Ukiukwaji wa maadili (unethical conduct) na professionalism kati ya DCI Boaz na Luteni Urio kwenye kesi ya Mbowe na wenzake

Nafiki kuanzia leo mtu mwenye ROHO MBAYA aitwe URIO .... This is not acceptable.

Halafu kumbe ulio mwenyewe ni form four tu ...... sasa huyu DCI alimuaminije kumuachia kesi kubwa kama hii. Hii nchi ya Chui Jike ni tabu kweli kweli.
 
Mambo ya kiupelelezi waachie wapelelezi bro, upelelezi una approaches kedekede kutegemea unataka ku - achieve objective ipi.
Ninafahamu na Nina uelewa mkubwa wapo dhama nzima ya upelelezi.
Kwa maelezo ya huyo urio hakuna upelelezi uliofanyika hapo sanasana Ni uongo na uchonganishi.
Huwezi kutumia uongo kutaka kuhalalisha ukweli.
Ushahidi wa urio unaonyesha dhahiri hii ni kesi ya uongo
 
Nafiki kuanzia leo mtu mwenye ROHO MBAYA aitwe URIO .... This is not acceptable.

Halafu kumbe ulio mwenyewe ni form four tu ...... sasa huyu DCI alimuaminije kumuachia kesi kubwa kama hii. Hii nchi ya Chui Jike ni tabu kweli kweli.
 
Mambo ya kiupelelezi waachie wapelelezi bro, upelelezi una approaches kedekede kutegemea unataka ku - achieve objective ipi.
Wapelelezi gani .... akina URIO na Kingai. Seriously. Then Tanzania haina Wapelelezi ...!!
 
Uko Mtwara kuna Polisi kajinyonga na tambala la deki na kuzikwa haraka Iringa.

Ningekuwa ni mwanafamilia hiyo maiti ingefukuliwa na kufanyiwa postmortem huru ikishirikisha wanafamilia.
 

Umeandika kitu exactly ya kama nilichoandika jana kwenye moja ya uzi...

Na hii ya kwako umeiongezea nyama zaidi na zaidi...

Maswali ya namna hii natarajia kina Kibatala wayaulize...

Hakuna namna ambayo Mbowe anheweza kuverify, askari mstaafu yuko...unless hao kina Ling'wenya wawe ni undercover na serikali imeamua kuwaficha
 
nyie ongeleeni ushabiki lakini ukweli ushawekwa wazi makomandoo wanatoka gaidi ni mbow anakula mvua
Wewe ndio unaongea kishabiki kwenye jurisprudence rule moja wapo ya ushahidi ni ukweli.
Kwenye ushahidi wa huyo urio uongo unaonekana dhahiri kwenye kuwaajiri hao wanajeshi waliofukuzwa.
Kwa maelezo ya urio alielekezwa na mbowe aajiri magaidi, yeye akaenda kuajiri vijana raia wema walioachishwa kazi jeshini wakiwa wanajishughulisha na shughuli nyingine halali akawadanganya kuna kazi ya ulinzi ubodyguard.
Vijana wa watu wakakubali kwenda kufanya ubody guard baadae wanakamatwa eti wanafanya ugaidi halafu upuudhi unaanzia pale huyu mpumbavu mshenzi tena atakuwa afirwa shetani mkubwa urio anaibuka mahakamani kutoa ushahidi wa uongo namna hi I.
Kwamba urio alikuwa anajua mbowe anataka magaidi.
Urio akaenda kunuajiria mbowe vijana raia wema akawadanganya mbowe anataka walinzi
Vijana hao wakakubali kwenda kufanya kazi hiyo ya ulinzi
Halafu huyuhuyu urio ambaye alikuwa anajua mbowe anahitaji magaidi anakuja kuwatolea ushahidi vijana ambao aliwadanganya kwamba mbowe anataka walinzi.
Embu tafakari ukweli huu.
Jamani mahakama huu uongo wa urio unastahili kufanya maamuzi ya kuitupilia mbali hii kesi ya uongo
 
Urio ndiyo anamfungisha Mbowe yaani kaanika ukweli mtupu Mbowe angeiharibu nchi alikuwa na nia ovu haswaaa Mbowe anakwenda kufungwa hamna namna

Urio ndio anatakiwa afungwe kwa kuwadanganya na kuwapotezea mda hao wanajeshi waliotimuliwa jeshini
 
Aliyewatuma kuchonga kesi hii ndiye mpumbavu zaidi, kahaba mkuu
 
Mbowe anaanzaje kutafuta makomandoo bila kutiliwa mashaka? hawa watu hata kama wako mitaani, wanafuatiliwa sana. Kuna wakati nahisi kujiamini sana au kutojua mambo yanavyokwenda, kumetoa nafasi ya Mwenyekiti kupewa shuruba anazopata.
Askari wengi hawa wana viapo...unawaaminije kirahisi rahisi tu, tena kwa kutafutana wao kwa wao, kama vile unatafuta waosha magari au vinyozi wa saloon mpya?
 
Hawa vijana tuwawezeshe ili waweze kumshitaki Urio jeshi la polisi kwa mateso waliowatia bila sababu. (kwa ushahidi wa Urio)

”Muoosha uoshwa ”
Mzee Mbowe sio GAIDI
 
Nilichoelewa ni kwamba bwn Urio naye ameunganishwa tu kwenye huu ushahidi ila naye alikuwa kwenye mateso sawasawa na wakina Ling'wenya ila hawa wakina Kingai wamem-coach ili awe shahidi upande wa serikali ili awe salama.Hapo ni kwamba anataka kujinasua yeye mwenyewe.
 
nyie ongeleeni ushabiki lakini ukweli ushawekwa wazi makomandoo wanatoka gaidi ni mbow anakula mvua
Urio atakuwa wapi wakati Mbowe anafungwa? Kwa jinsi alivyojieleza mahakamani yeye ndiye gaidi namba moja aliyejificha nyuma ya Mbowe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…