Ukiukwaji wa taratibu na ushamba Bungeni katika Uchaguzi wa Spika wa Bunge

Ukiukwaji wa taratibu na ushamba Bungeni katika Uchaguzi wa Spika wa Bunge

Watanzania kwa sasa wana mambo muhimu sana ya kufanya kuliko hayo mambo ya bunge.
Sasa ujue kuwa hata mabadiliko ya Katiba ni Bungeni tu. Elewa umuhimu wa kuweka sawa huu muhimili !
 
UKIUKWAJI NA USHAMBA BUNGENI

UKIUKAJI:


Lukuvi, Mb na Mwenyekiti wa Kikao cha Bunge cha Uchaguzi wa Spika ameruhusu Wabunge kukiuka Taratibu za Uchaguzi na akatetea ukiukaji huo.

Mosi, wakati Mwenyekiti anasema kuwa hakuna tatizo Mpiga Kura kutoa fedha kwa Mgombea wakati wa kujieleza; anajuaje kuwa yaweza kuwa ni Mkakati uliopangwa na Mgombea mapema (huko nje) ili kufanya kampeni kwa kujaribu kushawishi Wapiga Kura wengine kuwa ANAYEPEWA TUZO ndiye amejieleza vyema na au mwenye sifa bora kuliko ASIYEPEWA TUZO? Na Wachambuzi makini bado wanashangaa Mtu kutuzwa kwa kueleza jambo ambalo halina uhusiano na ama Majukumu ya Spika / Bunge au Sifa za Mgombea zinazozalanda na majukumu hayo.

Pili, kama aliruhusu TUZO YA FEDHA kwa nini alianza kupiga kelele kwa nguvu zote akisema “HAPANA! HAPANA! ” kama zuio wakati Wabunge fulani waliamua kutoa TUZO YA KIBWAGIZO kwa Dk. Tulia kwa kuimba “Tuna imani na ........”. Ieleweke wazi kuwa msimamo wangu hilo zuio lilikuwa sawa kabisa!

USHAMBA:

Agnes, Mb alipopewa nafasi ya kuuliza SWALI aliishia kutoa MAELEZO; wakati Mgombea anajibu yeye anaoneka waziwazi akishangilia kwa nguvu kama vile yuko kwenye genge la mipasho!

Mara mbili alisikika akitaja Jina lake kwa ukelele “Agness!” mwenendo usio wa ki-Bunge. Kanuni inamtaka Mbunge kusimama ili Mwenyekiti / Spika akuone na kumruhusu kuongea na sio kuanza kuongea tu kama mtu asiyejua Kanuni wala Taratibu za Bungeni (Ushamba).
Hicho ni kikao cha wana- Ccm...hakuna bunge hapo.
 
Likifanyika jambo lolote la kuvunja katiba au sheria kutoka kwa mtu yeyote aliye upande wa ccm na asichukuliwe hatua wala sishangai au kupinga, course ndiyo mfumo wao waliozoea na hakuna wa kuwafanya lolote.

Acheni maisha yaende, japo kwa uharibifu.
Mataga hamna moral authority ya kuongolea katiba au sheria.
 
Nani aliyewachagua hao wabunge haramu.
Hakuna wabunge pale , tuna bunge la hovyo sana kuwahi kutokea.
 
Huo upuuzi wa bungeni ndio picha halisi ya watanzania, mnalisema bunge ila hamkubali kwamba JF nako kuna upuuzi vile vile.
 
Mara mbili alisikika akitaja Jina lake kwa ukelele “Agness!” mwenendo usio wa ki-Bunge. Kanuni inamtaka Mbunge kusimama ili Mwenyekiti / Spika akuone na kumruhusu kuongea na sio kuanza kuongea tu kama mtu asiyejua Kanuni wala Taratibu za Bungeni (Ushamba).
Kwani lile lilikua bunge au kikao cha uchaguzi wa spika?angalia hata kiti cha mwenyekiti hakikua rasmi
Itabidi uende mahakamani kupinga kwa kua taratibu hazikufuatwa
 
UKIUKWAJI NA USHAMBA BUNGENI

UKIUKAJI:


Lukuvi, Mb na Mwenyekiti wa Kikao cha Bunge cha Uchaguzi wa Spika ameruhusu Wabunge kukiuka Taratibu za Uchaguzi na akatetea ukiukaji huo.

