ummu kulthum
JF-Expert Member
- Feb 6, 2012
- 2,784
- 1,317
yaan ako kabibi kanajidhalilisha sa kwani akivua nguo ndio atapewa pesa?afu ya kizee sipati picha ilivununa.........
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
omg! this granny and her son need to see a shrink asap.. stripping nude does NOT solve anything...
Im glad Im not related to them, it's total humiliation..
she is an attention wh0re
yaan ako kabibi kanajidhalilisha sa kwani akivua nguo ndio atapewa pesa?afu ya kizee sipati picha ilivununa.........
mkurugenzi, hii rangi inaumiza kusoma....
kumbe hii staili ya kupeana laana bado inatumika-huyo mama naona anafaham kichwa ya mwanae wa kiume ndo mana kafwata amri
Hii kenya wazee wamekuwa nì vituko mara huyu kuvua kwa ajili ya kudai kodi,mwingine anataka kupigwa mtama na vijana ama kweli dunia imekalibia kufika mwisho.
:->ALWAYS A BIG LIAR SHOULD HAVE A BIG MEMORY:-"
Huko sawa mkuu lakini nakushauri uwalee watoto wako kama ulivyolelewa!,
nina maana kuwa miaka ka 20 na zaidi iliyopita ilikuwa ni vigumu kumkuta mzazi akimtukana mwanae kwa kutumia viungo vyake vya siri au vya mzazi mwenzie.
Lakini siku hizi mzazi kumtukania uchi (hasa wamama) mwanae ni kitu cha kawaida, hata wasiwasi kuwa hiki nilichomtukania mtoto atatakajua ni kitu gani hatuna tena.
Huwezi kuzuia kujua lakini U-privacy uwepo ili kujenga heshima.
Kwa ujumla mtoto umleavyo ndivyo akuavyo aliyezoea kusikia uchi uchi! hataogopa kuuona au siyo!.
Hata kuko nitokako hii dhana ipo.
Mzazi akikuvulia nguo ni laana.
Kama ni kweli au si kweli inafanya kazi sijui, ila siwezi jiweka mazingira ya mzazi kufikiria kunifanyia hivi.
kijana alikuwa na maana ya kumpiga
sizani kama ni ulivyoelewa mkuu.
But unknown to her, someone had tipped her eldest son of the ongoing theatrics so he rushed to the scene.
"Mother! Are you normal? What have you been drinking? Go to the house and get dressed this minute or else..." her son shouted from behind the safety of a small crowd that had formed to see what was happening.
Instead, his ageing mother agitatedly walked towards him, accusing him of sympathising with those who did not respect her property yet he did not help or feed her.
"I have tenants who think my property ‘grew on trees' yet all you do is sympathise with them," she lamented. "If you feel so sorry for him, then go ahead and pay what he owes me," she added.
Her son hastily walked to his house, but his mother followed, demanding that he pays her what the tenant owes before she dressed up. She even shoved his door open and adamantly stood, waiting to be paid.
"So this is what you come to show me yet you know l started these things long ago? Let me show you what an expert l have become!" her son threatened, making for the door as if to close it.
On seeing this, the old woman took to her heels with the agility like that of a teenager.
"Help! Help!" she cried out to the amused spectators, who were now roaring with laughter.
Hiyo ipo kule kwetu hasa sehemu za mpakani na kenya
wanaita 'nguma' anavua au anapandisha kabisa nguo zote kisha anakuinamia
bila shaka ni imani, lakini ni laana kama imefanyika bila maoneze.
Kudadadeki umemsikia kijana alivyomwambia mama yake? Mkuu Ruta uliipunguza utamu wake!
{"So this is what you come to show me yet you know l started these things long ago? Let me show you what an expert l have become!" her son threatened, making for the door as if to close it.}
Walilipwa?Au the plan din't work?
Kenya kuna mambo. Huyu ajuza kachoshwa na kupigwa kalenda na mpangaji wake ambaye anadai au kusingizia matatizo ya kifamilia yamemfanya kushindwa kulipia kodi ya pango.
Ajuza alipoona miezi inakatika na kodi hailipwi basi akaja na staili nyingine ya kwenda kwa mdaiwa wake sugu akiwa uchi wa kuzaliwa huku akisindikizwa na binti yake mkubwa na wakamgongea mlango mdaiwa wao.
Huku matusi mazito yakiwatoka walidai afungue auone uchi wa ajuza kama hatapata laana na kufa kiroho cha papo kwa hapo. Mdaiwa kusikia hivyo aliongeza komeo na kujifungia ndani.
Umati wa watu ulianza kujikusanya na kutaka kujua kuna nini............................mtoto wa kiume wa yule ajuza alipoona mama'ake anamtia aibu akaamua kumtishia mama'ake ya kuwa kama hatavaa nguo basi atabana mlango na kumshughulikia mama'ake papo kwa hapo bila ya kumwonea soooo hata chembe!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Yaelekea yule ajuza anajua makali ya mwanawe kwani alikimbilia ndani na kuvaa nguo zake huku akiwaacha watazamaji wa filamu ya bwerere mbavu zikiwa hoi kutokana na burudani ya laivu............au niseme ya papo kwa hapo.....
Kwa wanaujua umombo kazi kwenu.........
Crazy Monday
Angry grandma undresses to curse tenant
Updated Sunday, May 27 2012 at 21:00 GMT+3