- Thread starter
- #21
Ni ngumu kuacha maana tuko humo ndani huku tukivuja damu ( internal bleeding) kila wakati ama Kanuni au Taratibu zinapovunjwa.Mambo yao waachie wenyewe...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni ngumu kuacha maana tuko humo ndani huku tukivuja damu ( internal bleeding) kila wakati ama Kanuni au Taratibu zinapovunjwa.Mambo yao waachie wenyewe...
Sasa ujue kuwa hata mabadiliko ya Katiba ni Bungeni tu. Elewa umuhimu wa kuweka sawa huu muhimili !Watanzania kwa sasa wana mambo muhimu sana ya kufanya kuliko hayo mambo ya bunge.
Huna sifa ya kuchangia comments na mimi.Sasa ujue kuwa hata mabadiliko ya Katiba ni Bungeni tu. Elewa umuhimu wa kuweka sawa huu muhimili !
Miaka 30 bila jengo la ofisi!Miaka zaidi ya 60 ya uhuru kazi ya ccm ni kutuletea umasikini
Hicho ni kikao cha wana- Ccm...hakuna bunge hapo.UKIUKWAJI NA USHAMBA BUNGENI
UKIUKAJI:
Lukuvi, Mb na Mwenyekiti wa Kikao cha Bunge cha Uchaguzi wa Spika ameruhusu Wabunge kukiuka Taratibu za Uchaguzi na akatetea ukiukaji huo.
Mosi, wakati Mwenyekiti anasema kuwa hakuna tatizo Mpiga Kura kutoa fedha kwa Mgombea wakati wa kujieleza; anajuaje kuwa yaweza kuwa ni Mkakati uliopangwa na Mgombea mapema (huko nje) ili kufanya kampeni kwa kujaribu kushawishi Wapiga Kura wengine kuwa ANAYEPEWA TUZO ndiye amejieleza vyema na au mwenye sifa bora kuliko ASIYEPEWA TUZO? Na Wachambuzi makini bado wanashangaa Mtu kutuzwa kwa kueleza jambo ambalo halina uhusiano na ama Majukumu ya Spika / Bunge au Sifa za Mgombea zinazozalanda na majukumu hayo.
Pili, kama aliruhusu TUZO YA FEDHA kwa nini alianza kupiga kelele kwa nguvu zote akisema “HAPANA! HAPANA! ” kama zuio wakati Wabunge fulani waliamua kutoa TUZO YA KIBWAGIZO kwa Dk. Tulia kwa kuimba “Tuna imani na ........”. Ieleweke wazi kuwa msimamo wangu hilo zuio lilikuwa sawa kabisa!
USHAMBA:
Agnes, Mb alipopewa nafasi ya kuuliza SWALI aliishia kutoa MAELEZO; wakati Mgombea anajibu yeye anaoneka waziwazi akishangilia kwa nguvu kama vile yuko kwenye genge la mipasho!
Mara mbili alisikika akitaja Jina lake kwa ukelele “Agness!” mwenendo usio wa ki-Bunge. Kanuni inamtaka Mbunge kusimama ili Mwenyekiti / Spika akuone na kumruhusu kuongea na sio kuanza kuongea tu kama mtu asiyejua Kanuni wala Taratibu za Bungeni (Ushamba).
Mataga hamna moral authority ya kuongolea katiba au sheria.Likifanyika jambo lolote la kuvunja katiba au sheria kutoka kwa mtu yeyote aliye upande wa ccm na asichukuliwe hatua wala sishangai au kupinga, course ndiyo mfumo wao waliozoea na hakuna wa kuwafanya lolote.
Acheni maisha yaende, japo kwa uharibifu.
CCM ndio baba na mama wa upuuzi nchi hii, bila kuiondoa ujinga hautaondoka kamweKadiri muda unavyozidi kwenda, hii nchi inazidi tu kugubikwa na matukio ya kipuuzi. Hata sijui tunaenda wapi!!
Kwani lile lilikua bunge au kikao cha uchaguzi wa spika?angalia hata kiti cha mwenyekiti hakikua rasmiMara mbili alisikika akitaja Jina lake kwa ukelele “Agness!” mwenendo usio wa ki-Bunge. Kanuni inamtaka Mbunge kusimama ili Mwenyekiti / Spika akuone na kumruhusu kuongea na sio kuanza kuongea tu kama mtu asiyejua Kanuni wala Taratibu za Bungeni (Ushamba).
Kwani mwenzetu bado una imani na hili bunge. Kwa comedy za jana nafikiri kila mtu anejua tuna bunge na wabunge wa aina gani. Kwa Sasa kile ni kama kijiwe tu.UKIUKWAJI NA USHAMBA BUNGENI
UKIUKAJI:
Lukuvi, Mb na Mwenyekiti wa Kikao cha Bunge cha Uchaguzi wa Spika ameruhusu Wabunge kukiuka Taratibu za Uchaguzi na akatetea ukiukaji huo.