Mosi, wakati Mwenyekiti anasema kuwa hakuna tatizo Mpiga Kura kutoa fedha kwa Mgombea wakati wa kujieleza; anajuaje kuwa yaweza kuwa ni Mkakati uliopangwa na Mgombea mapema (huko nje) ili kufanya kampeni kwa kujaribu kushawishi Wapiga Kura wengine kuwa ANAYEPEWA TUZO ndiye amejieleza vyema na au mwenye sifa bora kuliko ASIYEPEWA TUZO? Na Wachambuzi makini bado wanashangaa Mtu kutuzwa kwa kueleza jambo ambalo halina uhusiano na ama Majukumu ya Spika / Bunge au Sifa za Mgombea zinazozalanda na majukumu hayo.

Pili, kama aliruhusu TUZO YA FEDHA kwa nini alianza kupiga kelele kwa nguvu zote akisema “HAPANA! HAPANA! ” kama zuio wakati Wabunge fulani waliamua kutoa TUZO YA KIBWAGIZO kwa Dk. Tulia kwa kuimba “Tuna imani na ........”. Ieleweke wazi kuwa msimamo wangu hilo zuio lilikuwa sawa kabisa!

USHAMBA:

Agnes, Mb alipopewa nafasi ya kuuliza SWALI aliishia kutoa MAELEZO; wakati Mgombea anajibu yeye anaoneka waziwazi akishangilia kwa nguvu kama vile yuko kwenye genge la mipasho!

Mara mbili alisikika akitaja Jina lake kwa ukelele “Agness!” mwenendo usio wa ki-Bunge. Kanuni inamtaka Mbunge kusimama ili Mwenyekiti / Spika akuone na kumruhusu kuongea na sio kuanza kuongea tu kama mtu asiyejua Kanuni wala Taratibu za Bungeni (Ushamba).
Kwani mwenzetu bado una imani na hili bunge. Kwa comedy za jana nafikiri kila mtu anejua tuna bunge na wabunge wa aina gani. Kwa Sasa kile ni kama kijiwe tu.
 
Nionacho hapo ni hafra ya wanaccm na si uchaguzi wa speaker.
 
Kwani lile lilikua bunge au kikao cha uchaguzi wa spika?angalia hata kiti cha mwenyekiti hakikua rasmi
Itabidi uende mahakamani kupinga kwa kua taratibu hazikufuatwa
Asante kwa kunijuza kuwa katika Kikao cha Uchaguzi wa Spika ndipo panaruhusiwa taratibu kutokufuatwa!
 
UKIUKWAJI NA USHAMBA BUNGENI

UKIUKAJI:


Lukuvi, Mb na Mwenyekiti wa Kikao cha Bunge cha Uchaguzi wa Spika ameruhusu Wabunge kukiuka Taratibu za Uchaguzi na akatetea ukiukaji huo.

Mosi, wakati Mwenyekiti anasema kuwa hakuna tatizo Mpiga Kura kutoa fedha kwa Mgombea wakati wa kujieleza; anajuaje kuwa yaweza kuwa ni Mkakati uliopangwa na Mgombea mapema (huko nje) ili kufanya kampeni kwa kujaribu kushawishi Wapiga Kura wengine kuwa ANAYEPEWA TUZO ndiye amejieleza vyema na au mwenye sifa bora kuliko ASIYEPEWA TUZO? Na Wachambuzi makini bado wanashangaa Mtu kutuzwa kwa kueleza jambo ambalo halina uhusiano na ama Majukumu ya Spika / Bunge au Sifa za Mgombea zinazozalanda na majukumu hayo.

Pili, kama aliruhusu TUZO YA FEDHA kwa nini alianza kupiga kelele kwa nguvu zote akisema “HAPANA! HAPANA! ” kama zuio wakati Wabunge fulani waliamua kutoa TUZO YA KIBWAGIZO kwa Dk. Tulia kwa kuimba “Tuna imani na ........”. Ieleweke wazi kuwa msimamo wangu hilo zuio lilikuwa sawa kabisa!

USHAMBA:

Agnes, Mb alipopewa nafasi ya kuuliza SWALI aliishia kutoa MAELEZO; wakati Mgombea anajibu yeye anaoneka waziwazi akishangilia kwa nguvu kama vile yuko kwenye genge la mipasho!

Mara mbili alisikika akitaja Jina lake kwa ukelele “Agness!” mwenendo usio wa ki-Bunge. Kanuni inamtaka Mbunge kusimama ili Mwenyekiti / Spika akuone na kumruhusu kuongea na sio kuanza kuongea tu kama mtu asiyejua Kanuni wala Taratibu za Bungeni (Ushamba).
Mkuu ulitegemea au wategemea bunge la chama kimoja kuja na kitu tofauti, ni unabatili tu ndo utakaoendea mpaka Yesu atakapo shuka, lakin twende tu soon yanamwisho,2025 sio mbali
 
UKIUKWAJI NA USHAMBA BUNGENI

UKIUKAJI:


Lukuvi, Mb na Mwenyekiti wa Kikao cha Bunge cha Uchaguzi wa Spika ameruhusu Wabunge kukiuka Taratibu za Uchaguzi na akatetea ukiukaji huo.

