Ukiumwa njaa ukitumia painkiller njaa inakata?

Pain killer ni kwaajili ya kutuliza maumivu,

Je njaa ni sehemu ya maumivu?
 
Yaani hii ni sawa na gari inawaka taa ya mafuta, then ww unaongeza maji kwenye rejeta
 
Naona mnamshambulia mtoa mada. Binafsi Imani yangu imenituma kuamini ari inazidi kua ngumu.

Hapa mtaani kwetu kuna watu wanakula Ugali kwa maji!!!

Binafsi, for the first time nimebadirisha laini yangu kuwa ya Mwanafunzi wa chuo na uzee huu baada ya kushindwa kumudu gharama za bando kwa kutoa Hongo!!!

Jiwe kazia hapohapo mpaka Jero iwe mia tano
 
Maumivu ya njaa ni sawa na ya kichwa, jino n.k? Hunger is a feeling not a pain. Ni sawa na kusema mtu akiwa na nyegezi anywe panadol..hivi ni mimi nimeandika kweli hapa? Haha akili za usiku hizi
 
Maumivu ya njaa ni sawa na ya kichwa, jino n.k? Hunger is a feeling not a pain. Ni sawa na kusema mtu akiwa na nyegezi anywe panadol..hivi ni mimi nimeandika kweli hapa? Haha akili za usiku hizi
Hata maumivu ni hisia tu....
Kama misuli/mishipa inayopeleka taarifa kwenye ubongo kuwa una njaa ikipigwa gani huwezi kusikia njaa....

Uliwahi kuona mtu yupo kwenye operation anahisi njaa????
 
Haha mkuu umenichekesha sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…