Ukiukwaji wa maadili (unethical conduct) na professionalism kati ya DCI Boaz na Luteni Urio kwenye kesi ya Mbowe na wenzake

Urio ndio anatakiwa afungwe kwa kuwadanganya na kuwapotezea mda hao wanajeshi waliotimuliwa jeshini
Jamaa kawahadaa Wana kuwa ni kazi ya ulinzi huku Leo anapaka upupu akijua fika kuwa huo upupu unamfaa yeye kuupakaa. Mchaga michosho ngachoka
 
Nyie ndo tunasema kila siku mmelishwa ugali tu tangu utoton bila hata mboga za majan hadi mkawa hivi. Usiharib uzi wa mtoa mada mwenye akili timam. Kuna majukwaa yako humu mengine! Huku kigezo ni uwe na akili timam
Aende kwenye ule uzi wa kula matunda kimasihara!😝😝😝😝
 
Nyie ndo tunasema kila siku mmelishwa ugali tu tangu utoton bila hata mboga za majan hadi mkawa hivi. Usiharib uzi wa mtoa mada mwenye akili timam. Kuna majukwaa yako humu mengine! Huku kigezo ni uwe na akili timam
Aende kwenye ule uzi wa kula matunda kimasihara!😝😝😝😝
 
Nina mashaka stering wa hii picha alikuwa Baashite huku msaidizi wake akiwa ole Saambaya wakiongoza genge maarufu lililokuwa na Vingai wasiofuata PGO's ili kutekeleza malengo ovu ya kuchafua nchi kwa jina la uzalendo!
Leo wako wapi waliowatumikia na kuwaabudu?
Dunia mapito. Kama tadinu tudanu (nilipata kuandika humu jukwaani)
 
Urio ndiyo anamfungisha Mbowe yaani kaanika ukweli mtupu Mbowe angeiharibu nchi alikuwa na nia ovu haswaaa Mbowe anakwenda kufungwa hamna namna
Humu wamo vichaa.Full stop.Ndio Maana ulipata zero.
 
Hebu fikiria hii: ukimsikiliza vizuri Luteni Urio anasema, eti baada tu ya kuzungumza na Mbowe alimpigia simu DCI (sijui walipeana namba lini), na DCI akamwambie aende ofisini kwake kesho yake, na alipofika kwa DCI hata kabla hajamsikiliza vizuri akamwita Kingai ili wamsikilize pamoja. Jiulize sasa: Kingai yuko chini kabisa huku mkoani, kwanini DCI hakukaa na watu wa kitengo cha ugaidi u intelegensia makao makuu kumsikiliza Luteni Urio, na badala yake akamwita Kingai? Mchongo! Mchongo! Mchongo!
 
mchongo ni mchongo tu
 
Nahisi nia ya urio tangu awali akifahamiana na mbowe ilikuwa njema. Naamini polisi na wanasiasa walivyojua kuwa mbowe kaajili ex-soldiers,wali-draw interest kujua aliwapata vipi. Sasa walipogundua Urio ndo connector wakaona(police) urio ashikishwe adabu,apopewa kichapo,akalazimishwa awe shahidi ili kukamilisha nia ovu ya serikali kuihujumu chadema/mbowe. Sasa,urio hana LA kuzungumza isipokuwa ukweli kuwa kazi ilyohitajika na mbowe ilikuwa ulinzi. Hilo LA ugaidi ni kutimiza tu nia ovu ya watawala. Ngoja tuendelee kufuatilia hii movie.

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
 
Urio ndiyo anamfungisha Mbowe yaani kaanika ukweli mtupu Mbowe angeiharibu nchi alikuwa na nia ovu haswaaa Mbowe anakwenda kufungwa hamna namna
Kubadili ID hakuwezi kukuficha usijulikane kwa sababu haijakufanya uache bangi zako.

So the concept of altering ID is utterly meaningless because it leaves your inept behaviour 100% intact.
 
Waafrika tunapigana sana ili tuheshimiwe humu duniani lakini bila mafanikio kwa sababu tu ya ujinga wetu.

Nyie mnamzushia mwenzenu kesi ya kipumbavu namna hii kwa sababu za kisiasa halafu bado mnatafuta heshima kwa wengine mkifikiri na wenyewe ni wajinga kama nyie, mtaendelea kudharauliwa tu na kuendelea kuwa the laughing stock of the world. Hamna namna.
 
Upo sahihi kabisa!
 
Kasema mwenyewe lakini! Tena mahakamani.
Huenda akawa na Diploma ama ni form six, au kuna namna alijiendeleza...anyway nawaombea heri wote haya mambo yao yaishe katika amani.
 
Huenda akawa na Diploma ama ni form six, au kuna namna alijiendeleza...anyway nawaombea heri wote haya mambo yao yaishe katika amani.
Amina! Inavyoonekana Urio mwanzo hakuwa na nia mbaya. Nia ilikuwa kumtafutia Mbowe walinzi, lakini wanasiasa wa upande mwingine wakatumia hiyo kama silaha ya kumaliza CDM. Huenda Urio anatoa ushahidi kwa shuruti.
 
Hii kesi hawakujipanga vizuri nahisi walikurupuka!! URIO anasema alitumiwa Tsh 500,000/= kisha akatoa Tsh499,000/= hata kama ni miaka ya nyuma ndo makato yawe Tsh 1000 tu??? Tena anarudia kila mara kuwa alitoa Tsh 499,000!!!?
 
Kwa kweli ushahidi ulioanza juzi na jana unaibua maswali mengi sana! Inasikitisha sana kwa kweli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…