Mkogoti
TAPELI Mkubwa
- May 3, 2020
- 2,415
- 3,924
Habari za humu wajameni!? Kila kitu kipo good oke.
Wajameni naona siku hizi kuna huu msemo sio kwa wanaume wala wanawake tena kwao ndo umezidi kwamba ukituma hela utume na ya kutolea.
Sasa sijajua hiyo huduma ya ukituma utume na ya kutolea ipo katika mitandao yetu hii tunayotumia pia kama unataka kutuma mfano 20000 basi ya kutolea iwe 2000 au nasema Uongo ndugu zangu.
Note: Mniletee Mzee kagere, Mniletee Rashid, Mitano mingine🤦🤪🏃
Wajameni naona siku hizi kuna huu msemo sio kwa wanaume wala wanawake tena kwao ndo umezidi kwamba ukituma hela utume na ya kutolea.
Sasa sijajua hiyo huduma ya ukituma utume na ya kutolea ipo katika mitandao yetu hii tunayotumia pia kama unataka kutuma mfano 20000 basi ya kutolea iwe 2000 au nasema Uongo ndugu zangu.
Note: Mniletee Mzee kagere, Mniletee Rashid, Mitano mingine🤦🤪🏃