Mosi, wakati Mwenyekiti anasema kuwa hakuna tatizo Mpiga Kura kutoa fedha kwa Mgombea wakati wa kujieleza; anajuaje kuwa yaweza kuwa ni Mkakati uliopangwa na Mgombea mapema (huko nje) ili kufanya kampeni kwa kujaribu kushawishi Wapiga Kura wengine kuwa ANAYEPEWA TUZO ndiye amejieleza vyema na au mwenye sifa bora kuliko ASIYEPEWA TUZO? Na Wachambuzi makini bado wanashangaa Mtu kutuzwa kwa kueleza jambo ambalo halina uhusiano na ama Majukumu ya Spika / Bunge au Sifa za Mgombea zinazozalanda na majukumu hayo.
Pili, kama aliruhusu TUZO YA FEDHA kwa nini alianza kupiga kelele kwa nguvu zote akisema “HAPANA! HAPANA! ” kama zuio wakati Wabunge fulani waliamua kutoa TUZO YA KIBWAGIZO kwa Dk. Tulia kwa kuimba “Tuna imani na ........”. Ieleweke wazi kuwa msimamo wangu hilo zuio lilikuwa sawa kabisa!
USHAMBA:
Agnes, Mb alipopewa nafasi ya kuuliza SWALI aliishia kutoa MAELEZO; wakati Mgombea anajibu yeye anaoneka waziwazi akishangilia kwa nguvu kama vile yuko kwenye genge la mipasho!
Mara mbili alisikika akitaja Jina lake kwa ukelele “Agness!” mwenendo usio wa ki-Bunge. Kanuni inamtaka Mbunge kusimama ili Mwenyekiti / Spika akuone na kumruhusu kuongea na sio kuanza kuongea tu kama mtu asiyejua Kanuni wala Taratibu za Bungeni (Ushamba).
Kweli siwezi kuwa na SIFA za uendawazimu wa kuchangia hoja nawe ndio maana NIMECHANGIA HOJA kwenye Jukwaa la JF na SIKUCHANGIA HOJA NAWE!Huna sifa ya kuchangia comments na mimi.
Asante kwa kunijuza kuwa katika Kikao cha Uchaguzi wa Spika ndipo panaruhusiwa taratibu kutokufuatwa!Kwani lile lilikua bunge au kikao cha uchaguzi wa spika?angalia hata kiti cha mwenyekiti hakikua rasmi
Itabidi uende mahakamani kupinga kwa kua taratibu hazikufuatwa
Mkuu ulitegemea au wategemea bunge la chama kimoja kuja na kitu tofauti, ni unabatili tu ndo utakaoendea mpaka Yesu atakapo shuka, lakin twende tu soon yanamwisho,2025 sio mbaliUKIUKWAJI NA USHAMBA BUNGENI
UKIUKAJI:
Lukuvi, Mb na Mwenyekiti wa Kikao cha Bunge cha Uchaguzi wa Spika ameruhusu Wabunge kukiuka Taratibu za Uchaguzi na akatetea ukiukaji huo.
Mosi, wakati Mwenyekiti anasema kuwa hakuna tatizo Mpiga Kura kutoa fedha kwa Mgombea wakati wa kujieleza; anajuaje kuwa yaweza kuwa ni Mkakati uliopangwa na Mgombea mapema (huko nje) ili kufanya kampeni kwa kujaribu kushawishi Wapiga Kura wengine kuwa ANAYEPEWA TUZO ndiye amejieleza vyema na au mwenye sifa bora kuliko ASIYEPEWA TUZO? Na Wachambuzi makini bado wanashangaa Mtu kutuzwa kwa kueleza jambo ambalo halina uhusiano na ama Majukumu ya Spika / Bunge au Sifa za Mgombea zinazozalanda na majukumu hayo.
Pili, kama aliruhusu TUZO YA FEDHA kwa nini alianza kupiga kelele kwa nguvu zote akisema “HAPANA! HAPANA! ” kama zuio wakati Wabunge fulani waliamua kutoa TUZO YA KIBWAGIZO kwa Dk. Tulia kwa kuimba “Tuna imani na ........”. Ieleweke wazi kuwa msimamo wangu hilo zuio lilikuwa sawa kabisa!
USHAMBA:
Agnes, Mb alipopewa nafasi ya kuuliza SWALI aliishia kutoa MAELEZO; wakati Mgombea anajibu yeye anaoneka waziwazi akishangilia kwa nguvu kama vile yuko kwenye genge la mipasho!
