Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani wewe binafsi huwa unachukuaga hatua gani mkuu??Ukitumiwa ujumbe mfupi na matapeli wa mtandao wale ambao wanaandika “tuma ile pesa kwenye namba ….” Huwa unajibu nini? Na unachukua hatua gani?
Hapa ni mochwari karibu tukuhudumieUkitumiwa ujumbe mfupi na matapeli wa mtandao wale ambao wanaandika “tuma ile pesa kwenye namba ….” Huwa unajibu nini? Na unachukua hatua gani?
Hapa ni mochwari karibu tukuhudumie
Huwa nawambia nina milioni 2 ama zaidi kwenye simu nikitumia ngapi wanakaa kimya, wana akili mgandoUkitumiwa ujumbe mfupi na matapeli wa mtandao wale ambao wanaandika “tuma ile pesa kwenye namba ….” Huwa unajibu nini?
Na unachukua hatua gani?
Mi nimeblock hadi nimechoka, zinazidi tu kuja.Huwa na block tu
ni wapuuzi, wanaweza kumtukana kigogo mkubwa wa nchi bila kujuaWana matusi hao