususani vijijini
- Umeme kila mahali, na mengine mengi
AiseeeeTumekusikia kiluwiluwi wa chura, maana chura mwenyewe Yuko pale mjengoni.
Lete hojaMleta mada umewaza kinyume, yaani kwa kifupi ccm ndio nyonya damu la nchi hii!!.
Elimu bure halafu hauna elimu inauma sanaUkikaa kwa makini na kutuliza ubongo utagundua kuwa CCM n chama kinachofaa kuwepo madarakani hii ni kutokana na mambo haya yafuatayo:
Ukipinga uwe na hoja au sababu kuntu.
- Elimu bure
- Siasa za uwazi
- Miundombinu imara (barabara)
- Huduma bora za maji hususani vijijini
- Umeme kila mahali, na mengine mengi
Haifai ilishashindwa pakubwa kama una akili timamu uwezi ikubali ccm.Ukikaa kwa makini na kutuliza ubongo utagundua kuwa CCM n chama kinachofaa kuwepo madarakani hii ni kutokana na mambo haya yafuatayo:
Ukipinga uwe na hoja au sababu kuntu.
- Elimu bure
- Siasa za uwazi
- Miundombinu imara (barabara)
- Huduma bora za maji hususani vijijini
- Umeme kila mahali, na mengine mengi