Ukiukwaji wa taratibu na ushamba Bungeni katika Uchaguzi wa Spika wa Bunge

Ukiukwaji wa taratibu na ushamba Bungeni katika Uchaguzi wa Spika wa Bunge

Hon.MP

Senior Member
Joined
Jul 15, 2012
Posts
153
Reaction score
86
UKIUKWAJI NA USHAMBA BUNGENI

UKIUKAJI:


Lukuvi, Mb na Mwenyekiti wa Kikao cha Bunge cha Uchaguzi wa Spika ameruhusu Wabunge kukiuka Taratibu za Uchaguzi na akatetea ukiukaji huo.

Mosi, wakati Mwenyekiti anasema kuwa hakuna tatizo Mpiga Kura kutoa fedha kwa Mgombea wakati wa kujieleza; anajuaje kuwa yaweza kuwa ni Mkakati uliopangwa na Mgombea mapema (huko nje) ili kufanya kampeni kwa kujaribu kushawishi Wapiga Kura wengine kuwa ANAYEPEWA TUZO ndiye amejieleza vyema na au mwenye sifa bora kuliko ASIYEPEWA TUZO? Na Wachambuzi makini bado wanashangaa Mtu kutuzwa kwa kueleza jambo ambalo halina uhusiano na ama Majukumu ya Spika / Bunge au Sifa za Mgombea zinazozalanda na majukumu hayo.

Pili, kama aliruhusu TUZO YA FEDHA kwa nini alianza kupiga kelele kwa nguvu zote akisema “HAPANA! HAPANA! ” kama zuio wakati Wabunge fulani waliamua kutoa TUZO YA KIBWAGIZO kwa Dk. Tulia kwa kuimba “Tuna imani na ........”. Ieleweke wazi kuwa msimamo wangu hilo zuio lilikuwa sawa kabisa!

USHAMBA:

Agnes, Mb alipopewa nafasi ya kuuliza SWALI aliishia kutoa MAELEZO; wakati Mgombea anajibu yeye anaoneka waziwazi akishangilia kwa nguvu kama vile yuko kwenye genge la mipasho!

Mara mbili alisikika akitaja Jina lake kwa ukelele “Agness!” mwenendo usio wa ki-Bunge. Kanuni inamtaka Mbunge kusimama ili Mwenyekiti / Spika akuone na kumruhusu kuongea na sio kuanza kuongea tu kama mtu asiyejua Kanuni wala Taratibu za Bungeni (Ushamba).
 
UKIUKWAJI NA USHAMBA BUNGENI

UKIUKAJI:


Lukuvi, Mb na Mwenyekiti wa Kikao cha Bunge cha Uchaguzi wa Spika ameruhusu Wabunge kukiuka Taratibu za Uchaguzi na akatetea ukiukaji huo.

Mosi, wakati Mwenyekiti anasema kuwa hakuna tatizo Mpiga Kura kutoa fedha kwa Mgombea wakati wa kujieleza; anajuaje kuwa yaweza kuwa ni Mkakati uliopangwa na Mgombea mapema (huko nje) ili kufanya kampeni kwa kujaribu kushawishi Wapiga Kura wengine kuwa ANAYEPEWA TUZO ndiye amejieleza vyema na au mwenye sifa bora kuliko ASIYEPEWA TUZO? Na Wachambuzi makini bado wanashangaa Mtu kutuzwa kwa kueleza jambo ambalo halina uhusiano na ama Majukumu ya Spika / Bunge au Sifa za Mgombea zinazozalanda na majukumu hayo.

Pili, kama aliruhusu TUZO YA FEDHA kwa nini alianza kupiga kelele kwa nguvu zote akisema “HAPANA! HAPANA! ” kama zuio wakati Wabunge fulani waliamua kutoa TUZO YA KIBWAGIZO kwa Dk. Tulia kwa kuimba “Tuna imani na ........”. Ieleweke wazi kuwa msimamo wangu hilo zuio lilikuwa sawa kabisa!

USHAMBA:

Agnes, Mb alipopewa nafasi ya kuuliza SWALI aliishia kutoa MAELEZO; wakati Mgombea anajibu yeye anaoneka waziwazi akishangilia kwa nguvu kama vile yuko kwenye genge la mipasho!

Mara mbili alisikika akitaja Jina lake kwa ukelele “Agness!” mwenendo usio wa ki-Bunge. Kanuni inamtaka Mbunge kusimama ili Mwenyekiti / Spika akuone na kumruhusu kuongea na sio kuanza kuongea tu kama mtu asiyejua Kanuni wala Taratibu za Bungeni (Ushamba).
Watanzania kwa sasa wana mambo muhimu sana ya kufanya kuliko hayo mambo ya bunge.
 
Likifanyika jambo lolote la kuvunja katiba au sheria kutoka kwa mtu yeyote aliye upande wa ccm na asichukuliwe hatua wala sishangai au kupinga, course ndiyo mfumo wao waliozoea na hakuna wa kuwafanya lolote.

Acheni maisha yaende, japo kwa uharibifu.
 
