Ukiwa hauna furaha au ukitakaa kuiongeza furaha yako fanya hivi kwenye SOCIAL MEDIA hasa JF &INSTAGRAM

Joined
Jul 18, 2018
Posts
61
Reaction score
38
Habari za wakati huu wana Jf naomba niende moja kwa moja kwenye mada, kiukweli nimegundua kitu kikubwa sana tangu niifaham Jf ,nmekuwa nkivutiwa na kuelimika na mambo tofauti tofauti ya kimaisha tunayoshirikishana humu. N raha kutumia Jf ni miongoni mwa chanzo cha furaha kwa kusoma COMMENTS za wana JF hasa kwenye threads zenye utata kuhusu uhalisia na makosa ya kiuandishi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚v hakika utajikuta unafurahi.
Jaribu kufanya hvyo kwa kusoma tu COMMENTS za watu kwenye mada hakika utaipenda Jf sana.
 
hii post yako watu wanasoma alaf wanacheka hahahaa.. na kuondoka bila kuchangia kama ulivyoshauri.
 
na hili la comments ndilo linaongeza furaha maake kuna vichwa humu vina maswali na majibu na kuna watu watata sana kwenye comments
 
Nimecheka sana huu ujinga uliouandika hapaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Mkuu wewe ni popoma.
Sasa kila mtu akikaa kimya bila kucomment tutakuwa tunasoma comments za nani?

Aina ya watu kama wewe mkiwa viongozi unakuwa type ya bashite anayeangalia kesho tu
 
Mkuu wewe ni popoma.
Sasa kila mtu akikaa kimya bila kucomment tutakuwa tunasoma comments za nani?

Aina ya watu kama wewe mkiwa viongozi unakuwa type ya bashite anayeangalia kesho tu
huo n mfano tu na kiuhalisia kuna watu hawawez kukaa kmya lakin wapo ambao wapo kimya ila wanasoma threads na komenti zake lakin kuchangia awapendi au awawez
 
mfano huna furaha kisa njaa inakuuma halafu uje jf
mtu anasema amemhonga demu wake 500000
halafu upate furaha jamanii

mbona mambo ya hovyo hovyo sana
 
mfano huna furaha kisa njaa inakuuma halafu uje jf
mtu anasema amemhonga demu wake 500000
halafu upate furaha jamanii

mbona mambo ya hovyo hovyo sana
Yeye akiona tu comments za kuchekesha na zenye utata ndio furaha yake, nadhani ameelez Hisia zake
 
mfano huna furaha kisa njaa inakuuma halafu uje jf
mtu anasema amemhonga demu wake 500000
halafu upate furaha jamanii

mbona mambo ya hovyo hovyo sana
kweli kila mtu ana uelewa wake kwenye kila jambo njaa na huu uzi unahusiana vp
 
Nyuzi za kipuuzi kama hii, Mods hawazigusi maana Siku hizi upuuzi ndio tija!...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…