Ukiuona utupu wa ajuza utalaanika?

Ukiuona utupu wa ajuza utalaanika?

yaan ako kabibi kanajidhalilisha sa kwani akivua nguo ndio atapewa pesa?afu ya kizee sipati picha ilivununa.........
 
omg! this granny and her son need to see a shrink asap.. stripping nude does NOT solve anything...
Im glad Im not related to them, it's total humiliation..


she is an attention wh0re

[MENTION]blaine n kurt[/MENTION] I subscribe to your views.........
 
yaan ako kabibi kanajidhalilisha sa kwani akivua nguo ndio atapewa pesa?afu ya kizee sipati picha ilivununa.........

ummu kulthum haya ndiyo mavuno ya kuthamini pesa kulikoni utu wa mwanadamu
 
Last edited by a moderator:
mkurugenzi, hii rangi inaumiza kusoma....

BADILI TABIA......................nimeipenda avatar yako ingawaje nayo iko mbali haionekani vizuri.............
 
Last edited by a moderator:
kumbe hii staili ya kupeana laana bado inatumika-huyo mama naona anafaham kichwa ya mwanae wa kiume ndo mana kafwata amri

Edward Teller huoni hiyo familia yenywe imelaaniwa?
 
Last edited by a moderator:
Hii kenya wazee wamekuwa nì vituko mara huyu kuvua kwa ajili ya kudai kodi,mwingine anataka kupigwa mtama na vijana ama kweli dunia imekalibia kufika mwisho.

:->ALWAYS A BIG LIAR SHOULD HAVE A BIG MEMORY:-"

elly_black siyo Kenya tu hata kwetu yapo tofauti wenzetu hawaoni soo kuyaripoti...........
 
Last edited by a moderator:
Huko sawa mkuu lakini nakushauri uwalee watoto wako kama ulivyolelewa!,
nina maana kuwa miaka ka 20 na zaidi iliyopita ilikuwa ni vigumu kumkuta mzazi akimtukana mwanae kwa kutumia viungo vyake vya siri au vya mzazi mwenzie.
Lakini siku hizi mzazi kumtukania uchi (hasa wamama) mwanae ni kitu cha kawaida, hata wasiwasi kuwa hiki nilichomtukania mtoto atatakajua ni kitu gani hatuna tena.
Huwezi kuzuia kujua lakini U-privacy uwepo ili kujenga heshima.
Kwa ujumla mtoto umleavyo ndivyo akuavyo aliyezoea kusikia uchi uchi! hataogopa kuuona au siyo!.

Kyaiyembe uchi wa mzazi haupaswi kuonyeshwa na akiuonyesha hata yeye ana laana.................atafute njia nyingine ya kumaliza maumivu aliyonayo.............
 
Hata kuko nitokako hii dhana ipo.
Mzazi akikuvulia nguo ni laana.

Kama ni kweli au si kweli inafanya kazi sijui, ila siwezi jiweka mazingira ya mzazi kufikiria kunifanyia hivi.

Kongosho huyo mzazi lazim aziew zimefyatuka kidogo..................na kwa hiyo laana yake isiwe na mantiki....ila nifahamuvyo ukikusudia kumchungulia mzazi wako bila ya yeye kukusudia basi utakuwa amejilaani mwenywe...........na yeye akikusudia kukuonyesha utupu wake basi naye kajilaani mwenyewe...............hatupaswi kushusha thamani ya utu wetu hata kwa faranga zote zilizopo duniani................
 
Last edited by a moderator:
kijana alikuwa na maana ya kumpiga
sizani kama ni ulivyoelewa mkuu.

But unknown to her, someone had tipped her eldest son of the ongoing theatrics so he rushed to the scene.

"Mother! Are you normal? What have you been drinking? Go to the house and get dressed this minute or else..." her son shouted from behind the safety of a small crowd that had formed to see what was happening.

Instead, his ageing mother agitatedly walked towards him, accusing him of sympathising with those who did not respect her property yet he did not help or feed her.
"I have tenants who think my property ‘grew on trees' yet all you do is sympathise with them," she lamented. "If you feel so sorry for him, then go ahead and pay what he owes me," she added.
Her son hastily walked to his house, but his mother followed, demanding that he pays her what the tenant owes before she dressed up. She even shoved his door open and adamantly stood, waiting to be paid.
"So this is what you come to show me yet you know l started these things long ago? Let me show you what an expert l have become!" her son threatened, making for the door as if to close it.

On seeing this, the old woman took to her heels with the agility like that of a teenager.

"Help! Help!" she cried out to the amused spectators, who were now roaring with laughter.

Mamndenyi kwenye hiyo nyekundu ni uthibitisho wa ya kuwa yule mtoto wa kiume aliweka wazi hadharani ya kuwa anataka kumshughulika mama'ke mzazi hasa aliposema unajua haya mambo niliyaanza nikiwa mdogo ......hivi mambo haya ni kumpiga mama'ke kama ulivyoelewa? ..Au kumpiga mtama..............
 