Mara mbili alisikika akitaja Jina lake kwa ukelele “Agness!” mwenendo usio wa ki-Bunge. Kanuni inamtaka Mbunge kusimama ili Mwenyekiti / Spika akuone na kumruhusu kuongea na sio kuanza kuongea tu kama mtu asiyejua Kanuni wala Taratibu za Bungeni (Ushamba).
Unashangaa nini wakati hilo ni kundi la wezi wa kura! Wezi wazoefu hao sasa wanaibiana wao kwa wao.UKIUKWAJI NA USHAMBA BUNGENI
UKIUKAJI:
Lukuvi, Mb na Mwenyekiti wa Kikao cha Bunge cha Uchaguzi wa Spika ameruhusu Wabunge kukiuka Taratibu za Uchaguzi na akatetea ukiukaji huo.
Mosi, wakati Mwenyekiti anasema kuwa hakuna tatizo Mpiga Kura kutoa fedha kwa Mgombea wakati wa kujieleza; anajuaje kuwa yaweza kuwa ni Mkakati uliopangwa na Mgombea mapema (huko nje) ili kufanya kampeni kwa kujaribu kushawishi Wapiga Kura wengine kuwa ANAYEPEWA TUZO ndiye amejieleza vyema na au mwenye sifa bora kuliko ASIYEPEWA TUZO? Na Wachambuzi makini bado wanashangaa Mtu kutuzwa kwa kueleza jambo ambalo halina uhusiano na ama Majukumu ya Spika / Bunge au Sifa za Mgombea zinazozalanda na majukumu hayo.
Pili, kama aliruhusu TUZO YA FEDHA kwa nini alianza kupiga kelele kwa nguvu zote akisema “HAPANA! HAPANA! ” kama zuio wakati Wabunge fulani waliamua kutoa TUZO YA KIBWAGIZO kwa Dk. Tulia kwa kuimba “Tuna imani na ........”. Ieleweke wazi kuwa msimamo wangu hilo zuio lilikuwa sawa kabisa!
USHAMBA:
Agnes, Mb alipopewa nafasi ya kuuliza SWALI aliishia kutoa MAELEZO; wakati Mgombea anajibu yeye anaoneka waziwazi akishangilia kwa nguvu kama vile yuko kwenye genge la mipasho!
Mara mbili alisikika akitaja Jina lake kwa ukelele “Agness!” mwenendo usio wa ki-Bunge. Kanuni inamtaka Mbunge kusimama ili Mwenyekiti / Spika akuone na kumruhusu kuongea na sio kuanza kuongea tu kama mtu asiyejua Kanuni wala Taratibu za Bungeni (Ushamba).
Sa tufanyeje?UKIUKWAJI NA USHAMBA BUNGENI
UKIUKAJI:
Lukuvi, Mb na Mwenyekiti wa Kikao cha Bunge cha Uchaguzi wa Spika ameruhusu Wabunge kukiuka Taratibu za Uchaguzi na akatetea ukiukaji huo.
Mosi, wakati Mwenyekiti anasema kuwa hakuna tatizo Mpiga Kura kutoa fedha kwa Mgombea wakati wa kujieleza; anajuaje kuwa yaweza kuwa ni Mkakati uliopangwa na Mgombea mapema (huko nje) ili kufanya kampeni kwa kujaribu kushawishi Wapiga Kura wengine kuwa ANAYEPEWA TUZO ndiye amejieleza vyema na au mwenye sifa bora kuliko ASIYEPEWA TUZO? Na Wachambuzi makini bado wanashangaa Mtu kutuzwa kwa kueleza jambo ambalo halina uhusiano na ama Majukumu ya Spika / Bunge au Sifa za Mgombea zinazozalanda na majukumu hayo.
Pili, kama aliruhusu TUZO YA FEDHA kwa nini alianza kupiga kelele kwa nguvu zote akisema “HAPANA! HAPANA! ” kama zuio wakati Wabunge fulani waliamua kutoa TUZO YA KIBWAGIZO kwa Dk. Tulia kwa kuimba “Tuna imani na ........”. Ieleweke wazi kuwa msimamo wangu hilo zuio lilikuwa sawa kabisa!
USHAMBA:
Agnes, Mb alipopewa nafasi ya kuuliza SWALI aliishia kutoa MAELEZO; wakati Mgombea anajibu yeye anaoneka waziwazi akishangilia kwa nguvu kama vile yuko kwenye genge la mipasho!
Mara mbili alisikika akitaja Jina lake kwa ukelele “Agness!” mwenendo usio wa ki-Bunge. Kanuni inamtaka Mbunge kusimama ili Mwenyekiti / Spika akuone na kumruhusu kuongea na sio kuanza kuongea tu kama mtu asiyejua Kanuni wala Taratibu za Bungeni (Ushamba).
Sukuma ndani au Sukuma gang? 😂😂😂Kamata! Sukuma ndani!