wamkodowenye
JF-Expert Member
- Aug 26, 2016
- 261
- 291
Nyingine wanadai miaka kati ya 40-50 mbele.mkuu unasogeza ata miaka 30 mbele mbona
Nyingine wanadai miaka kati ya 40-50 mbele.
Kuna dating site ya wenye virusi, ukiwaona wala huwajui aisee, ngoja niitafute nitaiweka hapa. Huwezi kuwafahamu kabisa na sasa hivi tunaambiwa kuwa tujiandae kulea wazee wengi wanaoishi na UKIMWI kwani walioupata miaka 20 iliyopita wakiwa 50 sasa wako kwenye 70.Kwanini wenye virusu huwa wanazeeka kwa muonekano wa usoni.
hizi dawa ni kali sana unaweza kuachia njiani ukizianzaUshaur wa kitaalam
1) idadi ya kawaida ya cd4 ni kuanzia around 600 had 1200micromil/l
2.swala la miaka na matumiz ya arvs linategemea na mambo mengi (in general ni ur lyfe style, kama unatumia arvs vizur, unakula chakula bora , unafanya zoez vizru, na unaepuka kufanya unaprotected sex, jnaoata muda wa kupumzika. .unaweza ishi maisha malefu tuu as a normal person
3) unapoanza ku2mia arvs hua kuna maudhi madogomadogo (side effects) ambazo most pple wanazipata for the 1st 2 weeks then wanakua poa, but kama zikiendelea unaweza badilishiwa dawa
ASANTE
mtu mzima na muelewa hawezi tuma picha kama hizi
Kwani huna ve+?Mkuu kwani ulinipima ukukuta niko ve+?
Sijawahi kunywa.
Aisee, kwanini?
Mkuu kwani ulinipima ukukuta niko ve+?
Kwani huna ve+?
Mwenzangu kuna madokta humu wamenidiagnosi ninangoja mzigo wangu wa ARV'sHahahahaa... Yani kama picha la kiindi, mna vituko natamani siku tuwe na party la Jamii forum tufurai kwa pamoja. [emoji23][emoji23][emoji23]
anti ukibishana na mjinga na ww unaweza kuonekana mjinga unajua malipo ni hapa hapa duniani ndiyo maana wanasema hakuna ajuae kesho ata mtunzi wa kalenda wengi wanadhani vvu hutokea kwa ngono but unaweza usifanye ngono ukaupata tuu mungu mwache aitwe mungu tuu tuwe na akiba ya maneno ulimi ni kiungo kidogo ila kinawwza msababishia mtu matatizo na kukufuru kwa munguMkuu kwani ulinipima ukukuta niko ve+?
Hata Serena Williams naye anakula ARVs? Au unamaanisha nini?
anti ukibishana na mjinga na ww unaweza kuonekana mjinga unajua malipo ni hapa hapa duniani ndiyo maana wanasema hakuna ajuae kesho ata mtunzi wa kalenda wengi wanadhani vvu hutokea kwa ngono but unaweza usifanye ngono ukaupata tuu mungu mwache aitwe mungu tuu tuwe na akiba ya maneno ulimi ni kiungo kidogo ila kinawwza msababishia mtu matatizo na kukufuru kwa mungu