hiv uki2ma matokeo yako ya 4m6 uliyo print kisha kugongwa muhuri na sahihi ya hakimu kwenye bodi ya mkopo badala ya 4m6 results ni sahihi au kitakua kigezo cha kukosa mkopo msaada tafadhali
hiyo ni gamble,nd very few win. Kwan slip hamna,au iko mbali? Bora ugharamike uipate,gharama na mda utakao2mia kuipata hautalingana na matatizo na gharama utakazoingia kama utaukosa mkopo(esp kama familia yenu kiuchumi hamko poa) trust me