ashomile
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 2,739
- 2,697
Huwa inauma sana pale unapougua kwa muda mrefu bila kupata suluhu ya kinachokusumbua , inafika sehemu unawaza heri ufe tu ili upumzike , ili nafasi yako aichukue mwingine aendelee kuishi badala yako.
NIMESHANGAA TUUPELE TUDOGO TUDOGO TUMETOKA SHINGONI MWANGU HATA SIELEWI.
UGONJWA :NAUMWA KIFUA NI MUDA WA MIEZI 7 MPAKA SASA .
Mwanzoni nilikuwa nakohoa kikavu lkn badaa ya kuanza mazoezi ndani ya wiki moja nikitoa makohozi ni mazito sana . Kila mara ni mtu wa kutoa makohozi lakini leo nimeamkia mazoezi nikapiga kidogo kifua kikachemka nikashindwa .
KUMBUKA :NIMEFIKA HOSPITAL MBALI MBALI NAPEWA TIBA, LAKINI TIBA HAZISAIDII ZAIDI YA KUTULIZA TU .
Mpaka naingiwa na mawazo hizi ndoto za mauti au ndo yamekaribia !!
Nakemea nakemea baada ya muda yanarudi [emoji25][emoji25].
MUNGU ATUPE MWISHO UWE MWEMA KWETU SOTE :
DAWA NIMEWAHI PEWA KILA NIKIENDA HOSPITAL NI , SEDITON, CETRLIZEN,AMPLICOX,ALBENDAZOLE TU .. KILA.SEHEMU NINAYOENDA MPAKA HOSPITALI YA MKOA SHINYANGA .
IMEFIKA MAHALA NAWAZA NIKAFANYIWE X-RAY YA MAPAFU. ?? NINACHOOGOPA NI GHARAMA MAANA NAPITA KIPINDI KIGUMU SANA .
NIMESHANGAA TUUPELE TUDOGO TUDOGO TUMETOKA SHINGONI MWANGU HATA SIELEWI.
UGONJWA :NAUMWA KIFUA NI MUDA WA MIEZI 7 MPAKA SASA .
Mwanzoni nilikuwa nakohoa kikavu lkn badaa ya kuanza mazoezi ndani ya wiki moja nikitoa makohozi ni mazito sana . Kila mara ni mtu wa kutoa makohozi lakini leo nimeamkia mazoezi nikapiga kidogo kifua kikachemka nikashindwa .
KUMBUKA :NIMEFIKA HOSPITAL MBALI MBALI NAPEWA TIBA, LAKINI TIBA HAZISAIDII ZAIDI YA KUTULIZA TU .
Mpaka naingiwa na mawazo hizi ndoto za mauti au ndo yamekaribia !!
Nakemea nakemea baada ya muda yanarudi [emoji25][emoji25].
MUNGU ATUPE MWISHO UWE MWEMA KWETU SOTE :
DAWA NIMEWAHI PEWA KILA NIKIENDA HOSPITAL NI , SEDITON, CETRLIZEN,AMPLICOX,ALBENDAZOLE TU .. KILA.SEHEMU NINAYOENDA MPAKA HOSPITALI YA MKOA SHINYANGA .
IMEFIKA MAHALA NAWAZA NIKAFANYIWE X-RAY YA MAPAFU. ?? NINACHOOGOPA NI GHARAMA MAANA NAPITA KIPINDI KIGUMU SANA .