Ukitumiwa message ya hivi na mdada usijibu toka nduki

Ukitumiwa message ya hivi na mdada usijibu toka nduki

wakusoma

JF-Expert Member
Joined
Feb 25, 2008
Posts
1,084
Reaction score
1,061
Maana kinachofuata hapo ni mzinga,kibomu ama kirungu cha either gas,luku,vocha ya elfu 20(kwa sisi wahongaji),kodi ya upande wa nyumba au mzinga tu wa kawaida huu wa laki laki za week end.

[HASHTAG]#mwaka[/HASHTAG] huu mtatukamua hadi damu
 
si kuna ule usemao ukitaka kula shuruti nawe uliwe!!!
tuutekeleze kwa vitendo sasa.
 
Mm mwenyewe nashangaa siioni alafu Kuna watu wanamsapoti.... Au gololi zangu zmeisha nn
Atakuwa ametoka nduki alivyoiona. Hao ndio wanaume wa sasa wanashindwa kukabiliana na changamoto
 
Sa mbn umetoka nduki kabla hujaweka hata iyo sms we ni mwanaume wa Dar nn maana muoga sana
 
Maana kinachofuata hapo ni mzinga,kibomu ama kirungu cha either gas,luku,vocha ya elfu 20(kwa sisi wahongaji),kodi ya upande wa nyumba au mzinga tu wa kawaida huu wa laki laki za week end.

[HASHTAG]#mwaka[/HASHTAG] huu mtatukamua hadi damu
Mr. Wakusoma meseji ipo wap, au umetekwa kimya kimya
 
Back
Top Bottom