Last edited by a moderator:
Hiyo ipo kule kwetu hasa sehemu za mpakani na kenya
wanaita 'nguma' anavua au anapandisha kabisa nguo zote kisha anakuinamia
bila shaka ni imani, lakini ni laana kama imefanyika bila maoneze.

Mamndenyi mpaka anakuinamia wewe bado unasubiri nini kama siyo kukimbia......with the agility of a deer?
 
Last edited by a moderator:
Kudadadeki umemsikia kijana alivyomwambia mama yake? Mkuu Ruta uliipunguza utamu wake!
{"
So this is what you come to show me yet you know l started these things long ago? Let me show you what an expert l have become!" her son threatened, making for the door as if to close it.}

Kyaiyembe ninashukuru kwa kuniondolea hizi lawama............
 
Last edited by a moderator:
Nafikiri hii ya kutishia utupu, Kenya imekuwa kama ni order of the time.

Kaunga kunakutishia na nguo zote ajuza kesha zivua?
 
Last edited by a moderator:
Walilipwa?Au the plan din't work?

Eiyer how comes the plan from evil ever work? Sababu ya mpangaji kushindwa kulipa ni kuwa hana chapaa sasa umjie na kanzu au baibui au utupu au hata na silaha hana uwezo wa kukulipa..........period......sababu za kushindwa kukulipa hazina uhusiano na hatua za mwenye pango zaidi ya kumtimua tu kwenye pango lake........
 
Last edited by a moderator:
Nimeisoma hiyo news ila kuna sehemu umekosea kuelezea.

ni hivi bibi alimvulia nguo mpangaji wake kumdai akiwa na binti yake, mtoto wa kiume akawa anamwambia mama yake avae nguo, mama hakusikia , mama akamgeuzia kibao kijana wake anamtetea mpangaji. kwahiyo kama anamtetea amilipie deni yeye, mama akampandishia hasira kijana wake , kijana akaingia chumbani kwake, mama akazidi kumpandishia kijana wake huku akimfuata hadi chumbani kwake.

hapo kijana na yeye ndipo alipomtolea uvivu mama yake akamwambia aondoke hapo chumbani kwake haraka na akavae nguo la sivyo atamuonyesha alivyo mahiri sana kwani ameanza siku nyingi sana. kijana akawa kama vile anakwenda kufunga mlango wa chumbani , mama alipoona amechenjiwa na kijana wake, akakimbia akipiga kelele na kupotelea kwenda kuvaa nguo!!
 
Pale kwetu kuna mama alikuwa anaibiwa ndizi na magimbi (sowe) kila mara
alipojua ni watoto wa jirani alichofanya ni kuvua nguo na kuzunguka mipaka ya
shamba huku akipiga debe tupu akisema mtoto wa fulani lazima utakufa
kwa kuwa umefanya so and so,

Baada ya miaka zaidi ya 20 nasikia ile familia ya yule jirani watoto
wote wamekufa. Nilipoambia hivyo nilikumbuka mimi japo najua watu
hawawezi kukumbuka hiyo kitu. Kwa hiyo nataka kusema kuwa
laana huwa inakuja hata kama ni baada ya miaka mingi kupita.
 
Hyou bibi ana msongo wa mawazo..huwezi vua nguo kwa kudai kodi si atafute 'Majembe' wa Kenya wamsaidie kazi..!
 
Kenya kuna mambo. Huyu ajuza kachoshwa na kupigwa kalenda na mpangaji wake ambaye anadai au kusingizia matatizo ya kifamilia yamemfanya kushindwa kulipia kodi ya pango.

Ajuza alipoona miezi inakatika na kodi hailipwi basi akaja na staili nyingine ya kwenda kwa mdaiwa wake sugu akiwa uchi wa kuzaliwa huku akisindikizwa na binti yake mkubwa na wakamgongea mlango mdaiwa wao.

Huku matusi mazito yakiwatoka walidai afungue auone uchi wa ajuza kama hatapata laana na kufa kiroho cha papo kwa hapo. Mdaiwa kusikia hivyo aliongeza komeo na kujifungia ndani.

Umati wa watu ulianza kujikusanya na kutaka kujua kuna nini............................mtoto wa kiume wa yule ajuza alipoona mama'ake anamtia aibu akaamua kumtishia mama'ake ya kuwa kama hatavaa nguo basi atabana mlango na kumshughulikia mama'ake papo kwa hapo bila ya kumwonea soooo hata chembe!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Yaelekea yule ajuza anajua makali ya mwanawe kwani alikimbilia ndani na kuvaa nguo zake huku akiwaacha watazamaji wa filamu ya bwerere mbavu zikiwa hoi kutokana na burudani ya laivu............au niseme ya papo kwa hapo.....

Kwa wanaujua umombo kazi kwenu.........

Crazy Monday


Angry grandma undresses to ‘curse’ tenant



Updated Sunday, May 27 2012 at 21:00 GMT+3


JIBU Ulikuwa nalo! ujumbe tumeupata
 
hehehe ,, kuna watu wamepinda hapa duniani.. amepata kitu gani sasa huyo mama zaid ya kuaibika na malipo hakupata ,,
 
Back
Top Bottom