Hakuna bunge pale..
Lile kusanyiko la wapumbavu.
Wakati wewe unaona hivyo wenyewe wanaona ni kusanyiko la maana kabisa na hilo ndio tatizo la watanzania hata serikali ni hivyo hivyo,hata humu JF ni hivyo hivyo wenyewe tunavyopiga kelele humu tunajiona tunakosoa na kuishia hapo hapo hali ya kuwa hayo tunayokosoa hata hayazingatiwi na hatujali hilo tunaendelea kupiga kelele tu humu ambazo hazina athari na tunajiita ma great thinkers wenyewe.
 
UKIUKWAJI NA USHAMBA BUNGENI

UKIUKAJI:


Lukuvi, Mb na Mwenyekiti wa Kikao cha Bunge cha Uchaguzi wa Spika ameruhusu Wabunge kukiuka Taratibu za Uchaguzi na akatetea ukiukaji huo.

Mosi, wakati Mwenyekiti anasema kuwa hakuna tatizo Mpiga Kura kutoa fedha kwa Mgombea wakati wa kujieleza; anajuaje kuwa yaweza kuwa ni Mkakati uliopangwa na Mgombea mapema (huko nje) ili kufanya kampeni kwa kujaribu kushawishi Wapiga Kura wengine kuwa ANAYEPEWA TUZO ndiye amejieleza vyema na au mwenye sifa bora kuliko ASIYEPEWA TUZO? Na Wachambuzi makini bado wanashangaa Mtu kutuzwa kwa kueleza jambo ambalo halina uhusiano na ama Majukumu ya Spika / Bunge au Sifa za Mgombea zinazozalanda na majukumu hayo.

Pili, kama aliruhusu TUZO YA FEDHA kwa nini alianza kupiga kelele kwa nguvu zote akisema “HAPANA! HAPANA! ” kama zuio wakati Wabunge fulani waliamua kutoa TUZO YA KIBWAGIZO kwa Dk. Tulia kwa kuimba “Tuna imani na ........”. Ieleweke wazi kuwa msimamo wangu hilo zuio lilikuwa sawa kabisa!

USHAMBA:

Agnes, Mb alipopewa nafasi ya kuuliza SWALI aliishia kutoa MAELEZO; wakati Mgombea anajibu yeye anaoneka waziwazi akishangilia kwa nguvu kama vile yuko kwenye genge la mipasho!

Mara mbili alisikika akitaja Jina lake kwa ukelele “Agness!” mwenendo usio wa ki-Bunge. Kanuni inamtaka Mbunge kusimama ili Mwenyekiti / Spika akuone na kumruhusu kuongea na sio kuanza kuongea tu kama mtu asiyejua Kanuni wala Taratibu za Bungeni (Ushamba).
Huo haukua uchaguzi ,uulikuwa upitishaji,
Pia una roho ngumu sana kutazama hiyo hafra yao.
 
UKIUKWAJI NA USHAMBA BUNGENI

UKIUKAJI:


Lukuvi, Mb na Mwenyekiti wa Kikao cha Bunge cha Uchaguzi wa Spika ameruhusu Wabunge kukiuka Taratibu za Uchaguzi na akatetea ukiukaji huo.

Mosi, wakati Mwenyekiti anasema kuwa hakuna tatizo Mpiga Kura kutoa fedha kwa Mgombea wakati wa kujieleza; anajuaje kuwa yaweza kuwa ni Mkakati uliopangwa na Mgombea mapema (huko nje) ili kufanya kampeni kwa kujaribu kushawishi Wapiga Kura wengine kuwa ANAYEPEWA TUZO ndiye amejieleza vyema na au mwenye sifa bora kuliko ASIYEPEWA TUZO? Na Wachambuzi makini bado wanashangaa Mtu kutuzwa kwa kueleza jambo ambalo halina uhusiano na ama Majukumu ya Spika / Bunge au Sifa za Mgombea zinazozalanda na majukumu hayo.

Pili, kama aliruhusu TUZO YA FEDHA kwa nini alianza kupiga kelele kwa nguvu zote akisema “HAPANA! HAPANA! ” kama zuio wakati Wabunge fulani waliamua kutoa TUZO YA KIBWAGIZO kwa Dk. Tulia kwa kuimba “Tuna imani na ........”. Ieleweke wazi kuwa msimamo wangu hilo zuio lilikuwa sawa kabisa!

USHAMBA:

Agnes, Mb alipopewa nafasi ya kuuliza SWALI aliishia kutoa MAELEZO; wakati Mgombea anajibu yeye anaoneka waziwazi akishangilia kwa nguvu kama vile yuko kwenye genge la mipasho!

Mara mbili alisikika akitaja Jina lake kwa ukelele “Agness!” mwenendo usio wa ki-Bunge. Kanuni inamtaka Mbunge kusimama ili Mwenyekiti / Spika akuone na kumruhusu kuongea na sio kuanza kuongea tu kama mtu asiyejua Kanuni wala Taratibu za Bungeni (Ushamba).
Hapo hakuna Wabunge kuna waganga njaa tu na wezi wa kodi za wananchi wanyonge.

UKIUKWAJI WA HAKI KWENYE UCHAGUZI WA 2020 ULIOKUFANYA UWE MBUNGE MBONA HUKUZUNGUMZIA ?
 
Back
Top Bottom