Mosi, wakati Mwenyekiti anasema kuwa hakuna tatizo Mpiga Kura kutoa fedha kwa Mgombea wakati wa kujieleza; anajuaje kuwa yaweza kuwa ni Mkakati uliopangwa na Mgombea mapema (huko nje) ili kufanya kampeni kwa kujaribu kushawishi Wapiga Kura wengine kuwa ANAYEPEWA TUZO ndiye amejieleza vyema na au mwenye sifa bora kuliko ASIYEPEWA TUZO? Na Wachambuzi makini bado wanashangaa Mtu kutuzwa kwa kueleza jambo ambalo halina uhusiano na ama Majukumu ya Spika / Bunge au Sifa za Mgombea zinazozalanda na majukumu hayo.

Pili, kama aliruhusu TUZO YA FEDHA kwa nini alianza kupiga kelele kwa nguvu zote akisema “HAPANA! HAPANA! ” kama zuio wakati Wabunge fulani waliamua kutoa TUZO YA KIBWAGIZO kwa Dk. Tulia kwa kuimba “Tuna imani na ........”. Ieleweke wazi kuwa msimamo wangu hilo zuio lilikuwa sawa kabisa!

USHAMBA:

Agnes, Mb alipopewa nafasi ya kuuliza SWALI aliishia kutoa MAELEZO; wakati Mgombea anajibu yeye anaoneka waziwazi akishangilia kwa nguvu kama vile yuko kwenye genge la mipasho!

Mara mbili alisikika akitaja Jina lake kwa ukelele “Agness!” mwenendo usio wa ki-Bunge. Kanuni inamtaka Mbunge kusimama ili Mwenyekiti / Spika akuone na kumruhusu kuongea na sio kuanza kuongea tu kama mtu asiyejua Kanuni wala Taratibu za Bungeni (Ushamba).
Unashangaa nini wakati hilo ni kundi la wezi wa kura! Wezi wazoefu hao sasa wanaibiana wao kwa wao.
 
UKIUKWAJI NA USHAMBA BUNGENI

UKIUKAJI:


Lukuvi, Mb na Mwenyekiti wa Kikao cha Bunge cha Uchaguzi wa Spika ameruhusu Wabunge kukiuka Taratibu za Uchaguzi na akatetea ukiukaji huo.

Mosi, wakati Mwenyekiti anasema kuwa hakuna tatizo Mpiga Kura kutoa fedha kwa Mgombea wakati wa kujieleza; anajuaje kuwa yaweza kuwa ni Mkakati uliopangwa na Mgombea mapema (huko nje) ili kufanya kampeni kwa kujaribu kushawishi Wapiga Kura wengine kuwa ANAYEPEWA TUZO ndiye amejieleza vyema na au mwenye sifa bora kuliko ASIYEPEWA TUZO? Na Wachambuzi makini bado wanashangaa Mtu kutuzwa kwa kueleza jambo ambalo halina uhusiano na ama Majukumu ya Spika / Bunge au Sifa za Mgombea zinazozalanda na majukumu hayo.

Pili, kama aliruhusu TUZO YA FEDHA kwa nini alianza kupiga kelele kwa nguvu zote akisema “HAPANA! HAPANA! ” kama zuio wakati Wabunge fulani waliamua kutoa TUZO YA KIBWAGIZO kwa Dk. Tulia kwa kuimba “Tuna imani na ........”. Ieleweke wazi kuwa msimamo wangu hilo zuio lilikuwa sawa kabisa!

USHAMBA:

Agnes, Mb alipopewa nafasi ya kuuliza SWALI aliishia kutoa MAELEZO; wakati Mgombea anajibu yeye anaoneka waziwazi akishangilia kwa nguvu kama vile yuko kwenye genge la mipasho!

Mara mbili alisikika akitaja Jina lake kwa ukelele “Agness!” mwenendo usio wa ki-Bunge. Kanuni inamtaka Mbunge kusimama ili Mwenyekiti / Spika akuone na kumruhusu kuongea na sio kuanza kuongea tu kama mtu asiyejua Kanuni wala Taratibu za Bungeni (Ushamba).
Sa tufanyeje?
 
Back
Top Bottom