Mkereketwa_Huyu
JF-Expert Member
- Feb 19, 2011
- 9,836
- 7,231
Mbona nilishakutumia bilioni mbili, kwani wenzako hawajakupa mgao wako?Ukitumiwa ujumbe mfupi na matapeli wa mtandao wale ambao wanaandika “tuma ile pesa kwenye namba ….” Huwa unajibu nini?
Na unachukua hatua gani?